Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... ndio muda wa kuuziwa kakumba! ... watajua hawajui!FSB na MSS watakuwa wamezagaa sana sokoni sasa hivi kufanya usajili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... ndio muda wa kuuziwa kakumba! ... watajua hawajui!FSB na MSS watakuwa wamezagaa sana sokoni sasa hivi kufanya usajili.
Kuna wakati nilikuwa nafikiri CIA ni muhimili unaojitegemea USA!Unaamini Trump anataka kufukuza watu wote CIA? Unajua CIA kuna wafuasi wa Trump pia?
Trump kapeleka barua CIA yote akitumaini kuna watu wengi hawapendi kufanya kazi naye na hao ndio anaotaka wajiuzulu. Si kwamba anataka CIA wote wajiuzulu.
CIA needs continuity.
Then after that?Kwani ingekuwa wewe ungekataa fweza,ya bure miezi 8 + marupurupu yako.
Dikteta jingaSasa sijui na yeye mtamuita Dikteta uchwara kama ilivyokuwa kwa hayati "Jiwe"
Ajifunze kipi kutoka kwa JF Kennedy?!!Hajajifunza toka JF Kennedy! Poor Trump
Hatari uione wewe ,asiione yeye na "think tanks" wake?!!Trump sasa anavuka mstari mwekundu.
Sasa naona ameamua kujikatia tiketi ya kifo. Muda utaongea!
Let's wait!
Mkuu,Kuna wakati nilikuwa nafikiri CIA ni muhimili unaojitegemea USA!
Ha ha ha usifurahi sana unapokuwa na mtu asiyetabirika....wali furahi sana siku ana tangazwa kuwa mshindi
... kwa sifa ilizokuwa inamwagiwa CIA, kwamba wanaweza hata kumuwekea rais mipaka ya kiutendaji, nilikuwa nina haki ya kuwaona kama muhimili!Mkuu,
Inabidi upitie upya somo la uraia na muundo wa uongozi USA.
Comment bora kabisa........ anaweza kubakia kwa kuhakikisha anapandikiza mtu wake muhula ifuatayo!
Ha ha ha ha kumbe ni uongo buaaanaaa........ kwa sifa ilizokuwa inamwagiwa CIA, kwamba wanaweza hata kumuwekea rais mipaka ya kiutendaji, nilikuwa nina haki ya kuwaona kama muhimili!
HahahahIla napenda anavyowapelekea moto 😹😹
MAGA ananikosha sana.!!
Marekani pia ina watu wavivu wanataka kupewa tu mapesa na serikali wacha akili ziwakae. Walifanya baadhi ya walipa kodi kama mashetaniHuko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Then akwajaza akina ng%sh@Hio Mifumo ndio aliitumiaga Mwendazake kufanya usafi kwenye Wizara mbali mbali kwa sera ya "Kuinyoosha nchi"
... mkiwa na rais asiye na mamlaka ni kama hamna rais!Ha ha ha ha kumbe ni uongo buaaanaaa.....
Hili linatupa funzo huku Afrika na kwa hawa waipingao katiba ya Tanzania kuwa Rais ana nguvu.....
Hebu ona , waliotengeneza katiba ya Marekani hawakuona kuwa Rais anaweza kuajiri hao hao wafanyakazi wapya ?!!
Maisha mengine yanaendelea.Then after that?