Trump amsifia sana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Trump amsifia sana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Unaweza kusema kuwa sasa nyota ya Kenya inazidi kuwaka kuelekea kuimarisha uchumi wao. Hii yote inatokana na rais wa nchi yao kuwa karibu sana na rais wa dunia yaani rais wa USA [emoji1259].

Wenzetu nawaona kama wanakimbia zile mbio za nyika ambazo kwao kila mashindano ya dunia huwa ni washindi tu.

Mwezi wa nne mwaka huu wakenya watakuwa na ugeni mkubwa sana kwa kumpokea rais Trump.

Ushahidi wa haya someni hapo chini, isiwe kesi sisi Kagame anatutosha. View attachment 1351105

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi Lissu naye hajasifiwa?
 
Kwa hiyo unataka Raisi Magufuli asikie wivu? Hivi ninyi watu ni lini mtamature na kuwa watu wazima? Mambo ya kuchonganisha Wanaume wawili ni ya watoto wadogo na Wanawake, ndo maana JF imejaa malalamiko kila siku mnaachwa na Wanawake.
Wivu wa nini sasa wakati yule mwingine akisafiri sana ni hapo Chattle kwenda kudeka kwa Mama!😂😂😂🤣🤣🤣
 
Kweli zama zetu zimeisha


Jumla ya Ma Rais wa Marekan waliotembelea Africa wakiwa Madarakan ni watatu, Clinton, Bush na Obama

Hakuna Safari ambayo walikuja Africa bila ya kuzuru Tanzania

Hata Obama alipoingia Madaran basi Muungwana wa Msoga ndie alikuwa Rais wa Kwanza kualikwa Kwa State visit

Role ya JK kimataifa imeibiwa na Kenyata

Sent using Jamii Forums mobile app
JK alikua mwanadiplomasia hasa huwezi kulinganisha na huyu mkolomije
 
Unaweza kusema kuwa sasa nyota ya Kenya inazidi kuwaka kuelekea kuimarisha uchumi wao. Hii yote inatokana na rais wa nchi yao kuwa karibu sana na rais wa dunia yaani rais wa USA [emoji1259].

Wenzetu nawaona kama wanakimbia zile mbio za nyika ambazo kwao kila mashindano ya dunia huwa ni washindi tu.

Mwezi wa nne mwaka huu wakenya watakuwa na ugeni mkubwa sana kwa kumpokea rais Trump.

Ushahidi wa haya someni hapo chini, isiwe kesi sisi Kagame anatutosha. View attachment 1351105

Sent using Jamii Forums mobile app
Trump haaminiki huyo, anayemuamini ayasemayo ana mtindio wa ubongo si bure
 
Unaweza kusema kuwa sasa nyota ya Kenya inazidi kuwaka kuelekea kuimarisha uchumi wao. Hii yote inatokana na rais wa nchi yao kuwa karibu sana na rais wa dunia yaani rais wa USA [emoji1259].

Wenzetu nawaona kama wanakimbia zile mbio za nyika ambazo kwao kila mashindano ya dunia huwa ni washindi tu.

Mwezi wa nne mwaka huu wakenya watakuwa na ugeni mkubwa sana kwa kumpokea rais Trump.

Ushahidi wa haya someni hapo chini, isiwe kesi sisi Kagame anatutosha. View attachment 1351105

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo na Tanzania.
 
Uhuru anazidi kutiwashia mataa mekundu sasa kwa EA
Inaonekana kwamba amekubali kwenda Kenya baada ya kukutana na Uhuru ana kwa ana na kumsifia kuhusu personality yake. Inaonyesha umuhimu mkubwa wa kuwa na rais mwenye uwezo wa diplomasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unatumia ubongo wako vibaya maana hakuna ulicho kiandika kinacholingana na kilichopo kwenye uzi.
Kwa hiyo unataka Raisi Magufuli asikie wivu? Hivi ninyi watu ni lini mtamature na kuwa watu wazima? Mambo ya kuchonganisha Wanaume wawili ni ya watoto wadogo na Wanawake, ndo maana JF imejaa malalamiko kila siku mnaachwa na Wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom