Trump: Achilieni mateka kabla sijaapishwa la sivyo mtabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ya Marekani!"

Trump: Achilieni mateka kabla sijaapishwa la sivyo mtabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ya Marekani!"

Netanyahu hana kosa lolote ndio maana hata Ufaransa wamefuta maamuzi ya kumkamata.

Netanyahu ana kila haki ya kuilinda nchi yake dhidi ya washenzi walioua watu 1,200 kwa siku moja akiwemo Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel (apumzike kwa amani ), piga hesabu kwa mwaka mzima (siku 365) Israel ingekaa kimya wangeuliwa wangapi
tupatie na hesabu ya wapalestina waliouwawa na yahudi tangu 1948 tulinganishe nani ameua zaidi.
 
Watanzania bado tuna maumivu mabichi ya vijana wetu wawili kuuawa na Magaidi wa Hamas alafu wewe unakuja kuandika nini hiki ?

Hao wapalestina lengo lao ni moja tu, From the riber to the sea, Kuifuta Israel na kuua watu wote ndani yake (wakiwemo waarabu wenzao), Huu kama sio ushenzi ni nini ?
Huna akili wewe Yahudi mweusi wa Tegeta kwa ndevu,

Watu wanatekwa na kuuawa umefanya nini? huyo Mumeo Natanyahu ndio anapaswa kuadhibiwa kabla ya mtu yeyote yule,Punguza ujinga na kuandika matapishi hapa.
 
Subiri aingie madarakani ndo utajua anamaanisha nini kusema màtakwa ya dunia nzima.
Iran alipiga Base zake zilizopo Iraq na Trump akiwa madarakani,alifanya nini?
Inaonekana hata akikwambia inama utainama tu kwa unavyo muabudu,

Dunia ilishabadilika tokeni usingizini,mtaendelea kuonewa nyinyi tu,watu hawapo tayari kunyanyaswa,watatumia kila walichonacho to fight back.
 
Sijui kama unajua unachosema. Israel ni kiini macho kilichotengenezwa na wazungu ili kuwatisha waarabu baada ya kugundua mafuta. Eti wanasema Mungu aliwapa hiyo ardhii. Ina maana Mungu hakujua kuwa hii nchi ni ya Wapalestina? Kama kweli Mungu aliumba dunia, inakuwaje asahau kuwa Palestina ni ya wapalestina na hivyo asinge'wapa' hawa majambazi?
Ndo huko madrassa mnafundishwa huo ujinga?
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    324.7 KB · Views: 3
Upuuzi mtupu. Huyo mwenzetu ana thamani kuliko wapalestina 43,000? Kwangu, ubinadamu ni ubinadamu hata kama wanaouawa wanaitwa magaidi, ni wabaguzi na wasiotujali sisi kama tunavyowajali. Kwangu hwa ni binadamu. Siyo waislamu 'wenzetu' au wapinzani wa yeyote. Watoto na akina mama wanaouawa bila makosa, kwa mtu mwenye akili timamu, wanafikirisha.
Israel iko vitani na hamas,sasa wewe jiulize kwa kwa nini raia wanauwawa kwa wingi? Hemu nikuulize una hakika mwezi uliopita hakuna hamas hata mmoja aliyeuwawa miongoni mwa raia wa kipalestina? Je mwezi uliopita umesikia hata alzajeera imetangaza kuwa wameuwawa hamasi hata watano? Sasa tafakari hii ni December utaendelea kusikia wimbo wa genocide halafu korasi itakuwa wanawake na watoto ila hutasikia hamasi kauwawa/wameuwawa miongoni mwa raia. NA NI KOSA KISHERIA( WAR CRIMES) KUTUMIA RAIA KAMA KINGA. sasa hemu toa ushauri nini kifanyike upande wa hamasi na nn kifanyike upande wa Israel ilivita iendelee bila kuathiri raia wa kipalestina( wanawake na watoto)
 
Iran alipiga Base zake zilizopo Iraq na Trump akiwa madarakani,alifanya nini?
Inaonekana hata akikwambia inama utainama tu kwa unavyo muabudu,

Dunia ilishabadilika tokeni usingizini,mtaendelea kuonewa nyinyi tu,watu hawapo tayari kunyanyaswa,watatumia kila walichonacho to fight back.
Labda wewe ni choko, watu wanaongelea mambo mengine wewe unawaza kuinamishwa.
Punguani mmoja.
 
Huo ni upuuzi apeleke matisho yake huko.. sasa hapo Gaza kumebakia nini mpaka awatishe? Watu wameshauliwa, nyumba hospitali zote zimevunjwa, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna chakula.. hawa watu ndio eti utawatishia nini sasa?

Kama kuna watu ambao wameshapoteza kila kitu na hawaogopi kufa ni Wapalestina.

Watu wa Gaza sio kama Israel kichapo kidogo tu cha Hizbullah wamesarenda,.. hayo matisho yenu mplekeeni SHETANYAHU yeye ndio anaogopa kufa
 
Mimi ni muislam lakini hua najizuia sana kutazama hii vita kwa mtazamo wa kidini na nadhani hata sio vita vya kidini kwasababu ukiwaangalia Saudia, Egypt na nchi nyingine kubwa za kiislam, mateso ya Wapalestina hua kama hawana time nayo sanaaa!

Pia hua nakosa logical reasoning kwa Hamas kuteka wanawake na watoto, wanaweza vipi kuwa proud mpaka kuonesha video wanavyowachukua mateka wanawake na watoto? Au wanajua wangechukua wanaume tuu dunia isingepigana sana kumshinikiza Netanyahu kutafuta njia za amani za kuwarudisha kwasababu wanaume tunahesabika tuko expendable?

Lakini tukirudi kwa kauli ya Trump najiuliza atafanya kitu gani cha nguvu kuwarudisha mateka zaidi ya ambayo Netanyahu keshafanya.

Tatizo hao mateka kwasasa Hamas wanawafanya kama human shields, any move ya kumpiga aliewashikilia automatically inawaumiza na wao ndo maana Netanyahu alitumia nguvu sana akaua uongozi wote wa Hamas ila mwishowe ikabidi tuu atangaze dau $5m kwa yeyote atakaewezesha kuokolewa mateka hata mmoja.

Labda atie presha kwa Iran ili in return Iran nae awashinikize Hamas kuwaachia mateka lakini pia hii inagoma kwasababu wameuliwa pia karibu uongozi wote wa Hezbollah na hakuna mateka alieachiwa, sidhani kama hii inaweza kuwa solved kwa kutumia nguvu labda waamue hawahitaji tena kuokoa mateka wakiwa hai which again is pointless!!
 
T
View attachment 3167723
Anaandika Trump kupitia mtandao wake wa kijamii wa "TRUTH"

watu wanaongelea mateka wanaoshikiliwa kikatili, kinyama, na kinyume cha matakwa ya Dunia nzima huko Mashariki ya Kati - Lakini ni maneno tu, hakuna vitendo! Natoa onyo kupitia mtandao huu (Truth) kwamba, Mateka wasipoachiwa kabla ya Januari 20, 2025 siku ninayoingia Ikulu ya Marekani, kutakuwa na GHARIKA KUBWA Mashariki ya Kati na kwa wale waliotekeleza ukatili huu dhidi ya ubinadamu. Wanaohusika watabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ndefu na iliyojaa matukio ya Marekani !. ACHILIENI MATEKA SASA!

Everybody is talking about the hostages who are being held so violently, inhumanely, and against the will of the entire World, in the Middle East - But it’s all talk, and no action! Please let this TRUTH serve to represent that if the hostages are not released prior to January 20, 2025, the date that | proudly assume Office as President of the United States, there will be ALL HELL TO PAY in the Middle East, and for those in charge who perpetrated these atrocities against Humanity. Those responsible will be hit harder than anybody has been hit in the long and storied History of the United States of America. RELEASE THE HOSTAGES NOW!


View attachment 3167720
View attachment 3167722

View attachment 3167721
rump maneno mengi sana kama amewekwa mkoleni vile
 
Sijui kama unajua unachosema. Israel ni kiini macho kilichotengenezwa na wazungu ili kuwatisha waarabu baada ya kugundua mafuta. Eti wanasema Mungu aliwapa hiyo ardhii. Ina maana Mungu hakujua kuwa hii nchi ni ya Wapalestina? Kama kweli Mungu aliumba dunia, inakuwaje asahau kuwa Palestina ni ya wapalestina na hivyo asinge'wapa' hawa majambazi?
Kiini macho kivipi hizi ni stori tu mnazodanganyana kwenye misikiti yenu Israel iilikuwepo kabla hata babu yako hajazaliwa na kabla dini yake yako ya uislamu yaijaanzushwa
 
Back
Top Bottom