Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Nilikuwa nakupa compliment kwanza, ndio turudi kwenye mjadala.Hujajibu swali.
Huna jibu/ majibu au hujalielewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nakupa compliment kwanza, ndio turudi kwenye mjadala.Hujajibu swali.
Huna jibu/ majibu au hujalielewa?
Bado hujajibu swali 🤣.Nilikuwa nakupa compliment kwanza, ndio turudi kwenye mjadala.
Trump kichaa!!!Kuna mambo mengi uliyoyaandika hapa ambayo sio sahihi.
1. Trump haelewi anachokifanya kwa taifa lake, Trump pamoja na kuwa populist lakini sio populist smart katika strategy na kufikiria mipango ya muda mrefu.Ni populist mjinga mjinga.
2. Uingereza haikugundua ni gharama kuendesha makoloni au kuwashinikiza watu bali matatizo ya uchumi ya baada ya vita vya pili vya dunia iliifanya Uingereza kutokuwa na namna au uwezo wa kuendelea kuendesha makoloni tena. Hawakuachia Makoloni eti ili kutulaghai tupeleke wenyewe mali zetu kwao, huo haukuwa mpango.
3. Umoja wa mataifa wenye nguvu hauwezekani ukiwa na nchi kama Marekani, Russia, China na India zenye population kubwa na chumi ambazo zinatagemea zaidi parasitic relationships pamoja na kujitazama wao wenywe ndani tu maslahi yao.
Trump kichaa!!!Kama mmoja wa Taifa na Bara ambalo limekuwa marginalized kwa kutumia mabavu hapo kabla na mpaka sasa hivi kwa hila / ujanja na ulafi wa viongozi wetu ninafurahia kinachotokea....
Nina uhakika hata Trump anachofanya anaelewa detriment kwa taifa lake in long term ila hajali (ni populist na mpenda sifa) lakini hizi story za mabavu na kutishia watu kila siku, haziwezi kufanya kazi katika karne ya 21; (Na hata Great Britain aliyeweza kipingi kile aligundua kwamba ni gharama kuendesha makoloni au kuwashinikiza watu wakati unaweza kuwalaghai wakakuletea wenyewe mali zao)
Hata wanaomkubalia Trump wameshagundua anapenda sifa hivyo ni kama mtoto unampa Toy acheze nalo ili asikupigie kelele na wewe uendelee na hamsini zako...
Anyway ni wakati wa Afrika kuelewa kwamba future yao inategemea nguvu zao wenyewe bila kutegemea yoyote na when push comes to shove kila mtu ana look for number one...
Ingawa as a Globalist ninasikitika sana, kinachoendelea kinaonyesha kwamba kazi nzuri yoyote inaweza kuvunjwa kwa muda mfupi; Tupiganie Umoja wa Mataifa wenye Nguvu na sio Umoja wa Mataifa ambao ni Nyenzo ya Wachache....
Tukikubaliana tufanye biashara kimkatabaTunaongelea kukubaliana.
Kukubaliana ni nini?
Tukikubaliana tufanye biashara kimkataba halafu tusikubaliane kiwango cha kodi hapo tumekubaliana au hatujakubaliana?
halafu tusikubaliane kiwango cha kodi hapo tumekubaliana au hatujakubaliana?Tukikubaliana tufanye biashara kimkataba
Tukikubaliana tufanye biashara kimkatabahalafu tusikubaliane kiwango cha kodi hapo tumekubaliana au hatujakubaliana?
halafu tusikubaliane kiwango cha kodi hapo tumekubaliana au hatujakubaliana?Tukikubaliana tufanye biashara kimkataba
Kwa swali langu does it matter Imperialism au niseme neocolonialism kwa wengine kama inatumika kwa kutumia Hongo au mtutu wa bunduki; kwa jibu lako Yes it matters umevindicate my first point ya soft imperialism works na mabavu hayana maana sababu hata kwako umeonekana kuikubali the former.... Ingawa kwa kuongezea nyama let me clarify.Yes, it matters.