Trump anaendelea kupinga na Mapenzi ya Jinsi Moja

Trump anaendelea kupinga na Mapenzi ya Jinsi Moja

Hao lazima walikuwa mbali na Uislam ndio wakapotea, inawezekana wana majina ya kislamu tu, we huoni hata kuna wafalme wa kiarabu wana support Israel na US, hao ni majina tu waislamu
Wewe naye bogus, hakuna majina ya kiislam sema majina ya kiarabu. Majina yanatumiwa na watu wa imani tofauti tofauti.

Ukienda uarabuni kuna mtu anaitwa Mohammed lakini hata msikiti haendi na mwingine anaitwa Fauz Aziz lakini unakuta ni mkristo.
 
Wewe naye bogus, hakuna majina ya kiislam sema majina ya kiarabu. Majina yanatumiwa na watu wa imani tofauti tofauti.

Ukienda uarabuni kuna mtu anaitwa Mohammed lakini hata msikiti haendi na mwingine anaitwa Fauz Aziz lakini unakuta ni mkristo.
We kondoo ulio potea wako warabu wengi tu nenda Lebanon wanaitwa John. Anthony, Alexander, Joseph hayo majina ya kiarabu?

Huyo Fauz labda tajiri yako kaiba jina la kislam akalitumia.

Huyo Mohammed haendi kwenye masajid, ndio hao wana majina ya kislam wako kwenye uislam unless awe ana udhuru anasali nyumbani.
 
Trump ana hofu ya Mungu kuliko Papa for sure! Anakemea ushenzi hadharani bila kuzungusha zungusha maneno. Straight to the point - God Created Two Genders; nothing less, nothing more.
Amiin
 
Wapi kwenye bible wameonyesha u gay
Swali kama bibilia zenu zinakataza kwanini nchi za Western, USA na Israel wana promote gay rights?

Wapi kwenye nchi za Kislam uliona wana promoting gay rights?

Je hakuna ndoa za jinsia moja zinafungwa kanisani?

Uliwahi kuona ndoa za jinsia moja zinafungwa kwenye Masajid?
 
Niko nasubiri jibu
Kwa hio hapo umeona kaongea point ..
Zenji kwan ni taifa la kiislam ?tofautisha msimamo wa dini na watu
Uislam unakataza ushoga ukiufanya kwenye nchi za kiislam unanyongwa
Aya nambie vip ukristo unakemea ushoga ?nchi za kikristo ukiwa shoga unapata adhabu au ndio unageuka kioo cha jamii mpk wazazi wanajivunia
 
Kwanza sie c mnatuita magaidi
Sasa gaidi na ushoga wapi na wapi
 
Usishangae kwenye dunia hi kila kitu kinawezekana, we hujaona mtu kasomea udaktari akawa engineering, badala acheze na damu, ana cheza na oil.

Kwa hio usiwe unabisha sana, maaskofu wengi ndio washika bendera za utamaduni wa ile equally ✅️
Chimbuko la ukristo haliruhusu uasherati na ushoga.
Usiweke hukumu jumuishi bro.
 
It depends on the insect and why you’re killing it.

Some insects, such as mosquitoes spread disease
But still not right to burn the whole forest because of some mosquitoes.
What about grasshoppers and butterflies!?
 
Trump ana hofu ya Mungu kuliko Papa for sure! Anakemea ushenzi hadharani bila kuzungusha zungusha maneno. Straight to the point - God Created Two Genders; nothing less, nothing more.
Kidini ushoga ni dhambi sawa na uzinzi pamoja na uasherati
 
Kanisa limebariki hadharani ushoga ina maana mmeukubali na case za ushoga Vatican inaongoza tena mpk vitoto mnalawiti
Uislam unaupinga ushoga kwa nguvu zote
unaposema kanisa limebariki izo ndoa inabidi utaje ni kanisa gani??T.A.G,KKKT,PENTECOSTE,SABATO,ROMA.
 
Kwa hio hapo umeona kaongea point ..
Zenji kwan ni taifa la kiislam ?tofautisha msimamo wa dini na watu
Uislam unakataza ushoga ukiufanya kwenye nchi za kiislam unanyongwa
Aya nambie vip ukristo unakemea ushoga ?nchi za kikristo ukiwa shoga unapata adhabu au ndio unageuka kioo cha jamii mpk wazazi wanajivunia
Mashariki ya kati ndo chimbuko la Ushoga na mabasha sema wanajificha kwenye kichaka cha dini.
 
Back
Top Bottom