Deni la taifa lina shida gani kwa Marekani?Unaelewa maana ya kiuchumi kuwa na deficit budget? Taifa lazima likope kutoka vyanzo vingine
Hiyo inaongeza deni la taifa ndio maana kila mwaka deni la Marekani linakua kwa kasi sana
Kwa hiyo kuwa na deni kubwa la taifa ni jambo la maana kwenye uchumi sio?
Deni la taifa lina shida gani kwa Marekani?
Marekani bado ina afford kuwa na deni la taifa la ukubwa wowote ili mradi halichochei inflation ya kupitiliza, debt servicing ya kupitiliza na dollar bado ni sarafu ya kimataifa. Hiyo ni faida ya wao kumiliki sarafu ya dollar($). Hata hivyo hii ni mada ngumu sana ambayo huwezi kuilewa kirahisi.
Debt ceiling ni jambo la kisiasa tu kudhibiti executive na sheria tu za kuongoza matumizi ya serikali wala haina maana yoyote kiuchumi. US wanatumia 3% tu ya GDP kulipia deni.Ni nani alikwambia Marekani ina afford? Kila mwaka wanafikia ukomo wa kukopa (debt ceiling) ila wanaona hawana namna wanakopa tena
Deni la Marekani liko katika mfumo wa bonds na wanawalipa kwa interest rate billions of dollars waliowakopesha
Na hata bunge la Marekani limekuwa likisema gharama wanazotumia kulipa madeni zingeweza kutumika kwenye mambo mengine ya economic devpt ila inaishia kuwalipa creditors
Ingekuwa Marekani inamudu deni tungesikia wamemaliza deni na halikui na tusingesikia kuhusu debt ceiling
Unajua kila mwaka Marekani inawalipa kiasi gani creditors wake?
Ushajiuliza kwa nini viongozi wanaapa? Unayajua yale maneno wanayo yatamka yana maana gani....?Maana kiapo kimoja wapi ni kutunza siri cha nchi.Acha kuwa na mawazo mgando, uwazi wa uendeshaji serikali magharibi ni tofauti sana na kwa Wakomunisti. Nchi zote za magharibi bajeti zao za ulinzi kiujumla na taarifa za wazi, sio kama Wachina walioficha hadi takwimu za wagonjwa wa COVID wakaitumbukiza dunia kwenye janga la Pandemic.
Kupunguza bajeti za kijeshi sio rahisi wakati kuna vita vinaendelea huko Ukraine."Moja ya mikutano ya kwanza ninayotaka kufanya ni pamoja na Rais Xi wa China, Rais Putin wa Urusi, na ninataka kusema, tupunguze nusu ya bajeti zetu ya kijeshi na nadhani tutaweza kufanya hivyo."
– Trump
Huu ndio utamu wa kwenda naye kibabe Marekani. Marekani ni superpower kwa mataifa dhaifu ila sio kwa China na Urusi.
Sasa hivi Marekani level yake ni kuyafokea mataifa ya Ulaya. Wiki hii mataifa ya Ulaya yamesemwa na kudhalilishwa na mawaziri wa Marekani. Alianza waziri wa ulinzi wa Marekani akaja waziri wa mambo wa nje wa Marekani.
Ukitaka kuona matokeo ya kwenda naye kibabe Marekani, kwenye mkutano wa kuzungumzia muafaka wa vita vya Ukraine ambapo Trump amepanga kukutana na Putin hakuna taifa lolote la Ulaya wala Ukraine yenyewe haijaalikwa. Wababe tu watakaa mezani.
Akielezea maono yake ya kutetereka kwa world order Trump pia alisema:
"Ningependa kurejeshwa kwa Urusi katika G7, ambayo ilisimamishwa mwaka 2014 baada ya Moscow kutwaa rasi ya Crimea ya Ukraine. Nadhani lilikuwa kosa kumtoa nje ya G7 (Putin)"
– Trump
Kwa nini Trump anataka China, Urusi na Marekani zipunguze nusu ya bajeti zao za ulinzi? Je, Marekani imeoma haiwezi kucompete na mataifa hayo 2 kwenye military tech na capability?
Kupunguzwa kwa bajeti na matumizi ya hivi majuzi nchini Marekani ina maana kuwa haiwezi kumudu bajeti yake ya kijeshi na ulinzi?
Kwa nini Marekani imechachamaa kuzitaka nchi za NATO kutumia 5% ya GDP zao kwenye masuala ya ulinzi? Je, Marekani imelemewa na michango inayotoa NATO kama mfadhili mkuu?Dunia inahitaji sana balance of power sio nani superpower
Ndio maana Usupa-pawa wa Urusi tuliuita wa 'mchongo' ila Warusi wa JF walitupinga Sana.Super power sio mbwembwe na kujitutumua tu. Ni kuwa na influence ya uchumi, jeshi, utamaduni na soft power katika sehemu kubwa ya dunia.
Ndoto za mchanaKitu ambacho watu hawakifahamu humu ni kwamba huku tunakoelekea lazima tu Russia itajiondoa ndani ya Ukraine na Ukraine itarejea kwenye mipaka yake ya kabla ya 2014.
Russia imeshatambua kwamba faida itakayopata kwa kunyakua ardhi ya Ukraine ni ndogo sana kuliko faida itakayopata ikirejea kwenye umoja na wazungu wenzao
Kupunguza bajeti za kijeshi sio rahisi wakati kuna vita vinaendelea huko Ukraine.
Debt ceiling ni jambo la kisiasa tu kudhibiti executive na sheria tu za kuongoza matumizi ya serikali wala haina maana yoyote kiuchumi. US wanatumia 3% tu ya GDP kulipia deni.
Nusu ya bajeti ya Marekani inatumika kwenye Social Security na Medicaid. Serikali kuu ya Marekani inatakiwa kutoza kodi vizuri tu mabilionea kama hao kina Elon Musk na wenzake na makampuni yao. Nusu ya deni la US ni kutokana na tax cuts za Republicans kwa mabilionea na Corporations.
Kuna ndoto za alinacha alafu kuna alinacha... Sasa wewe ndio alinacha mwenyewe 😂Kitu ambacho watu hawakifahamu humu ni kwamba huku tunakoelekea lazima tu Russia itajiondoa ndani ya Ukraine na Ukraine itarejea kwenye mipaka yake ya kabla ya 2014.
Russia imeshatambua kwamba faida itakayopata kwa kunyakua ardhi ya Ukraine ni ndogo sana kuliko faida itakayopata ikirejea kwenye umoja na wazungu wenzao.
Na inaonekana hili ni swala ambalo Trump na Putin tayari wameshalizungumzia na kukubaliana kabisa sasa wanatafuta tu ni namna gani litatekelezwa.
But because of the myopic nature of many people and coupled with the passion for harbouring fanatical sentiments, this issue proves evasive to most of them to realize although it's the reality that will happen in not so distant future.