uko vizuriTISS imekuwa ni moja ya jumuia za CCM kama zilivyo Jumuia ya akina mama na umoja wa vijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko vizuriTISS imekuwa ni moja ya jumuia za CCM kama zilivyo Jumuia ya akina mama na umoja wa vijana.
Kabisa, CIA sio watu wa kubeza.Anadeal na watu hatari,watamwangamiza kwani ndio wanao mzunguka kila siku. Atafute njia nyingine kwani hii itamuumiza mwenyewe
Magufuli kazaliwa upya USA katika mwili wa Trump🤣. Kwetu ilikuwa Magufulication of Africa. Kwao itakuwa Trumplization of America.
Achana nae huyo hopeless nigga mkuuHahahahah huoni hata aibu, ile system ya EGa aliitengeneza Jakaya nayo?
au sio...😀Wazungu hawana idara nyeti. Wale wanaangalia professionalism zaidi kuliko uchawa
Jamaa anataka muanze kujadili jinsi mama anavyoupiga mwingi au jinsi anavyomwaga ajira kwa watoto wa maskini na jinsi anavyonunua magoli ya simba kwa hela za walipa kodi.Toka hapa, sijakutumia kadi ya mwaliko uje kwenye uzi wowote. Kuna nyuzi nyingi za kukata mauno, mpira wa Simba na Yanga, M23 n.k ambazo unaweza kujikita huko.
Ni kweli kabisa unachosema, lakini wanayo mamlaka hayo endapo kama kweli imethibitika kwamba target anastahili kupata malipizi ya aina hiyo pale inapolazimu.Marekani sio Tanzania wewe. That's American, a father of all nations.
Elewa point yangu ya hapo juuTatizo lenu mnawaabudu sana watu wa usalama kana kwamba Marekani ni Tanzania
Kuna watu wanaamini hata uwepo wa Ai leo ni matokeo ya mipango ya miaka iliyopita na imeanza kutumika kwenye agency za serikali halafu baadae ndo wanaruhusu iwe commercial.Huwa sikubaliani na porojo za kuwa na plan za miaka 50 au 100 mbele, kwanza mambo yanavyobadilika hivi kwa kasi katika teknolojia unawezaje kuwa na mipango ya miaka 20, 50, 100 n.k?!
Unaweza ukaweka loyalists wa chama chako kwenye taasisi muhimu kama TISS, ila make sure hao loyalists wanalinda maslahi ya taifa kwanza kabla hawajalinda maslahi yako...!! Sasa kwa hapa kwetu hao wako pale kulinda maslahi ya chama tawala.TISS imekuwa ni moja ya jumuia za CCM kama zilivyo Jumuia ya akina mama na umoja wa vijana.
They're Paramilitary Wing of the ruling party?Unaweza ukaweka loyalists wa chama chako kwenye taasisi muhimu kama TISS, ila make sure hao loyalists wanalinda maslahi ya taifa kwanza kabla hawajalinda maslahi yako...!! Sasa kwa hapa kwetu hao wako pale kulinda maslahi ya chama tawala.
Kuna mambo machache unaweza kuyawekea mipango ya muda mrefu mfano mipango miji, nishati na mazingira. Uwepo wa AI sio mipango ya serikali, ni jambo ambalo limekuwa la sekta binafsi wakifanya inventions na innovations na kila wakati kuja na kitu kipya. Modern Computing imeanza tangu miaka ya 1900's na wanasayansi wamekuwa wanavumbua na kuboresha kila mara kadri muda unayoenda ila sio kwa kujiwekea plan za miaka 20, 50 au 100 eti tunataka tuewe tumefikia hapa.Kuna watu wanaamini hata uwepo wa Ai leo ni matokeo ya mipango ya miaka iliyopita na imeanza kutumika kwenye agency za serikali halafu baadae ndo wanaruhusu iwe commercial.
Mkuu, Kuna watu wanaamini haya mambo huanzia serikalini kwanza ndipo linarudi kwa jamii. Yaani inovation yenye manufaa huanza kutumika serikalini kupitia wanausalama wake kisha baadae linaachiwa liwe commercial.Kuna mambo machache unaweza kuyawekea mipango ya muda mrefu mfano mipango miji, nishati na mazingira. Uwepo wa AI sio mipango ya serikali, ni jambo ambalo limekuwa la sekta binafsi wakifanya inventions na innovations na kila wakati kuja na kitu kipya. Modern Computing imeanza tangu miaka ya 1900's na wanasayansi wamekuwa wanavumbua na kuboresha kila mara kadri muda unayoenda ila sio kwa kujiwekea plan za miaka 20, 50 au 100 eti tunataka tuewe tumefikia hapa.
Ni vigumu sana loyalists wa chama kuwa loyalists wa taifa katika mfumo wa vyama vingi ulio na ushindani, labda katika mfumo wa chama kimoja kama China hilo jambo ndio linawezekana.Unaweza ukaweka loyalists wa chama chako kwenye taasisi muhimu kama TISS, ila make sure hao loyalists wanalinda maslahi ya taifa kwanza kabla hawajalinda maslahi yako...!! Sasa kwa hapa kwetu hao wako pale kulinda maslahi ya chama tawala.
Basi katika ujinga aliofanya yule kichaa ni hili la vyeti fake. Hakukuwa na positive impact yoyote, zaidi ni inner circle yake ilikuwa inachukuwa advantage kufanya yao. Kama english inapanda soma kitabu cha Kabendera ndiyo ujue Magufuli ni shetani aliyeharibu nchi yetu.Hahaha fala kweli wewe, hata aibu huoni utakuwa jizi wewe au muhanga wa vyeti feki.
Kwanza kinachofanywa na DOGE tu huko marekani hata Jpm aliwahi kukifanya miaka yake ya mwanzo enzi hizo akabaini kuna watu walishakufa ila bado wanaendelea kupokea mishaara na madudu mengine kibao....!! Halafu bila aibu unauliza eti taja hata kimoja, yaelekea umelelewe na kuzoea kuishi kwenye mfumo corrupt wewe.
Suala la kuiba kura kwa ccm halikuanzia kwa JPM
Sijawhi kusikia vitu vya kiteknolojia zaidi ya GPS na silaha vilivyoanzia serikalini.Mkuu, Kuna watu wanaamini haya mambo huanzia serikalini kwanza ndipo linarudi kwa jamii. Yaani inovation yenye manufaa huanza kutumika serikalini kupitia wanausalama wake kisha baadae linaachiwa liwe commercial.
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969