kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
ingekuwa yakijinga isingechukua hatua mbalimbali kujirekebishaWw leta habari lakini mambo ya USA imekuwa nchi ya kijinga acha maana sidhani kama unaijua USA kuliko Trump na timu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingekuwa yakijinga isingechukua hatua mbalimbali kujirekebishaWw leta habari lakini mambo ya USA imekuwa nchi ya kijinga acha maana sidhani kama unaijua USA kuliko Trump na timu yake.
Kwani ingekuwa wewe ungekataa fweza,ya bure miezi 8 + marupurupu yako.Kichaa Trump!
Mambo yanaenda muruwaa kabisaaa huko USAMagufuli kazaliwa upya USA katika mwili wa Trump🤣. Kwetu ilikuwa Magufulication of Africa. Kwao itakuwa Trumplization of America.
hahahah U.S.A Sio TZAmekurupuka Sana Trump kwenye suala hili.
Huwezi kuamka asubuhi na kukurupuka eti unataka kulivunja Jeshi la Ulinzi, hii inawezekana vipi?
Kuna taratibu ndefu Sana ambazo anapaswa kuzifuata kabla ya kufikia Uamuzi wa namna hii wa kutaka kulivunja Jeshi katika nchi.
TISS imekuwa ni moja ya jumuia za CCM kama zilivyo Jumuia ya akina mama na umoja wa vijana.Note: ila hii haimaniishi kwamba bibi tozo yuko sahihi kujaza machawa na uvccm pale TISS
Askari waliokutwa na vyeti feki pamoja na vyeti vilivyotumiwa na zaidi ya mtu mmoja Tanzania ilikuwaje mkuu??Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Mmmhh!TISS imekuwa ni moja ya jumuia za CCM kama zilivyo Jumuia ya akina mama na umoja wa vijana.
Huku yafaa tuwaonee wivu,huko mambo ni moto.Mambo yanaenda muruwaa kabisaaa huko USA
Wazungu hawana idara nyeti. Wale wanaangalia professionalism zaidi kuliko uchawaHaha! ameanza kushika idara nyeti akae kwa password
Ulaya hata CDF anahojiwa na kamati ya usalama ya Bunge. Mungu wabariki sana wazungu.Anadeal na watu hatari,watamwangamiza kwani ndio wanao mzunguka kila siku. Atafute njia nyingine kwani hii itamuumiza mwenyewe
Trump anaweza kusema katiba yao inamruhusu kugombea muhula mwingine tena kwa sababu hajaongoza vipindi viwili mfululizo.Uzuri huyu ana max of 3+ yrs has to go for good. Oneni uzuri wa Katiba imara.
Sio kule kwingine anaweza kubadili Katiba na kusalia madarakani forever.
Huyu Babu atawavuruga kweli kweli.Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Trumpification mkuuMagufuli kazaliwa upya USA katika mwili wa Trump🤣. Kwetu ilikuwa Magufulication of Africa. Kwao itakuwa Trumplization of America.
Marekani sio Tanzania wewe. That's American, a father of all nations.Trump sasa anavuka mstari mwekundu.
Sasa naona ameamua kujikatia tiketi ya kifo. Muda utaongea!
Let's wait!
Mabaraza yote anayo pamoja na sirikali nini kitashindikana,kama sharia uwingi wa kufanya mabadiliko anao akiona MAGA bado kutimia na waamerika wanamwelewa hilo ni chap kwa haraka.Trump anaweza kusema katiba yao inamruhusu kugombea muhula mwingine tena kwa sababu hajaongoza vipindi viwili mfululizo.
Huyo trump akawishiwi kuchapwa risasi, tunzeni hii commentHuko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Tatizo lenu mnawaabudu sana watu wa usalama kana kwamba Marekani ni TanzaniaAmekurupuka Sana Trump kwenye suala hili.
Huwezi kuamka asubuhi na kukurupuka eti unataka kulivunja Jeshi la Ulinzi, hii inawezekana vipi?
Kuna taratibu ndefu Sana ambazo anapaswa kuzifuata kabla ya kufikia Uamuzi wa namna hii wa kutaka kulivunja Jeshi katika nchi.
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Movies za kijasusi zinakudanganya sanaHicho ndicho kitakachofuatia.
Lakini kwa namna ninavyowafahamu hao watu naamini kwamba Bw. Trump lazima Polonium, Novichok, Ricin au Asernic acid itamhusu.