Trump ameshajiondoa kufadhili miradi ya afya kabla ya siku 90? Je, ameona siku 90 ni mbali?

Trump ameshajiondoa kufadhili miradi ya afya kabla ya siku 90? Je, ameona siku 90 ni mbali?

Kwa hiyo ukitoa hiyo 22% ikabaki 78% nini kitashindikana kuendesha U.N?

Ukitoa hiyo 25% ikabaki 75% kwenye peacekeeping itashindikana?

Inawezekana mataifa mengine yakaongeza bajeti kufidia.

Au mashirika ya U.N na missions zake kupunguza matumizi mambo yakaenda kama kawaida

Kwanini usiseme Mama Anaweza kuchangia hata 1% kwenye Peace Keeping? Badala ya kukazia bakuli kwa Nchi za Ulaya?
 
Kwa hiyo ukitoa hiyo 22% ikabaki 78% nini kitashindikana kuendesha U.N?

Ukitoa hiyo 25% ikabaki 75% kwenye peacekeeping itashindikana?

Inawezekana mataifa mengine yakaongeza bajeti kufidia.

Au mashirika ya U.N na missions zake kupunguza matumizi mambo yakaenda kama kawaida

Problem taifa gani linataka kuongeza budget huko?
Kuongez budget means kubeba mzigo kwenye uchumi wa nchi husika since UNA Haifanyi biashara, but then kuna interest za kila nchi , do you think ni rahis kihivyo?
 
Mkuu China na North Korea wanachanga asilimia ngapi?😀😀
Top 10 UN budget contributors:

🇺🇲USA (22.89%)
🇨🇳China (17.21%)
🇯🇵Japan (8.56%)
🇩🇪Germany (6.09%)
🇬🇧UK (5.79%)
🇫🇷France (5.61%)
🇮🇹Italy (3.30%)
🇷🇺Russian (3.04%)
🇨🇦Canada (2.73%)
🇰🇷South Korea (2.26%)
 
Problem taifa gani linataka kuongeza budget huko?
Kuongez budget means kubeba mzigo kwenye uchumi wa nchi husika since UNA Haifanyi biashara, but then kuna interest za kila nchi , do you think ni rahis kihivyo?
Ndio maana nikasema ikishindikana U.N itabidi ipunguze matumizi yake

Kwenye masuala ya bajeti ikishindikana kufikia bajeti iliyotakiwa watu wanaishi na kile kilichopo

Tena ukizingatia hapo kama Marekani ikijitoa bado bajeti inazidi nusu hakuna kinashindikana
 
Ndio maana nikasema ikishindikana U.N itabidi ipunguze matumizi yake

Kwenye masuala ya bajeti ikishindikana kufikia bajeti iliyotakiwa watu wanaishi na kile kilichopo

Tena ukizingatia hapo kama Marekani ikijitoa bado bajeti inazidi nusu hakuna kinashindikana
Yaaap nakubali hapo itabidi wa trim matumizi, rasilimali watu na vitu vingine
 
Ukweli ni kwamba hata Marekani ijitoe U.N hakuna kitu kitasimama duniani. Bajeti ya U.N haichangiwi na Marekani peke yake
Screenshot_20250228-150051.jpg
 
Ndio maana nikasema ikishindikana U.N itabidi ipunguze matumizi yake

Kwenye masuala ya bajeti ikishindikana kufikia bajeti iliyotakiwa watu wanaishi na kile kilichopo

Tena ukizingatia hapo kama Marekani ikijitoa bado bajeti inazidi nusu hakuna kinashindikana
Easier said than done.
 
Kwa hiyo ukitoa hiyo 22% ikabaki 78% nini kitashindikana kuendesha U.N?

Ukitoa hiyo 25% ikabaki 75% kwenye peacekeeping itashindikana?

Inawezekana mataifa mengine yakaongeza bajeti kufidia.

Au mashirika ya U.N na missions zake kupunguza matumizi mambo yakaenda kama kawaida

Kaka unaona 25% ndogo???

Yani chukulia leo hii waondoe asilimia 25% ya mshahara wako, yani usilipwe mshahara miezi mitatu kwa mwaka, wangapi watasurvive?
 
Mkuu kati ya Trump na Putin nani alianza kumpigia simu mwenzake kutaka mazungumzo ya kusitisha vita?
Ni Trump alianza, na ilikuwa kwenye plans zake hata kabla hajawa raisi, na sababu kubwa ni uhusiano binafsi kati yake na Putin.

Russia-Ukraine conflict hata Putin mwenyewe ameichoka, alipambana vita ambayo nadhani hakujua kwamba mwisho wa siku atakuwa yeye against EU, US, NATO, JAPAN, CANADA nk.
 
kama sio ARV nafikiri gonjwa la HIV lingekuwa limeisha ingebaki story tu.
Hali ingekuwa mbaya kuliko mwanzo. Gonjwa haliishi ki miujiza, bali kwa strategy na science

In this modern days haluna shortcut, kama hukuwepo kabla ya ujio wa ARV, hali ilikuwa worse than, serikal ilikuwa almost wa giveup

Arv imekuja kubadilisha game, altleast is not easy kuwajua wahusika kirahis. Zaman walikwua wanapuputika kama pumba
 
Easier said than done.
Hiyo ndiyo principle ya budget hata ukienda kwenye corporations au mashirika hufanya hivyo

Unafikiri kwa nini makampuni huwa yanafanya layoffs?

Nothing impossible when it comes to deficit budget
 
Back
Top Bottom