Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Sijawhi kusikia vitu vya kiteknolojia zaidi ya GPS na silaha vilivyoanzia serikalini.
Mm nimesikia. Taasisi nyeti za serikali kama CIA zinaanza kutumia ndo baade vibali vinatoka.
Yaani inasemekana hakuna iq kubwa duniani isiyo tiifu kwa serikali yake kwanza. Haya ya commercial hufata baade.
 
Toka hapa, sijakutumia kadi ya mwaliko uje kwenye uzi wowote. Kuna nyuzi nyingi za kukata mauno, mpira wa Simba na Yanga, M23 n.k ambazo unaweza kujikita huko.
Tatizo ww ulikuwa mnufaika wa vi ngo vya kipigaji ndo maana umepanic kwa hatua za Trump na ndo maana kila dakika una anzisha nyuzi za kumkandia.
Ww huna haki yeyote ya kumpangia Trump cha kufanya maana ww sio mmarekani na wala Marekani haikuhusu.

Ww komaa na ccm yako achana na nchi za watu.
 
Mm nimesikia. Taasisi nyeti za serikali kama CIA zinaanza kutumia ndo baade vibali vinatoka.
Yaani inasemekana hakuna iq kubwa duniani isiyo tiifu kwa serikali yake kwanza. Haya ya commercial hufata baade.
Huo ni uongo, kwanza nafikiri ni hatari kiusalama mfano kusema email, kifaa cha internet au app fulani itumiwe kwanza na taasi nyeti ndipo iende uraiani. Unapoona sekta binafasi za magharibi zinashirikiana na serikali zao sio kwa sabubu ya utiifu bali wanpoona maslahi ni makubwa sana. Shirika la utengenezaji ndege, silaha au nguo n.k linaposhirikiana na serikali ni kwa sababu serikali ni mteja wa uhakika na pia rahisi ku inflate bei.
 
Tatizo ww ulikuwa mnufaika wa vi ngo vya kipigaji ndo maana umepanic kwa hatua za Trump na ndo maana kila dakika una anzisha nyuzi za kumkandia.
Ww huna haki yeyote ya kumpangia Trump cha kufanya maana ww sio mmarekani na wala Marekani haikuhusu.

Ww komaa na ccm yako achana na nchi za watu.
Wewe kilaza mimi sijawahi kumkubali Trump tangu nimemjua kwa mara ya kwanza, hata alipowaua ndugu zako Qasem Soleimani na Al-Baghdadi.
 
Basi katika ujinga aliofanya yule kichaa ni hili la vyeti fake. Hakukuwa na positive impact yoyote, zaidi ni inner circle yake ilikuwa inachukuwa advantage kufanya yao. Kama english inapanda soma kitabu cha Kabendera ndiyo ujue Magufuli ni shetani aliyeharibu nchi yetu.
Nilvyofika hapo uliposema suala la vyeti fake halikuwa na positive impact nikajua labda nikiendelea kusoma ntakuta una hoja kwanini unasema hivyo...?!! Lakini nasogea mbele nakuta porojo tu, halafu mbya zaidi eti unanitajia habari za kibendera kwamba ndio ameelezea uongozi wa Magufuli kwa usahihi? Hivi uko serious kweli wewe na una akili sawa sawa?

Yaani kibendera huyo kibaraka ambaye kila mwenye akili timamu anajua chuki zake kwa Magufuli ndio zimemsukuma kuandika kile kitabu kilichojaa uongo,uzandiki na mihemko eti Leo hii ndio awe chanzo cha kuaminika kuhusu mambo yaliyofanywa na Magufuli?

Ni wajinga na wapuuzi tu kama huyo ndio watamchukulia serious huyo kibendera.
 
Nilvyofika hapo uliposema suala la vyeti fake halikuwa na positive impact nikajua labda nikiendelea kusoma ntakuta una hoja kwanini unasema hivyo...?!! Lakini nasogea mbele nakuta porojo tu, halafu mbya zaidi eti unanitajia habari za kibendera kwamba ndio ameelezea uongozi wa Magufuli kwa usahihi? Hivi uko serious kweli wewe na una akili sawa sawa?

Yaani kibendera huyo kibaraka ambaye kila mwenye akili timamu anajua chuki zake kwa Magufuli ndio zimemsukuma kuandika kile kitabu kilichojaa uongo,uzandiki na mihemko eti Leo hii ndio awe chanzo cha kuaminika kuhusu mambo yaliyofanywa na Magufuli?

Ni wajinga na wapuuzi tu kama huyo ndio watamchukulia serious huyo kibendera.
Maneno makali unayotumia yanaonyesha huna hoja yoyote. No way, kwa mtu yeyote mwenye akili na elimu anaweza kusema kuwa Magufuli alikuwa kiongozi mzuri. Na vivyo hivyo, lile zoezi lake la kijinga la vyeti fake halikuwa na manufaa yoyote kwa nchi. Ila najua watu kama wewe, kwa sababu ya elimu ndogo na isiyo sahihi pamoja na kukosa exposure, Magufuli alikuwa ndiyo kila kitu kwenu.
 
Huyu Jamaa ni Magu mtupu katika sura ya kizungu
Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miwezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
 
Huo ni uongo, kwanza nafikiri ni hatari kiusalama mfano kusema email, kifaa cha internet au app fulani itumiwe kwanza na taasi nyeti ndipo iende uraiani. Unapoona sekta binafasi za magharibi zinashirikiana na serikali zao sio kwa sabubu ya utiifu bali wanpoona maslahi ni makubwa sana. Shirika la utengenezaji ndege, silaha au nguo n.k linaposhirikiana na serikali ni kwa sababu serikali ni mteja wa uhakika na pia rahisi ku inflate bei.
Ugunduzi mkubwa, sio vitu vya kawaida kama hivyo vifaa vya email. Kwani kati ya serikali na raia nani walianza kuzitumia computer?

Mfano Fingerprint Security, Ai, inasemekana wanausalama wamezitumia mno kabla ya kuwafikia raia. Anyway, mm sio mtu wa kukataa nisivyovijua. Kama unasema ni uongo sawa maana sijui.
 
Siku zote watu waliambiwa kuhusu ujio wa New World Orders (NWO), lakini wakawa wabishi na wakidhihaki na kuita hiyo ni "Conspiracy Theories"

Pale wasioamini walipoambiwa kuwa; kama ilivyokuwa katika siku za "League of Nations" pale ilipibadilishwa kwa hila za "few elites' na kuwa "United Nations (UN)" basi ndivyo ambavyo UN itabadilishwa "through manoeuvring power of few imperialists" na kuja kuleta NWO. Walibisha na hata kuendeleza kebehi.

Hakuna cha kuzuia sasa ujio wa NWO. Muda wa unabii umefika. Trump had unveiled the curtain, you'll be all in the game, and is here going.
 
Uzuri huyu ana max of 3+ yrs has to go for good. Oneni uzuri wa Katiba imara.

Sio kule kwingine anaweza kubadili Katiba na kusalia madarakani forever.
... anaweza kubakia kwa kuhakikisha anapandikiza mtu wake mihula ifuatayo!
 
KATIKA POST YA KIJINGA NA YA UONGO KUWAHI KUWEPO JAMII FORUM.
HAKUNA KICHAA DUNIANI ANAWEZA KULA SEHEMU ZAKE ZA SIRI.
 
Back
Top Bottom