Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump lini kawatukana? Mambo mengi mnayosema Trump kasema hajawahi kusema.

Malighafi gani ambayo ipo Africa tu haiwezi kupatikana sehemu zingine na US anahitaji? Africa ukitoa cheap labor hakuna kingine cha maana mlichonacho. Natural resources zipo dunian nzima, Brazil, Indonessia, Russia, Canada, China na USA yenyewe wana natural resources nyingi zaidi kuliko the whole of Africa combined. Nyie endeleeni kulishana matango pori kwamba nyie ndo matajiri sana.
Ingekuwa hivyo Marekani asingeleta kwato huku mara kwa mara
Wanachofuata humu ni nini wanajifanya wanatalii kumbe njaa zinawaleta
 
Ingekuwa hivyo Marekani asingleta kwato huku mara kwa mara
Wanachofuata humu ni nini wanajifanya wanatalii kumbe njaa zinawaleta

Wakitalii ndo wanachukua malighafi zenu?
 
Hahahahaha US inachukue mali ghafi gani huko? Na mkimnyima kuna wangapi wanampatia tena zenye kiwangu cha juu kabisa! Dunia nzima inapambana kupata soko la Marekani

Hebu lete data mwaka jana au juzi mmeexport kiasi gani kwenda kwa Trump
Umekaririshwa 🤑
 
Weka data acha ukasuku kijana
alietuhumu ni wewe. It is solely your obligation and responsibilete to do so.

ninakwambia hv👉💥🤔😁 hayo maneno uliyobandika huko juu sio ya kwako. mtu aliyejitosheleza na taarifa haezi andika upumbavu ulioandika.😂😂😂 halafu akashupaza shingle.
 
Back
Top Bottom