Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Sasa utamudu kuendesha familia kwa kipato chako pekee ?
Nutamudu tu mkuu, way back kabla magu hajafanya uharibifu na kabla yeye kuwa wakala wa USAID mm ndio nilikuwa naleta mkate mkuu na amani ilikuwepo nyumbani, kwahiyo sioni shida wkt huu kikubwa heshima iwepo tu, sema nn naye awe mvumilivu tu vi matukio vya hapa na pale ajiandae kukabiliana navyo kwani wkt ananipitisha msotoni kuna wenzake nje huko walikuwa wananionea huruma, so goes around comes around
 
Hahaha eti God bless America
 
Dah unafurahia mkeo ubavu wa kushoto wa kufa na kuzikana kupoteza kazi?? Haiko sawa mzee kuna sehemu unapwaya kwenye mamlaka yako ya ki mume humo ndani. Ilitakiwa udhibiti hizo dharau tangu uko jobless, wewe unatia yeye anatiwa..act like mtiaji basi
 
Dah unafurahia mkeo ubavu wa kushoto wa kufa na kuzikana kupoteza kazi?? Haiko sawa mzee kuna sehemu unapwaya kwenye mamlaka yako ya ki mume humo ndani. Ilitakiwa udhibiti hizo dharau tangu uko jobless, wewe unatia yeye anatiwa..act like mtiaji basi
Hayo ni maoni yako tu mkuu, kitanda usichokilalia hujui kunguni wake
 
[emoji3516]
TATEPA.
 
Inatakiwa Uipige Sanaa mpaka Trump Akiondoka Ana Mzigo wa Watoto ili Awe na Adabu Maan Kila akifikilia Ujeuri Akumbuke Kulea tuu na Sio watoto 2 Piga 4 yani Kila mwaka Mtoto mpak Trump anatoka Madalakani Una Wanne Akirud kazin Anakuwa na Adabu
 
Make America great again
 
Wachungaji wakiwa wanafungisha ndoa wawaambie wazi kabisa wanawake wakipata hela wasiwe jeuri kwenye ndoa zao kuna kupanda na kushuka
Wanasema lakini katika maneno tofauti kwa maana ile ile.
"Pendaneni katika shida na raha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ