Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Nafikiri Mkuu umesahau kuwa ni Marekani haohao walioleta mambo ya Uhuru na kujitawala.

Kingine unachoshindwa kuelewa ni kuwa kwenye hii dunia mwenye nguvu ana options mbili umpe kwa hiyari au achukue kwa Nguvu
 
Mikopo tunaweza kuchukua hata Japan, China, Germany, France, Sweden na mataifa mengine yeye ni nani
Mikopo ulevya,wazungu wanawasaidia waafrika ili kuchukua baraka zao.
Anaesaidia huwa tajiri zaidi kuliko anaepokea hili jambo lipo kiroho zaidi
 
AMBACHO hunijui ,ulaya inaweza kuwa blockers wa bidhaa zetu afrika na marekani akachukulia pale
 
Nafikiri Mkuu umesahau kuwa ni Marekani haohao walioleta mambo ya Uhuru na kujitawala.

Kingine unachoshindwa kuelewa ni kuwa kwenye hii dunia mwenye nguvu ana options mbili umpe kwa hiyari au achukue kwa Nguvu
Anatakiwa akamwingilie mke wake kwa nguvu sio sisi, Afrika tuna wanaume asifikiri wote ni wakike
 
Hawa viongozi ambao wana report ulaya? Hawa wanao pewa maelekezo na London, Paris or Washington?
Ngoja nikukumbushe ili uone jinsi gani pendekezo lako haliwezi kufanyiwa kazi. Bukinafaso, Mali na Niger ni one of the French speaking countries. Hizo nchi pamoja na Cameroon, Togo, Congo, Burundi nk zinanyonywa na Ufaransa hadi leo, wanatakiwa kuilipa Ufaransa kiasi kikubwa kila mwaka, hadi viwanda vya just biscuits tu (hasa kule West Africa ) hawatakiwi kua navyo, wanatakiwa kuagiza from Paris, hizo nchi nyingi hata hawanaga Central banks zao, haya Niger, Bukina na Mali wamepindua uongozi uliokuwepo ili waachane na Ufaransa, walau vijipesa vidogo wavielekeze kwa wananchi wao, guess what? ECOWAS ikiongozwa na Nigeria ya ustaadhi Inugu ikapewa maelekezo ya kuzivamia hivo nchi. Enugu na Ecowas wanakua kama Ufaransa azionea sana hizo nchi, lakini walikubaliana na France. Kiburi cha kina Sankara the second kikabadiri mitazamo. Hivi viongozi kama hao kina Enugu wanajua why wapo madarakani? Wanawaza wizi tu
 
Ninyi mnasema ni mikopo yake tunaweza kuchukua taifa lingine
Japan, China, Germany, Arabs, France na mengineyo kwani lazima yeye

Kasimamisha ARV siku chache kila mtu analia mbona hawajaja hao uliowataja?
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
Labda boknafaso ndo atakataa ila wengine wote lazma tumwabudu
 
Mkuu yapi?
Tulisaini mikataba feki wakajichukulia madini bure.
Sasa ukitaka kukiona cha mtemakuni wanyanganye uone.
 
Hawa viongozi ambao wana report ulaya? Hawa wanao pewa maelekezo na London, Paris or Washington?
Ngoja nikukumbushe ili uone jinsi gani pendekezo lako haliwezi kufanyiwa kazi. Bukinafaso, Mali na Niger ni one of the French speaking countries. Hizo nchi pamoja na Cameroon, Togo, Congo, Burundi nk zinanyonywa na Ufaransa hadi leo, wanatakiwa kuilipa Ufaransa kiasi kikubwa kila mwaka, hadi viwanda vya just biscuits tu (hasa kule West Africa ) hawatakiwi kua navyo, wanatakiwa kuagiza from Paris, hizo nchi nyingi hata hawanaga Central banks zao, haya Niger, Bukina na Mali wamepindua uongozi uliokuwepo ili waachane na Ufaransa, walau vijipesa vidogo wavielekeze kwa wananchi wao, guess what? ECOWAS ikiongozwa na Nigeria ya ustaadhi Inugu ikapewa maelekezo ya kuzivamia hivo nchi. Enugu na Ecowas wanakua kama Ufaransa azionea sana hizo nchi, lakini walikubaliana na France. Kiburi cha kina Sankara the second kikabadiri mitazamo. Hivi viongozi kama hao kina Enugu wanajua why wapo madarakani? Wanawaza wizi tu
Tunauwezo wakufanya chochote tunachotaka ndiyo maana tupo Wanaume na Wanawake yeye anafkiri sisi wote ni wa kike?
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
acha atuonee tu
ana miaka minne tu huyo
Biden atarudi usijali mkuu
 
Mkuu yapi?
Tulisaini mikataba feki wakajichukulia madini bure.
Sasa ukitaka kukiona cha mtemakuni wanyanganye uone.
Ndiyo maaana tukazaliwa wa kiume na wakike hicho atakachofanya wanaume tumwoneshe uanaume wetu yeye anafkiri sisi wote ni wa kike??
 
Sisi huku vijijini tunathirikaje na misaaada au mikopo kwa mfano wakati everything is free from nature kuni bure,maji bure,matunda bure porini ardhi yenye rutuba chochote unapanda atujui hata trump ni mdudu gani nadhani wataathirika zaidi na mikopo ni Hapo wezi wanairudisha hizo pesa bank za ulaya
Dawa mseto tu mnamtegemea yani kwa akili yako unajua upo salama kijijini, wakati hata shule za wanao, maji na nyaya za umeme, solar na maji mnamtegemea awalipie kwa wachina?
 
Wakati unaongea haya. Waafrika wenzako wanawaza lini watanunua iphone ili wajione wana maisha yenye hadhi. Marekani wameshaharibu mindsets zetu waafrika, tunaona kila kitu kizuri ni chao.
Tunathamini kila kinachotengenezwa na mmarekani, filamu, magari, simu, muziki n.k, kubali tu tumeshaingia kwenye mfumo. Leo hii ukimwambia mtanzania akaishi marekani anafurahi utafikiri ameenda mbinguni.

#Kama huwezi kushindana naye, ungana naye
 
Back
Top Bottom