Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mbona hata wewe ni zaidi ya mjinga 🤣.Huko Murica kuna raia wengi wamekuwa wajinga sana ndio maana wanafikiria ni threat to democracy mtu akishitakiwa kwa kusababisha vurugu kwenye bunge la nchi kutokana na kutoridhika na matokeo ya uchaguzi ambao taasisi zote hadi zile anazozisimamia zimesema umeenda vizuri. America ilitakiwa wafanye kwa Trump kama walivyofanya Brazili kwa Jair Bolsonaro.
Wapiga kura saa nyingine huwa wanakuwa na ujinga wa kudumu tu, mfano mwingine ni hao waarabu waliompigia kura Trump wakiamini atamaliza vizuri vita vya Gaza kuliko Kamala.
NATO ilianzishwa kwa madhumini gani?This is arguably kwamba ni uvamizi sababu hata humu ndani watu wanatafsiri tofauti.., Je unaona ni Sawa Nato iliyoundwa ili kumkabili Russia na Russia kusign mkataba na Ukraine kwamba hawatajiunga Nato leo hii kutaka kujiunga NATO ni sawa na Russia hana hoja yoyote ? (like I say this is another argument ila bado watu wanaweza kukaa mezani) na wangekaa mezani na akapatikana mkorofosi basi ambaye angekwenda kutoa hukumu sio Russia wala Ukraine bali United Nations
You don't even need a quote, Trump amewasamehe wahalifu WOTE wa January 6 waliohusika kuvamia bunge lao na kufanya uharibifu wa kila aina hadi kunya kwenye meza za wabunge.How did Trump incite the rioters?
Give me quotes, please.
Kama umeishiwa hoja tulia tu nyani, mada inaelimisha usitake kumtoa mtu kwenye hoja.Mbona hata wewe ni zaidi ya mjinga 🤣.
Nimependa nukuu ya Kiranga, The guy is an overprevileged imbecile.You don't even need a quote, Trump amewasamehe wahalifu WOTE wa January 6 waliohusika kuvamia bunge lao na kufanya uharibifu wa kila aina hadi kunya kwenye meza za wabunge.
The North Atlantic Treaty Organization (NATO NAY-toh; French: Organisation du traité de l'Atlantique nord, OTAN), also called the North Atlantic Alliance, is an intergovernmental transnational military alliance of 32 member states—30 European and 2 North American. Established in the aftermath of World War II, the organization implements the North Atlantic Treaty, signed in Washington, D.C., on 4 April 1949. NATO is a collective security system: its independent member states agree to defend each other against attacks by third parties. During the Cold War, NATO operated as a check on the threat posed by the Soviet Union. The alliance remained in place after the dissolution of the Soviet Union and the Warsaw Pact, and has been involved in military operations in the Balkans, the Middle East, South Asia, and Africa. The organization's motto isanimus in consulendo liber(Latin for 'a mind unfettered in deliberation'). The organization's strategic concepts include deterrence.NATO ilianzishwa kwa madhumini gani?
The same NATO ambayo defacto reasons of being ni pamoja na kuhimili Russia ? Hivi unajua The Cuba Missile Crisis ilivyotokea na kwanini ilitokea, huoni effect au Hoja ya Russia kutokuwa na adui mlangoni kwake ?Kwa nini Ukraine imekuwa ikitamani kujiunga na NATO?
Sasa mkuu unataka niwapangie ? Kama Russia haoni threat kwake kwa wao kujiunga na sidhani kama Finland na Sweden has ever been a part of Soviet UnionKwa nini Finland na Sweden zimejiunga na NATO na kuachana na policy yao ya muda mrefu neutrality?
Sijakuandikia wewe lakini umejipa jukumu la kunijibu! Umeshindwa kutulia na kupita kimya?Kama umeishiwa hoja tulia tu nyani, mada inaelimisha usitake kumtoa mtu kwenye hoja.
Hujajibu swali langu.Hazikubaliani mikataba mingi tu maadhimio yanashindwa kufikiwa na kila mwanachama mengine yanatupwa jalalani.
Kwani hukubaliana kwa asilimia ngapi ?Hujajibu swali langu.
Kwani kukubaliana ni mpaka zikubaliane 100% kwenye kila kitu?
Watu wasipokubaliana 100% kwenye kila kitu hawawezi kuwa wamekubaliana kwa asilimia kadhaa kwenye baadhi ya mambo na hizo asilimia kadhaa zikatosha kuleta maendeleo fulani ya pamoja?Kwani hukubaliana kwa asilimia ngapi ?
Hivyo hawakubaliani ?Watu wasipokubaliana 100% kwenye kila kitu hawawezi kuwa wamekubaliana kwa asilimia kadhaa kwenye baadhi ya mambo na hizo asilimia kadhaa zikatosha kuleta maendeleo fulani ya pamoja?
Kwa nini mnataka kukubaliana lazima kuwe ni kukubaliana kwa 100% kwenye kila kitkituh
Hili ndiyo lengo lako Nyani, kutoa watu kwenye mada ili mhamie kwenye matusi, ambako ndipo unapopamudu vizuri.Sijakuandikia wewe lakini umejipa jukumu la kunijibu! Umeshindwa kutulia na kupita kimya?
Unawashwa kwani? Nikikukuna usilie.
I got hoja for days. What do you know about, bitch made?
Kukubaliana ni nini?Hivyo hawakubaliani ?
Kwani tunazungumzia nini hapa ?Kukubaliana ni nini?
Tukikubaliana tufanye biashara halafu tusikubaliane kiwango cha kodi hapo tumekubaliana au hatujakubaliana?
Upuuzi gani wa Trump?Hili ndiyo lengo lako Nyani, kutoa watu kwenye mada ili mhamie kwenye matusi, ambako ndipo unapopamudu vizuri.
Huwezi kutetea upuuzi wa Trump kwa kuwa uwezo wa kujenga hoja huna, labda uanzishe ligi ya matusi tu.
Tunaongelea kukubaliana.Kwani tunazungumzia nini hapa ?
Haya ndiyo maswali sasa ya kujadiliana, siyo matusi mzee wa Ikungulyabhashashi.Upuuzi gani wa Trump?
Hujajibu swali.Haya ndiyo maswali sasa ya kujadiliana, siyo matusi mzee wa Ikungulyabhashashi.