Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Subiri aingie madarakani ndo utajua anamaanisha nini kusema màtakwa ya dunia nzima.Unaposema kinyume cha matakwa ya Dunia nzima unamaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri aingie madarakani ndo utajua anamaanisha nini kusema màtakwa ya dunia nzima.Unaposema kinyume cha matakwa ya Dunia nzima unamaanisha nini?
tupatie na hesabu ya wapalestina waliouwawa na yahudi tangu 1948 tulinganishe nani ameua zaidi.Netanyahu hana kosa lolote ndio maana hata Ufaransa wamefuta maamuzi ya kumkamata.
Netanyahu ana kila haki ya kuilinda nchi yake dhidi ya washenzi walioua watu 1,200 kwa siku moja akiwemo Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel (apumzike kwa amani ), piga hesabu kwa mwaka mzima (siku 365) Israel ingekaa kimya wangeuliwa wangapi
Huna akili wewe Yahudi mweusi wa Tegeta kwa ndevu,Watanzania bado tuna maumivu mabichi ya vijana wetu wawili kuuawa na Magaidi wa Hamas alafu wewe unakuja kuandika nini hiki ?
Hao wapalestina lengo lao ni moja tu, From the riber to the sea, Kuifuta Israel na kuua watu wote ndani yake (wakiwemo waarabu wenzao), Huu kama sio ushenzi ni nini ?
Wacha weee,mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega.Hakunaga watu wanaoitwa wapalestina wale ni waarabu wahamiaji waliokuja kupora ardhi ya watu na kujifanya yao.
Iran alipiga Base zake zilizopo Iraq na Trump akiwa madarakani,alifanya nini?Subiri aingie madarakani ndo utajua anamaanisha nini kusema màtakwa ya dunia nzima.
Ndo huko madrassa mnafundishwa huo ujinga?Sijui kama unajua unachosema. Israel ni kiini macho kilichotengenezwa na wazungu ili kuwatisha waarabu baada ya kugundua mafuta. Eti wanasema Mungu aliwapa hiyo ardhii. Ina maana Mungu hakujua kuwa hii nchi ni ya Wapalestina? Kama kweli Mungu aliumba dunia, inakuwaje asahau kuwa Palestina ni ya wapalestina na hivyo asinge'wapa' hawa majambazi?
Nyie si mnafundishwa na Papa kufanya hivi.Ndo huko madrassa mnafundishwa huo ujinga?
Israel iko vitani na hamas,sasa wewe jiulize kwa kwa nini raia wanauwawa kwa wingi? Hemu nikuulize una hakika mwezi uliopita hakuna hamas hata mmoja aliyeuwawa miongoni mwa raia wa kipalestina? Je mwezi uliopita umesikia hata alzajeera imetangaza kuwa wameuwawa hamasi hata watano? Sasa tafakari hii ni December utaendelea kusikia wimbo wa genocide halafu korasi itakuwa wanawake na watoto ila hutasikia hamasi kauwawa/wameuwawa miongoni mwa raia. NA NI KOSA KISHERIA( WAR CRIMES) KUTUMIA RAIA KAMA KINGA. sasa hemu toa ushauri nini kifanyike upande wa hamasi na nn kifanyike upande wa Israel ilivita iendelee bila kuathiri raia wa kipalestina( wanawake na watoto)Upuuzi mtupu. Huyo mwenzetu ana thamani kuliko wapalestina 43,000? Kwangu, ubinadamu ni ubinadamu hata kama wanaouawa wanaitwa magaidi, ni wabaguzi na wasiotujali sisi kama tunavyowajali. Kwangu hwa ni binadamu. Siyo waislamu 'wenzetu' au wapinzani wa yeyote. Watoto na akina mama wanaouawa bila makosa, kwa mtu mwenye akili timamu, wanafikirisha.
Mbona zanzibar mpo 99%na mnaongoza kuliwa. Hapo hujaweka Tanga na maeneo mengine ya pwani... Nahisi hilo nalo ni somo mmnafundishaNyie si mnafundishwa na Papa kufanya hivi.
Huo utafiti umepewa Kanisani sio?Mbona zanzibar mpo 99%na mnaongoza kuliwa. Hapo hujaweka Tanga na maeneo mengine uavpwani... Nahisi hilo nalo ni somo mmnafundisha
Labda wewe ni choko, watu wanaongelea mambo mengine wewe unawaza kuinamishwa.Iran alipiga Base zake zilizopo Iraq na Trump akiwa madarakani,alifanya nini?
Inaonekana hata akikwambia inama utainama tu kwa unavyo muabudu,
Dunia ilishabadilika tokeni usingizini,mtaendelea kuonewa nyinyi tu,watu hawapo tayari kunyanyaswa,watatumia kila walichonacho to fight back.
Jibu swali nililokuuliza Kafiri wewe,Labda wewe ni choko, watu wanaongelea mambo mengine wewe unawaza kuinamishwa.
Punguani mmoja.
We umetokea wapi bwasheeWacha weee,mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Nzega.
rump maneno mengi sana kama amewekwa mkoleni vileView attachment 3167723
Anaandika Trump kupitia mtandao wake wa kijamii wa "TRUTH"
watu wanaongelea mateka wanaoshikiliwa kikatili, kinyama, na kinyume cha matakwa ya Dunia nzima huko Mashariki ya Kati - Lakini ni maneno tu, hakuna vitendo! Natoa onyo kupitia mtandao huu (Truth) kwamba, Mateka wasipoachiwa kabla ya Januari 20, 2025 siku ninayoingia Ikulu ya Marekani, kutakuwa na GHARIKA KUBWA Mashariki ya Kati na kwa wale waliotekeleza ukatili huu dhidi ya ubinadamu. Wanaohusika watabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ndefu na iliyojaa matukio ya Marekani !. ACHILIENI MATEKA SASA!
Everybody is talking about the hostages who are being held so violently, inhumanely, and against the will of the entire World, in the Middle East - But it’s all talk, and no action! Please let this TRUTH serve to represent that if the hostages are not released prior to January 20, 2025, the date that | proudly assume Office as President of the United States, there will be ALL HELL TO PAY in the Middle East, and for those in charge who perpetrated these atrocities against Humanity. Those responsible will be hit harder than anybody has been hit in the long and storied History of the United States of America. RELEASE THE HOSTAGES NOW!
View attachment 3167720
View attachment 3167722
View attachment 3167721
Kwani Israeli anashikiliaje mateka wa Palestina? .watu wanaongelea mateka wanaoshikiliwa kikatili, kinyama, na kinyume cha matakwa ya Dunia nzima huko Mashariki ya Kati.
Kiini macho kivipi hizi ni stori tu mnazodanganyana kwenye misikiti yenu Israel iilikuwepo kabla hata babu yako hajazaliwa na kabla dini yake yako ya uislamu yaijaanzushwaSijui kama unajua unachosema. Israel ni kiini macho kilichotengenezwa na wazungu ili kuwatisha waarabu baada ya kugundua mafuta. Eti wanasema Mungu aliwapa hiyo ardhii. Ina maana Mungu hakujua kuwa hii nchi ni ya Wapalestina? Kama kweli Mungu aliumba dunia, inakuwaje asahau kuwa Palestina ni ya wapalestina na hivyo asinge'wapa' hawa majambazi?
Sasa kama muislamu hatishiki mbona mbona mnaliaga hivyo ndugu zetu wapalestina wana malizwaYeye kwani Mungu? Kashundwa kuzuia kirisisasi cha shikio tu kaaanguka chali. Muislam hatishiki hivyo, wanaotishika hivyo wakiristo