Trump ameshajiondoa kufadhili miradi ya afya kabla ya siku 90? Je, ameona siku 90 ni mbali?

Trump ameshajiondoa kufadhili miradi ya afya kabla ya siku 90? Je, ameona siku 90 ni mbali?

Kaka unaona 25% ndogo???

Yani chukulia leo hii waondoe asilimia 25% ya mshahara wako, yani usilipwe mshahara miezi mitatu kwa mwaka, wangapi watasurvive?
Nitapunguza matumizi na kuangalia kipi nikipe kipaumbele inapohusu wants na needs

Hata kwenye masherehe kunakuwa na bajeti isipofikiwa linapigwa kwanja mpaka sherehe itafanyika tu

Hiii ni principle ya budget na huwa tunaitumia kila siku kwenye maisha yetu
 
Ni Trump alianza, na ilikuwa kwenye plans zake hata kabla hajawa raisi, na sababu kubwa ni uhusiano binafsi kati yake na Putin.

Russia-Ukraine conflict hata Putin mwenyewe ameichoka, alipambana vita ambayo nadhani hakujua kwamba mwisho wa siku atakuwa yeye against EU, US, NATO, JAPAN, CANADA nk.
Sasa nani alikuwa anamhitaji zaidi mwenzake hapo kati ya Marekani na Russia?

Kuchoka ni kushindwa. Kati ya Urusi na Ukraine nani vita vimemuelemea na nani vita vinapiganwa kwenye ardhi yake?

Russia imechukua zaidi 20% ya ardhi ya Ukraine licha ya misaada yoe kutoka NATO na U.S vassal states hapo hatujazungumzia Crimea

Marekani atafanya ubabe wake wote kwa mataifa mengine lakini sio kwa Russia na China

 
Ni wakati wa kuionyesha Dunia kuwa inawezekana kabisa kuitenga Marekani na maisha yakaendelea.
First. Ni kuzuia matumizi ya Dola
Second. Ni kuondoa biashara ama ushirikiano wa kibiashara na serikali ya Trump.
Third. Kutafuta jumuiya ya ushirikiano kwenye masuala ya afya kwa nchi za Afrika, ulaya na Asia pekee.
Fourth. Afrika ijiimarishe kibiashara na china, ulaya na nchi za Asia ya kati kati Singapore na Malaysia pamoja na Korea ya kusini na japani.
Hahahaha 🤣🤣😂😂
Haya kama ndiyo mawazo ya masomi itakuaje Kwa Sisi darasa la 7?
 
Back
Top Bottom