True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

Mtoto wa shangazi hamna shida ndoa inapita vizuri tu labda mambo ya mila zao, vinginevyo hiyo ni nyama tamu kabisa
 
Nina goma langu tayari
Alaf si unajua, sii kila ukiona kichaka unabanwa na haja. Nawaachia wadau msio nao, jimbo ilo
Nipe namba mwanangu, tacro si analo? 😹😹😹
 
Mtoto wa shangazi hamna shida ndoa inapita vizuri tu labda mambo ya mila zao, vinginevyo hiyo ni nyama tamu kabisa
Kwao anasema hairuhusiwi
 
Wakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.

Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
Hakika ukiona Kuna upendo flani hiv bila Pesa, kazi, au hakuna kitu kinachowaunganisha bila sababu jua Damu yenu ianwazungukia kwa upendo... Me napenda nimshauri yule kijana wa kiume alitakiwa aulize baba mkwe wake alikufa ama yupo wapi na kama kafa kafakifo Cha aje kifo Cha kimoshi Moshi au kichaga Chaga kwa baba tu
 
kama hamjanyonya ziwa moja hakuna shida. Hii naongea kisayansi si blah blaahh. Dogo aendelee kuichapa tu hakuna namna.

Undugu wa mbali hauna shida maana kinachohofiwa sana huwa ni magonjwa ya kurithi.

Sasa hao washachanganya damu huyo unakuta mzazi mmoja msukuma mwengine mzazi mnyaki damu za mbali kabisa, hapo hamna shida wacheni vijana wasocialize.
 
Hakika ukiona Kuna upendo flani hiv bila Pesa, kazi, au hakuna kitu kinachowaunganisha bila sababu jua Damu yenu ianwazungukia kwa upendo... Me napenda nimshauri yule kijana wa kiume alitakiwa aulize baba mkwe wake alikufa ama yupo wapi na kama kafa kafakifo Cha aje kifo Cha kimoshi Moshi au kichaga Chaga kwa baba tu
Vijana wakipendana sii rahis kuulizana kuh mkwe. Mpaka wakikaribia kuoana
 
kama hamjanyonya ziwa moja hakuna shida. Hii naongea kisayansi si blah blaahh. Dogo aendelee kuichapa tu hakuna namna.

Undugu wa mbali hauna shida maana kinachohofiwa sana huwa nibmagonjwa ya kurithi sasa hao washachanganya damu hapo hamna shida wacheni vijana wasocialize.
Ukiwa km baba wa kijana naona ndoa ikifungwa chap😄

Ila mama mzaz wa binti ameshakataa
 
Wakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.

Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
Binamu nyama ya hamu
 
Back
Top Bottom