Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Trump akamatwe haraka aanzishiwe doze ya uchizi,ataleta madhara zaidi
 
Hebu niambia kitu hata kimoja cha kimfumo ambacho Magufuli alifanikiwa kukifanya na sasa hivi mashabiki wake wanaweza kujivunia. Sana sana alifundisha ''kuteka'' mihimili mingine ya uongozi, vyama vya jamii, viongozi wa dini, kuua na kuiba kura.
Hahaha fala kweli wewe, hata aibu huoni utakuwa jizi wewe au muhanga wa vyeti feki.


Kwanza kinachofanywa na DOGE tu huko marekani hata Jpm aliwahi kukifanya miaka yake ya mwanzo enzi hizo akabaini kuna watu walishakufa ila bado wanaendelea kupokea mishaara na madudu mengine kibao....!! Halafu bila aibu unauliza eti taja hata kimoja, yaelekea umelelewe na kuzoea kuishi kwenye mfumo corrupt wewe.

Suala la kuiba kura kwa ccm halikuanzia kwa JPM
 
Kuwa serious basi, ni trump huyu alikuwa almost alambe mchanga baada ya kupunyuliwa skio
Alikuwa ni mgombea sasa hivi ni raisi, japo secret service ndio hao hao waliokuwa wanamlinda hata kipindi kile, ila sasa hivi ulinzi umeongezeka marudufu.
 
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Downsizing,
....it's part of Trump's push to downsize the Federal government
 
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Jamaa analipiza kisasi hawakumsaudia kipindi anaandamana hawakumpa ushirikiano hata ambao pengine aliwateua katika kitengo/vitengo vikubwa

Sasa anawatoa mwenyewe wale wote waliomsaliti
 
Hahahahah huoni hata aibu, ile system ya EGa aliitengeneza Jakaya nayo?
Kuna watu wakiskia Magufuli wanashikwa na tumbo la kuhara, wanatumia nguvu nyingi sana kuaminisha wengine kwamba hakuna cha kujivunia kuhusu yeye... uzuri kazi aliyokuwa akifanya kula mtu aliona.
 
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Imekuwa kama a third world country.
 
Hatimaye walikuwa wanaitwa conspiracy theorist wanaenda kushinda,

Mleta mada soma kitabu hiki ndipo utawajua CIA vizuri.
Pumzika kwa Amani JPM, ulikuwa mbele ya wakati!

Screenshot_2025-02-10-16-16-49-400_com.android.chrome.jpg
 
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Hii si kweli, lile tangazo halijawagusa waliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Halafu unaiongea CIA utadhani mnawaongelea Polisi wenu
 
Nadhani, Trump ni kipimo halisi cha iwapo hizi nyimbo kuwa wenzetu wanazo plan za miaka 100 mbele na kwamba system ndo inaongoza si mtu ni za kweli.
 
Unataka habari za UVCCM au BAVICHA?
Ww leta habari lakini mambo ya USA imekuwa nchi ya kijinga acha maana sidhani kama unaijua USA kuliko Trump na timu yake.
 
Ww leta habari lakini mambo ya USA imekuwa nchi ya kijinga acha maana sidhani kama unaijua USA kuliko Trump na timu yake.
Toka hapa, sijakutumia kadi ya mwaliko uje kwenye uzi wowote. Kuna nyuzi nyingi za kukata mauno, mpira wa Simba na Yanga, M23 n.k ambazo unaweza kujikita huko.
 
Nadhani, Trump ni kipimo halisi cha iwapo hizi nyimbo kuwa wenzetu wanazo plan za miaka 100 mbele na kwamba system ndo inaongoza si mtu ni za kweli.
Huwa sikubaliani na porojo za kuwa na plan za miaka 50 au 100 mbele, kwanza mambo yanavyobadilika hivi kwa kasi katika teknolojia unawezaje kuwa na mipango ya miaka 20, 50, 100 n.k?!
 
Back
Top Bottom