Trump amechelewa Karne Kadhaa; Waliposhindwa kina Great Britain, waliofuata Walitumia Soft Imperialism: Simba mwenda Pole ndio mla Nyama

Trump amechelewa Karne Kadhaa; Waliposhindwa kina Great Britain, waliofuata Walitumia Soft Imperialism: Simba mwenda Pole ndio mla Nyama

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Kama mmoja wa Taifa na Bara ambalo limekuwa marginalized kwa kutumia mabavu hapo kabla na mpaka sasa hivi kwa hila / ujanja na ulafi wa viongozi wetu ninafurahia kinachotokea....

Nina uhakika hata Trump anachofanya anaelewa detriment kwa taifa lake in long term ila hajali (ni populist na mpenda sifa) lakini hizi story za mabavu na kutishia watu kila siku, haziwezi kufanya kazi katika karne ya 21; (Na hata Great Britain aliyeweza kipingi kile aligundua kwamba ni gharama kuendesha makoloni au kuwashinikiza watu wakati unaweza kuwalaghai wakakuletea wenyewe mali zao)

Hata wanaomkubalia Trump wameshagundua anapenda sifa hivyo ni kama mtoto unampa Toy acheze nalo ili asikupigie kelele na wewe uendelee na hamsini zako...

Anyway ni wakati wa Afrika kuelewa kwamba future yao inategemea nguvu zao wenyewe bila kutegemea yoyote na when push comes to shove kila mtu ana look for number one...

Ingawa as a Globalist ninasikitika sana, kinachoendelea kinaonyesha kwamba kazi nzuri yoyote inaweza kuvunjwa kwa muda mfupi; Tupiganie Umoja wa Mataifa wenye Nguvu na sio Umoja wa Mataifa ambao ni Nyenzo ya Wachache....
 
Kuna mambo mengi uliyoyaandika hapa ambayo sio sahihi.

1. Trump haelewi anachokifanya kwa taifa lake, Trump pamoja na kuwa populist lakini sio populist smart katika strategy na kufikiria mipango ya muda mrefu.Ni populist mjinga mjinga.

2. Uingereza haikugundua ni gharama kuendesha makoloni au kuwashinikiza watu bali matatizo ya uchumi ya baada ya vita vya pili vya dunia iliifanya Uingereza kutokuwa na namna au uwezo wa kuendelea kuendesha makoloni tena. Hawakuachia Makoloni eti ili kutulaghai tupeleke wenyewe mali zetu kwao, huo haukuwa mpango.

3. Umoja wa mataifa wenye nguvu hauwezekani ukiwa na nchi kama Marekani, Russia, China na India zenye population kubwa na chumi ambazo zinatagemea zaidi parasitic relationships pamoja na kujitazama wao wenywe ndani tu maslahi yao.
 
Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇 sikiliza kwa umakini

Ibonyeze mara mbili kuisikiliza

🗣️▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။03:53
 
Kuna mambo mengi uliyoyaandika hapa ambayo sio sahihi.

1. Trump haelewi anachokifanya kwa taifa lake, Trump pamoja na kuwa populist lakini sio populist smart katika strategy na kufikiria mipango ya muda mrefu.Ni populist mjinga mjinga.
Trump anajua kabisa mambo anayofanya mengi hayatakelezeki, hayana faida bali anachotaka ni ile sifa kwamba amefanya, kuwaridhisha wapiga Kura wake na vilevile kujinuifaisha yeye binafsi kwenye Biashara zake; Ofcourse he might not be the smartest man au well informed lakini anachotaka ni short term wins, kuonyesha ubabe na ku boost his ego..., ndio maana kuna mambo mengi anadanganya danganya na kila siku ni kulaumu watu.... After all anayofanya huenda effect zake zitakuwa baada ya miaka minne wakati atakuwa ameshaondoka hivyo passing the blame to someone else...
2. Uingereza haikugundua ni gharama kuendesha makoloni au kuwashinikiza watu bali matatizo ya uchumi ya baada ya vita vya pili vya dunia iliifanya Uingereza kutokuwa na namna au uwezo wa kuendelea kuendesha makolini tena. Hawakuachia Makolini eti ili kutulaghai tupeleke wenyewe mali zetu.
Sasa kama Makoloni yalikuwa yanawaletea faida (faida ambayo kiuchumi bado ilikuwa ni vigumu kuendesha makoloni) huoni kwamba ilikuwa ni gharama kwao kuendelea kuedesha makoloni? Ofcourse sababu sio moja kulikuwa na wimbi pia la mapinduzi na it was no longer cool to colonize others (watu walikuwa civilized jambo ambalo Trump anataka turudi zama za kale); lakini baada ya huo Ukoloni uliokuwa unaonekana ukarudi Ukoloni mamboleo ambapo kwa viongozi wa sasa hata huo ulikuwa / hauna ulazima tena sababu viongozi wetu wanakwenda kujiuza wenyewe huko nje...; Pia UK ilibadilisha na kufanya London kuwa a Financial Capital of the World (Walamba asali kupitisha pesa zao huko na Kuweka kwenye Financial Safe Heaven) as well as kuingia Mikataba na watu kama Saudia ya Silaha (kitu kilichowapatia pesa za kufa mtu)
3. Umoja wa mataifa wenye nguvu hauwezekani ukiwa na nchi kama Marekani, Russia, China na India zenye population kubwa na chumi ambazo zinatagemea zaidi parasitic relationships pamoja na kujitazama wao wenywe ndani tu maslahi yao.
Umoja wa Mataifa utawezekana iwapo kutokuwa hakuna VETO bali kila nchi iwe na Vote sawa.., Umoja huu ukisimamiwa na Haki kuonekana inafanyika basi itakuwa ni bora.., Vilevile more than one superpower is better kuliko single superpower..., Isingekuwa Cold War Saddam asingefanikiwa ku Nationalize Mafuta ya Iraq USA walivyopiga mkwara akaingia mkataba na Warusi wa kumsaidia na Ufaransa kumsaidia Jeshi (hivyo kunakuwa na checks and balances)...; Sasa hivi mfano Ulaya imekuwa haina maana Russia ana mambo mengi, China yeye anajikita kwenye kujenga nchi yake ndio maana USA kwa nguvu zake na imepata kiongozi Chizi imeweza kuleta Taharuki ambazo isingeweza kuzifanya kipindi cha Cold War kwa uwazi na dhihaka kiasi hiki....

 
lakini baada ya huo Ukoloni uliokuwa unaonekana ukarudi Ukoloni mamboleo ambapo kwa viongozi wa sasa hata huo ulikuwa / hauna ulazima tena sababu viongozi wetu wanakwenda kujiuza wenyewe huko nje...; Pia UK ilibadilisha na kufanya London kuwa a Financial Capital of the World (Walamba asali kupitisha pesa zao huko na Kuweka kwenye Financial Safe Heaven) as well as kuingia Mikataba na watu kama Saudia ya Silaha (kitu kilichowapatia pesa za kufa mtu)

Umoja wa Mataifa utawezekana iwapo kutokuwa hakuna VETO bali kila nchi iwe na Vote sawa.., Umoja huu ukisimamiwa na Haki kuonekana inafanyika basi itakuwa ni bora.., Vilevile more than one superpower is better kuliko single superpower..., Isingekuwa Cold War Saddam asingefanikiwa ku Nationalize Mafuta ya Iraq USA walivyopiga mkwara akaingia mkataba na Warusi wa kumsaidia na Ufaransa kumsaidia Jeshi (hivyo kunakuwa na checks and balances)...; Sasa hivi mfano Ulaya imekuwa haina maana Russia ana mambo mengi, China yeye anajikita kwenye kujenga nchi yake ndio maana USA kwa nguvu zake na imepata kiongozi Chizi imeweza kuleta Taharuki ambazo isingeweza kuzifanya kipindi cha Cold War kwa uwazi na dhihaka kiasi hiki....

Ukoloni mamboleo ni kichaka tu cha kujifichia cha watawala wabovu, wajinga, mafisadi na wala rushwa. Mtu anasaini mwenyewe mkataba wa hovyo wa kijinga anahongwa 10% halafu anageuka kupiga porojo za ukoloni mamboleo na nyie mnaimba tu kama Kasuku. Hata leo kampuni la kuchimba madini au kujenga barabara kutoka Africa likifika ulaya au Marekani likakuta viongozi wanahongeka litawahonga tu kwa maslahi yake. Huko West sasa hivi kuna kesi nyingi tu za watu na makampuni kutoka Urusi, China na Uarabuni yanayofanya lobbying na kutoa hongo kujipatia maslahi mbalimbali.

Pia haiwezekani kuwa na Umoja wa mataifa ambapo Marekani, Urusi, China, Brazili, India, Canada, Australia na EU watakuwa na nguvu au kura sawa na Malawi au Burundi.
 
Kama mmoja wa Taifa na Bara ambalo limekuwa marginalized kwa kutumia mabavu hapo kabla na mpaka sasa hivi kwa hila / ujanja na ulafi wa viongozi wetu ninafurahia kinachotokea....

Nina uhakika hata Trump anachofanya anaelewa detriment kwa taifa lake in long term ila hajali (ni populist na mpenda sifa) lakini hizi story za mabavu na kutishia watu kila siku, haziwezi kufanya kazi katika karne ya 21; (Na hata Great Britain aliyeweza kipingi kile aligundua kwamba ni gharama kuendesha makoloni au kuwashinikiza watu wakati unaweza kuwalaghai wakakuletea wenyewe mali zao)

Hata wanaomkubalia Trump wameshagundua anapenda sifa hivyo ni kama mtoto unampa Toy acheze nalo ili asikupigie kelele na wewe uendelee na hamsini zako...

Anyway ni wakati wa Afrika kuelewa kwamba future yao inategemea nguvu zao wenyewe bila kutegemea yoyote na when push comes to shove kila mtu ana look for number one...

Ingawa as a Globalist ninasikitika sana, kinachoendelea kinaonyesha kwamba kazi nzuri yoyote inaweza kuvunjwa kwa muda mfupi; Tupiganie Umoja wa Mataifa wenye Nguvu na sio Umoja wa Mataifa ambao ni Nyenzo ya Wachache....
Nimemaliza kusoma hiki kitabu kinaitwa
"Why Empires Fall: Rome, America, and the Future of the West" kinaongelea mambo mengi uliyoyagusia na kuhitimisha kwamba Marekani haiwezi kurudia ilivyokuwa (MAGA) lakini inaweza kujenga dunia mpya ambayo inaweza kuwa na ushawishi kwa kufanya kazi pamoja na nchi nyingine.

Reviews.


 
Ukoloni mamboleo ni kichaka tu cha kujifichia cha watawala wabovu, wajinga, mafisadi na wala rushwa. Mtu anasaini mwenyewe mkataba wa hovyo wa kijinga anahongwa 10% halafu anageuka kupiga porojo za ukoloni mamboleo na nyie mnaimba tu kama Kasuku. Hata leo kampuni la kuchimba madini au kujenga barabara kutoka Africa likifika ulaya au Marekani likakuta viongozi wanahongeka litawahonga tu kwa maslahi yake. Huko West sasa hivi kuna kesi nyingi tu za watu na makampuni kutoka Urusi, China na Uarabuni yanayofanya lobbying na kutoa hongo kujipatia maslahi mbalimbali.
Neocolonialism is the control by a state (usually, a former colonial power) over another nominally independent state (usually, a former colony) through indirect means.

Does it matter kama alihongwa au kuonyeshwa mtutu ? So long as ni State moja ndio inafaidika kwa aina moja au nyingine kukundamiza nyingine huo ni Ukoloni mamboleo..., Vilevile lazima ujue mwisho wa siku ni Makampuni makubwa (Corporations) ndio mwisho wa siku through lobbying na kufanikisha Sera zao ndio huwa wanakuwa behind ya unyonyaji; Hata Ukoloni ilikuwa ni Kampuni which was backed by their companies...,

Na hata baada ya Ukoloni mambo ni yaleyale, Mfano On June 27, 1954, democratically elected Guatemalan president Jacobo Árbenz Guzmán was deposed in a CIA-sponsored coup to protect the profits of the United Fruit Company. Árbenz was replaced by decades of brutal U.S.-backed regimes who committed widespread torture and genocide.
Pia haiwezekani kuwa na Umoja wa mataifa ambapo Marekani, Urusi, China, Brazili, India, Canada, Australia na EU watakuwa na nguvu au kura sawa na Malawi au Burundi.
Kwanini ? Nini Umoja wa Mataifa ? Kumbuka kuna Umoja tofauti tofauti mfano G7, n.k. As long as United Nations is concerned

The United Nations (UN) is an intergovernmental organization that aims to maintain international peace and security, develop friendly relations among nations and countries, achieve international cooperation, and serve as a centre for coordinating the actions of member states.

Sasa niambia hapo ni kipi Burundi au Malawi wanashindwa kuchangia...; Kumbuka hata kama wakituma sehemu Jeshi la Umoja wa Mataifa hata burundi anaweza kutuma Rasilimali watu au kuchangia mawazo.
 
Nimemaliza kusoma hiki kitabu kinaitwa
"Why Empires Fall: Rome, America, and the Future of the West" kinaongelea mambo mengi uliyoyagusia na kuhitimisha kwamba Marekani haiwezi kurudia ilivyokuwa (MAGA) lakini inaweza kujenga dunia mpya ambayo inaweza kuwa na ushawishi kwa kufanya kazi pamoja na nchi nyingine.
Nadhani Marais wengi waliopita kina Obama n.k. huko ndio walikuwa wanatupeleka na lilikuwa ni jambo jema (With Great Power Comes Great Responsibility); Nchi nyingine zote zilikuwa haziaminiki, sasa US of A under Trump sijui katika hii miaka minne akimaliza what detriment atakuwa amesababisha..., Binafsi am all for Nchi zote kufanya kazi pamoja after all, we as species inabidi tuungane kuyakabili mazingira yetu.
 
Ukoloni mamboleo ni kichaka tu cha kujifichia cha watawala wabovu, wajinga, mafisadi na wala rushwa. Mtu anasaini mwenyewe mkataba wa hovyo wa kijinga anahongwa 10% halafu anageuka kupiga porojo za ukoloni mamboleo na nyie mnaimba tu kama Kasuku. Hata leo kampuni la kuchimba madini au kujenga barabara kutoka Africa likifika ulaya au Marekani likakuta viongozi wanahongeka litawahonga tu kwa maslahi yake. Huko West sasa hivi kuna kesi nyingi tu za watu na makampuni kutoka Urusi, China na Uarabuni yanayofanya lobbying na kutoa hongo kujipatia maslahi mbalimbali.

Pia haiwezekani kuwa na Umoja wa mataifa ambapo Marekani, Urusi, China, Brazili, India, Canada, Australia na EU watakuwa na nguvu au kura sawa na Malawi au Burundi.
Rais wa Marekani wa awamu hii ni mpumbavu sana.
 
Nadhani Marais wengi waliopita kina Obama n.k. huko ndio walikuwa wanatupeleka na lilikuwa ni jambo jema (With Great Power Comes Great Responsibility); Nchi nyingine zote zilikuwa haziaminiki, sasa US of A under Trump sijui katika hii miaka minne akimaliza what detriment atakuwa amesababisha..., Binafsi am all for Nchi zote kufanya kazi pamoja after all, we as species inabidi tuungane kuyakabili mazingira yetu.
Hilo suala la nchi zote kufanya kazi pamoja ni utopia tu kwa karne hii, labda karne ijayo ya 22. Hakuna namna EU itakubali kufanya kazi pamoja na Russia, au India na China na Pakistana, au Korea Kaskazini na Kusini au Iran na Saudi Arabia.
 
Nadhani Marais wengi waliopita kina Obama n.k. huko ndio walikuwa wanatupeleka na lilikuwa ni jambo jema (With Great Power Comes Great Responsibility); Nchi nyingine zote zilikuwa haziaminiki, sasa US of A under Trump sijui katika hii miaka minne akimaliza what detriment atakuwa amesababisha..., Binafsi am all for Nchi zote kufanya kazi pamoja after all, we as species inabidi tuungane kuyakabili mazingira yetu.
Yeah. Haya mambo yako wazi na yameandikwa kipindi kirefu tu.

Kitabu kingine kizuri kinachoongelea mada hii ni "The Post American World" cha Fareed Zakaria (2008). Kuna picha moja ilipigwa rais Obama amekishika hiki kitabu, unaona rais anasoma na kujielimisha kuhusu dunia.

Huyu wa sasa hata hasomi. Alisema anampenda sana Hitler kwa sababu Hitler alikuwa anaheshimiwa na wanajeshi wake wote. Akaambiwa anajua kuwa Hitler akitaka kuuawa na wanajeshi wake. Akasema hakujua hili.

Ina maana sio tu hasomi, ila pia hata movies kama "Valkyrie" ya Tom Cruise hajaangalia.

The guy is an overprivileged imbecile.
 
Neocolonialism is the control by a state (usually, a former colonial power) over another nominally independent state (usually, a former colony) through indirect means.

Does it matter kama alihongwa au kuonyeshwa mtutu ? So long as ni State moja ndio inafaidika kwa aina moja au nyingine kukundamiza nyingine huo ni Ukoloni mamboleo..., Vilevile lazima ujue mwisho wa siku ni Makampuni makubwa (Corporations) ndio mwisho wa siku through lobbying na kufanikisha Sera zao ndio huwa wanakuwa behind ya unyonyaji; Hata Ukoloni ilikuwa ni Kampuni which was backed by their companies...,

Na hata baada ya Ukoloni mambo ni yaleyale, Mfano On June 27, 1954, democratically elected Guatemalan president Jacobo Árbenz Guzmán was deposed in a CIA-sponsored coup to protect the profits of the United Fruit Company. Árbenz was replaced by decades of brutal U.S.-backed regimes who committed widespread torture and genocide.
Kwa nini unaileta Marekani meza ya mbele katika mjadala wa ukoloni mamboleo?? Nilitegemea utazizungumzia Uingereza, Ureno, Hispania, Ufaransa, Ubelgiji n.k
 
Hilo suala la nchi zote kufanya kazi pamoja ni utopia tu kwa karne hii, labda karne ijayo ya 22. Hakuna namna EU itakubali kufanya kazi pamoja na Russia, au India na China na Pakistana, au Korea Kaskazini na Kusini au Iran na Saudi Arabia.
Mbona nchi zinafanya kazi pamoja through UN tayari?

Unaposema "nchi kufanya kazi pamoja" una maana gani? Una maana nchi zikubaliane 100% kwenye kila kitu?
 
Hakika. Nusu ya Wamarekani wamekuwa watu wapumbavu na wamechagu mpumbavu mwenzao
The best argument against democracy is a five-minute conversation with the average voter. Winston Churchill

Trump is Populist. Ni kama kipindi cha Ujerumani na Hitler aliweza kufahamu watu wake wanapenda nini, wanataka nini na kwa kipindi hicho kero yao ni nini ? Sasa kama mpiga Kura ukimwambia kwamba unataka kuokoa pesa zake za Kodi kuliko kuzitapakaza, unataka kulinda nchi yao dhidi ya mataifa mengine ambayo yalikuwa yanawachukulia poa na kuwapa picha ambayo haipo au ni distorted kwamba hapo Kale tulikuwa vizuri sana ila uongozi mbovu ndio umetuleta hapa na ninataka kuwarudisha on the hey days..., unategemea watafanya nini hao wapiga Kura ?

Socrates wanted us to imagine an election debate between two candidates: a doctor and a sweet shop owner. The sweet shop owner’ s speech would sound more or less like this:

“Look, this person here has worked many evils on you. He hurts you, gives you bitter potions and tells you not to eat and drink whatever you like. He’ll never serve you feasts of many and varied pleasant things like I will”. Socrates asks us to consider what the reaction of the audience would be like: Do you think the doctor would be able to reply effectively? The true answer – “I cause you trouble, and go against your desires in order to help you’” would cause an uproar among the voters, don’t you think? That’s why we prefer to give our vote to sweet shop owners rather than doctors.
 
Mbona nchi zinafanya kazi pamoja through UN tayari?

Unaposema "nchi kufanya kazi pamoja" una maana gani? Una maana nchi zikubaliane 100% kwenye kila kitu?
Ninaposema kufanya kazi pamoja namaanisha nchi zikubaliane pamoja katika masuala ya msingi yanayogusa mustakbali wa raia wengi wa dunia mfano mazingira, haki za watu na uhuru wao, udhibiti silaha, sovereignty n.k
 
Ninaposema kufanya kazi pamoja namaanisha nchi zikubaliane pamoja katika masuala ya msingi yanayogusa mustakbali wa raia wengi wa dunia mfano mazingira, haki za watu na uhuru wao, udhibiti silaha, sovereignty n.k
Kwani sasa hivi nchi hazikubaliani?

Mbona kuna mikataba mingi sana ya kimataifa ambayo nchi nyingi zinakubaliana?

Unaposema kukubaliana unamaanisha nini? Unamaanisha kukubakiana 100% kwenye kila kitu? Hiki mbona hata kwenye familia halitokei.

Nimekuuliza swali hili, hujalijibu.
 
Back
Top Bottom