True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

Kwa hiyo mleta uzi unapata amani kwa kuwa wana JF wamekuelewa, kana kwamba wao wanaishi maisha yako!

Mimi ni mwanamme, ila ningekuwa mwanamke halafu nimezaa na mtu asiye na utayari kulea mtoto, sidhani kama ningembembeleza.
 
Kwa hiyo mleta uzi unapata amani kwa kuwa wana JF wamekuelewa, kana kwamba wao wanaishi maisha yako!
Mimi ni mwanamme, ila ningekuwa mwanamke halafu nimezaa na mtu asiye na utayari kulea mtoto, sidhani kama ningembembeleza.
Najua wamenielewa au kuna kitu wameelewa/jifunza
 
Uko na age gani??how come mtu anapata mimba unaambia nyumbani..? Kama huishi nae hawapaswi jua wala kumwambia yoyote utaaibika...mwanamke anatoa hadi mimba ya miezi mitatu wewe ki mimba cha week ushatangazia umma..jifunze kubeba aibu zako mwenyewe
 
Uko na age gani??how come mtu anapata mimba unaambia nyumbani..? Kama huishi nae hawapaswi jua wala kumwambia yoyote utaaibika...mwanamke anatoa hadi mimba ya miezi mitatu wewe ki mimba cha week ushatangazia umma..jifunze kubeba aibu zako mwenyewe
Nilikuwa mdogo hata hivyo, shobo za kishamba na kutokujua mambo tu

Nilishajifunza mama
 
Boss.
Kwanza pole sanaaaa, mimi nilikua na mapenzi kama yakoooo hayooo ila nilipoumwa na nyoka nilisitisha uwendawazimu

Huyo si mtoto wako kabisaaa, huyo ni daraja la kupigia helaaa.

Kama unabisha, tumia nguvu kumchukua nakuhakikishia humalizi wiki 2 baba yake atajulikana.

Achana na hiyo Ngiri msee.
 
Dah kuna jambo umezungumza zito sana
Nimepata kitu

Shukrani sana mkuu
 
kwa sababu nyinyi ni malaika eti [emoji57][emoji57]
Hapa huwa tunasikia story za upande mmoja na bila ya kuwa na uhakika Kama ni true story ama laa.
Na nyie muwe mnaleta za kwenu
 
Reactions: Cyb
Hebu andika na ww story yako ndefu tuone.
 
Achana nae, mtoto kama ni wako atakutafuta

Nasema nyamaza kimyaaa tena utulie
 
Reactions: T11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…