Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
"Moja ya mikutano ya kwanza ninayotaka kufanya ni pamoja na Rais Xi wa China, Rais Putin wa Urusi, na ninataka kusema, tupunguze nusu ya bajeti zetu ya kijeshi na nadhani tutaweza kufanya hivyo."
– Trump
– Trump
Huu ndio utamu wa kwenda naye kibabe Marekani. Marekani ni superpower kwa mataifa dhaifu ila sio kwa China na Urusi.
Sasa hivi Marekani level yake ni kuyafokea mataifa ya Ulaya. Wiki hii mataifa ya Ulaya yamesemwa na kudhalilishwa na mawaziri wa Marekani. Alianza waziri wa ulinzi wa Marekani akaja waziri wa mambo wa nje wa Marekani.
Ukitaka kuona matokeo ya kwenda naye kibabe Marekani, kwenye mkutano wa kuzungumzia muafaka wa vita vya Ukraine ambapo Trump amepanga kukutana na Putin hakuna taifa lolote la Ulaya wala Ukraine yenyewe haijaalikwa. Wababe tu watakaa mezani.
Akielezea maono yake ya kutetereka kwa world order Trump pia alisema:
Sasa hivi Marekani level yake ni kuyafokea mataifa ya Ulaya. Wiki hii mataifa ya Ulaya yamesemwa na kudhalilishwa na mawaziri wa Marekani. Alianza waziri wa ulinzi wa Marekani akaja waziri wa mambo wa nje wa Marekani.
Ukitaka kuona matokeo ya kwenda naye kibabe Marekani, kwenye mkutano wa kuzungumzia muafaka wa vita vya Ukraine ambapo Trump amepanga kukutana na Putin hakuna taifa lolote la Ulaya wala Ukraine yenyewe haijaalikwa. Wababe tu watakaa mezani.
Akielezea maono yake ya kutetereka kwa world order Trump pia alisema:
"Ningependa kurejeshwa kwa Urusi katika G7, ambayo ilisimamishwa mwaka 2014 baada ya Moscow kutwaa rasi ya Crimea ya Ukraine. Nadhani lilikuwa kosa kumtoa nje ya G7 (Putin)"
– Trump
– Trump
- Kwa nini Trump anataka China, Urusi na Marekani zipunguze nusu ya bajeti zao za ulinzi? Je, Marekani imeoma haiwezi kucompete na mataifa hayo 2 kwenye military tech na capability?
- Kupunguzwa kwa bajeti na matumizi ya hivi majuzi nchini Marekani ina maana kuwa haiwezi kumudu bajeti yake ya kijeshi na ulinzi?
- Kwa nini Marekani imechachamaa kuzitaka nchi za NATO kutumia 5% ya GDP zao kwenye masuala ya ulinzi? Je, Marekani imelemewa na michango inayotoa NATO kama mfadhili mkuu?
Dunia inahitaji sana balance of power sio nani superpower