Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kupandwa vichwa???
 
Sio kwa viongozi hawa tulionao
Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani
Wewe uwezo wako ni kumsema Trump tu hapa jf 😃😃😃😃😃😃😃
 
Bila shaka nawe pia ni msikiliza wa "Dochivele", huwa mnaionya sana Serikali ya Marekani.

Kama serikali zenu za kifisadi mnashindwa kuzisimamia mtaweza kumuwekea masharti Marekani?
Kenge mmoja huko anatusumbua akili kila siku
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Hahahahaha US inachukue mali ghafi gani huko? Na mkimnyima kuna wangapi wanampatia tena zenye kiwangu cha juu kabisa! Dunia nzima inapambana kupata soko la Marekani

Hebu lete data mwaka jana au juzi mmeexport kiasi gani kwenda kwa Trump
 
Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani
Hatuna jeuri hiyo, kwa aina ya viongozi wetu, tungekuwa na viongozi wa namna hiyo, afrika saa hizi isingekuwa hivi.
 
Ndo tujipange sasa maraisi wanakutana kudiscus misaada sio numna kujikomboa. Msimlaumu trump anatufungua macho.
 
Hatuna jeuri hiyo, kwa aina ya viongozi wetu, tungekuwa na viongozi wa namna hiyo, afrika saa hizi isingekuwa hivi.
Tuna vichaa wengi tu wa kumnyoosha tulikua na Magufuli sio kwamba tumeishiwa, kukaa kimya sio ujinga
 
Mnajitekenya .
US wana akili sana, wanaona miaka 100 mbele.
Wewe ambao viongozi wako kikomo chao cha kuona ni miaka 5 (miaka ya uchaguzi) tu ndio umvimbie USA?
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatua elimu au viongozi sisi sio wajinga
Waafrika gani unaongelea? Hawa wasudan wanaopondana kila siku wenyewe kwa wenyewe au Rwanda na DRC? Au Nigeria na hao boko Haram? Wale Africa magharibi wanaopinduana kila siku?
Au nyie wátanganyika mnàolalama mama kujipitisha kugombea urais?
Huko Mozambique wanauana kugombea màtokeo ya uràis?
Waafrika gani unaongelea?
 
Back
Top Bottom