Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Ingekuwa hivyo Marekani asingeleta kwato huku mara kwa mara
Wanachofuata humu ni nini wanajifanya wanatalii kumbe njaa zinawaleta
 
Ingekuwa hivyo Marekani asingleta kwato huku mara kwa mara
Wanachofuata humu ni nini wanajifanya wanatalii kumbe njaa zinawaleta

Wakitalii ndo wanachukua malighafi zenu?
 
Hahahahaha US inachukue mali ghafi gani huko? Na mkimnyima kuna wangapi wanampatia tena zenye kiwangu cha juu kabisa! Dunia nzima inapambana kupata soko la Marekani

Hebu lete data mwaka jana au juzi mmeexport kiasi gani kwenda kwa Trump
Umekaririshwa πŸ€‘
 
Weka data acha ukasuku kijana
alietuhumu ni wewe. It is solely your obligation and responsibilete to do so.

ninakwambia hvπŸ‘‰πŸ’₯πŸ€”πŸ˜ hayo maneno uliyobandika huko juu sio ya kwako. mtu aliyejitosheleza na taarifa haezi andika upumbavu ulioandika.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ halafu akashupaza shingle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…