Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
Hebu tuachie vituko we jamaa...
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kupandwa vichwa???
Hajatuonea sisi ndo wenye matatizo , tunaakili za kushikiwa yaani Kuna mlevi mmoja wakizungu akaropoka hao watu weusi wana akili za kwendee uani tu, hivi ni kweli au tunasingiziwa.
 
Mzee malighafi hazizalishwi Africa pekee nenda brazili huko Kuna watu Wana Lima kama hawana akili zuri na wote soko lao ni hko Ulaya kwenye viwanda vingi.
 
Sijasoma ulichoandika ila naamini umeandika ufala😂😂

USA ikikukalia kooni ulipe madeni yake utakunya mavi mabichi
 
Bila shaka nawe pia ni msikiliza wa "Dochivele", huwa mnaionya sana Serikali ya Marekani.

Kama serikali zenu za kifisadi mnashindwa kuzisimamia mtaweza kumuwekea masharti Marekani?
dochivele
 
Trump atageukwa na Wamarekani wenzake wengi wameshakasika walianza kufyeka sikio moja kifuatacho wanaondoka nae mzima
Kuna uwezekano akageukwa muda si mrefu, kwa sababu kuna watu wanaenda kuwa majobless na ukichangia na upinzani alionao, ndio inakuwa changamoto zaidi.
 
Kuna uwezekano akageukwa muda si mrefu, kwa sababu kuna watu wanaenda kuwa majobless na ukichangia na upinzani alionao, ndio inakuwa changamoto zaidi.
Ndani ya chama chake kuna watu wengi maslahi yao yameshaguswa chama pinzani ndio usisema yule wanamlia timing
 
Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani
Akiiwekea vikwazo africa, waafrika mtakufa kama kumbikumbi.
 
Trump lini kawatukana? Mambo mengi mnayosema Trump kasema hajawahi kusema.

Malighafi gani ambayo ipo Africa tu haiwezi kupatikana sehemu zingine na US anahitaji? Africa ukitoa cheap labor hakuna kingine cha maana mlichonacho. Natural resources zipo dunian nzima, Brazil, Indonessia, Russia, Canada, China na USA yenyewe wana natural resources nyingi zaidi kuliko the whole of Africa combined. Nyie endeleeni kulishana matango pori kwamba nyie ndo matajiri sana.
 
Back
Top Bottom