Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Tukienda na ule ukweli hili ufanye kazi kwa ufanisi zaidi upate matokeo tarajiwa ni lazima watendaji wako wa chini wawe ni watu wanaoamini katika ideology na maono yako.

#Trump2024
Yeah,ngumungumu....ukishindwa utaipakia mate.
Jamaa ameamua kukaza jumla 🙌
 
Kawapa wote option ya ku resign, hajataka kuwafukuza wote. Kuna tofauti.
Siyo wote. Anataka kufanya restructuring na kupunguza baadhi na siyo kufukuza wote.

Amekurupuka Sana Trump kwenye suala hili.
Huwezi kuamka asubuhi na kukurupuka eti unataka kulivunja Jeshi la Ulinzi, hii inawezekana vipi?
Kuna taratibu ndefu Sana ambazo anapaswa kuzifuata kabla ya kufikia Uamuzi wa namna hii wa kutaka kulivunja Jeshi katika nchi.
 
Magufuli kazaliwa upya USA katika mwili wa Trump🤣. Kwetu ilikuwa Magufulication of Africa. Kwao itakuwa Trumplization of America.
Hebu niambia kitu hata kimoja cha kimfumo ambacho Magufuli alifanikiwa kukifanya na sasa hivi mashabiki wake wanaweza kujivunia. Sana sana alifundisha ''kuteka'' mihimili mingine ya uongozi, vyama vya jamii, viongozi wa dini, kuua na kuiba kura.
 
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Uongo!
 
Hebu niambia kitu hata kimoja cha kimfumo ambacho Magufuli alifanikiwa kukifanya na sasa hivi mashabiki wake wanaweza kujivunia. Sana sana alifundisha ''kuteka'' mihimili mingine ya uongozi, vyama vya jamii, viongozi wa dini, kuua na kuiba kura.
Hahahahah huoni hata aibu, ile system ya EGa aliitengeneza Jakaya nayo?
 
Nawaona akina lee harvey oswald, jack rubby, maerciello, Trafficante wakiandaliwa upya kutekeleza kazi yao kama ile waliyoifanya dallas 1963.
Hicho ndicho kitakachofuatia.

Lakini kwa namna ninavyowafahamu hao watu naamini kwamba Bw. Trump lazima Polonium, Novichok, Ricin au Asernic acid itamhusu.
 
Kama boss hakutaki ofisini halafu unapitishwa barua ya kusaini usaini kuacha kazi au ujiuzulu kuna tofauti gani na kufukuzwa?!
Unaamini Trump anataka kufukuza watu wote CIA? Unajua CIA kuna wafuasi wa Trump pia?

Trump kapeleka barua CIA yote akitumaini kuna watu wengi hawapendi kufanya kazi naye na hao ndio anaotaka wajiuzulu. Si kwamba anataka CIA wote wajiuzulu.

CIA needs continuity.
 
Back
Top Bottom