Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
View attachment 3231969
Marekani wanajiandaa kwa vita na Trump ndio muandaaji. Hivyo idara imevamiwa kuna watu wananyinya taarifa.... how come Mchina anazalisha same military equipment za USA anapata wpi hizo nyeti?
 
Maneno makali unayotumia yanaonyesha huna hoja yoyote. No way, kwa mtu yeyote mwenye akili na elimu anaweza kusema kuwa Magufuli alikuwa kiongozi mzuri. Na vivyo hivyo, lile zoezi lake la kijinga la vyeti fake halikuwa na manufaa yoyote kwa nchi. Ila najua watu kama wewe, kwa sababu ya elimu ndogo na isiyo sahihi pamoja na kukosa exposure, Magufuli alikuwa ndiyo kila kitu kwenu.
Maneno makali ndio lugha stahiki unapokuwa una address jambo dhidi ya wajinga wajinga kama wewe.

Kuna bro mtaani alimalizaga form four mwaka 2007 mwanza sec akafeli kabisa alipata dv zero, baada ya hapo akaanza kufanya kazi ya ubaunsa kwenye maclub... mwaka 2013 nikaja kuskia anafanya kazi kwenye ofisi ya DAS huko kahama kama mmoja wa wasaidizi wake..

Miaka imeenda Magufuli ameingia madarakani ule msako wa vyeti feki naye pia likampitia jamaa akarudi mtaani.

Sasa imagine wakati jamaa anakula maisha kule serikalini ilihali hana sifa kabisa maana aliingia kwa kufoji vyeti(aliidanganya serikali) hapo kuna vijana ambao walikuwa wamesoma mpaka elimu ya chuo na wana ufaulu mzuri wako mitaani wamekosa ajira, na wakati kumbe ajira yao kuna mpuuzi mmoja aliyeingizwa kazini kiujanja ujanja pasipokuwa na sifa ndio ameikalia.

Halafu eti huku JF kuna wapumbavu ambao mnabeza kabisa zoezi la kuondoa vyeti feki, kwa hiyo ulitaka tuendelee kuwa taifa ambalo linaendeshwa mambumbu wakati huo watu wenye elimu na sifa wakikaa pembeni sababu ya mfumo corrupted mliokuwa mmeusimika?

Kwanza unaanzaje kuniambia mimi nina elimu ndogo na wakati wewe mwenyewe tu hapo ulipo hauthamini elimu mjinga wewe?? Kwa mtu yeyote ambaye anayeithamini elimu hawezi kuwa na akili mbovu kama zako kinabo wewe.

Wewe fala huna elimu yoyote, hakuna mtu educated aliyeisotea elimu yake miaka 14'-17 darasana Leo hii akaona ni sahihi mtu aliyefoji cheti akaikaikalia ajira ya mtu mwenye degree halafu yule mwenye degree akakaa pembeni....!!

Yaani kabisa unasema eti lile zoezi halikuwa na umuhimu, tunatengeneza taifa la aina gani sasa kwa mawazo yako hayo? Kwamba haina haja ya kupoteza muda darasan wewe chonga cheating chako kisha tafuta connection uingie kwenye system ya ajira, ule maisha sio ndio???

Wewe akili Huna kabisa ni hasara kubwa hata kwa familia yako sio tu kwa taifa.
 
Amekurupuka Sana Trump kwenye suala hili.
Huwezi kuamka asubuhi na kukurupuka eti unataka kulivunja Jeshi la Ulinzi, hii inawezekana vipi?
Kuna taratibu ndefu Sana ambazo anapaswa kuzifuata kabla ya kufikia Uamuzi wa namna hii wa kutaka kulivunja Jeshi katika nchi
Yani wewe upo Uko Kibwegele unampangia Trump kana kwamba hajui anachofanyaa .
 
Huwa sikubaliani na porojo za kuwa na plan za miaka 50 au 100 mbele, kwanza mambo yanavyobadilika hivi kwa kasi katika teknolojia unawezaje kuwa na mipango ya miaka 20, 50, 100 n.k?!
Ukoo sahihi mkuu,sisi ni watu weusi hatuoni mbali,sisi ni bara la giza kw aiyo upoo sahihi kabisa.
Wenzako walikuwa adi na maono ya kufika mwezini na wamefanikiwa in many years..
 
Nchi za Ulaya kuna "checks and balances" na kila taasisi inatazamwa na kupimwa ufanisi wake na mapungufu kufanyiwa kazi accordingly and on timely manner, sio kama nyie shithole countries mnaokingiana vifua na kulindana.

Mungu wabariki sana wazungu.
Uzuri hata wewe Original yako ni shithole country.

Sasa huyo anaye ongea ni mpwa wake na still hata documentary, japo hazikiri wazi ila ushahidi unaindicate hawa jamaa.

CIA wanauwezo wa kufanya tukio bila kuacha ushahidi na wakiacha wanatafuta njia ya huo ushahidi wa kutokuhusishwa na chombo chao.

Sasa hawa unawaudit vipi wakati wao wapo mbele ya muda kuliko hao Mauditor.
 
Kwanini na wao wasifanyiwe buyout offer iwe 2yrs pay.
Duuh halafu madili wamwachie nani?

Hao jamaa unajua hela wanayoingiza pindi wanakuwa kazini halafu wakamdaka mtu mwenye mzigo wa madawa ya kulevya?
 
Hio Mifumo ndio aliitumiaga Mwendazake kufanya usafi kwenye Wizara mbali mbali kwa sera ya "Kuinyoosha nchi"
Kabisa ilikuwa ni totol clearance ya ghost workers na empty salaries/payroll fraudulent... ambapo ilikuwa ni lazima iwaathiri watu kwenye suala zima la ajira na ndio maana kuna muda mimi huwa namuuelewa kwa ule uamuzi wa kutokuajiri japo hakupaswa kukaa muda mrefu kiasi kile bila kutoa ajira.
 
Back
Top Bottom