Trump apewe nuclear codes

Trump apewe nuclear codes

Wewe mkuu ulizungukwa.demu na huyu jamaa nini??

Mtu kaonya tabia hii isijiludie anasababu ya kusema hivi sio utoto..

Hii nakara haijaisha ila alitoa kama mwangaza tuu....movie nzima yaja ila lipumbavu likacopy km ilivyoo

Wewe unadhan wote wanao tetea ni kwamba hawajui walitendalo...unapo sema ni utoto kuwa na udhibitisho kuwa ni utoto kweli
Hii ni haki yake na nakala haijamalizika halafu lilijitu linatoa public hivi kwa mfano asinge sema ni yake,then angeimaliza na'kutoa public si ndio watu kama ww mngemjia juu kuwa kacopy...



Smtymz ni dalili za wivu,WATU.WANA SABABU KWA KILA WAFACHO hata kama haupende wewe
Heh hehee! nilizungukwa demu na huyo jamaa? demu yupi huyo?

Sijawahi kufikiria kuhusu demu wa JF hata siku moja, kama yupo a screenshot PM aweke hapa.Maana nadhani ndo zitakuwa fikra za wengi.
Cha kuwaambia ni ''Muwe mnamshauri huyo mtukufu wenu'' panapotokea pa kusifiwa au kukosolewa apokee kwa mikono miwili.
 
Dah! jamaa kaonesha reaction kubwa kuliko stimuli, mbaya zaidi ni chain ya negative reactions.

Kwenye mind yake keshakariri kila anayempinga ni hater, mtu kama huyo unamwaacha tu.
Mna chuki tu.hamna lolote.hauwezi ukakopi kitu cha mwenzio ukaandika mbele za watu.hata kama ni gazeti.jamaa wangemaindi habari ya wiki ijayo unaileta Leo?subiri mwenyewe.aitoe na wewe ndo ukopi.
 
Hapana mkuu naamini haja jifunza kitu na ata zidisha kuwa hivo alivo.
Yeye anaona kila alicho fanya ni sahihi, pia watu wanao mzunguka wana mjaza upepo
Nadhani hakuwahi kupingwa ana hisi tunao pinga reaction yake tuna wivu.
Bado naona the bold hajazoea kubishiwa, naona washabiki wake pia wanaharibu kiania fulani hapa.
Kaka.kama ni kazi rahisi andika makala zako tusome.hata shigongo hawezi kukubali huu upuuzi
 
Mkuu inaoneka leo ndo mara yako ya kwanza kumsoma The bold, kati ya watu wastaarabu na wenye roho nzuri huyu jamaa ni mmoja wapo, mada zake zimejaa elimu juu ulimwwengu ulivyo na mambo yanavyofanyika duniani, watu wengi tumekua tukiongeza ufahamu juu ya mambo ya dunia kupitia makala za huyu jamaa, na ukifatilia makala zake amekua akitoa majibu yenye uelewa mkubwa sana hata kwa yule mtu kichwa maji namna gani ila mwisho wa siku anaelewa. Naweza kusema wewe ndio mwenye roho ya korosho kuliko hata huyo The bold mana hakuna ambacho umewahi kuifundisha JF
Kama nisingekuwa namfahamu The bold nisingemkosoa maana nisingejua level ya upeo wake.

Huyu jamaa namfahamu vizuri kadiri ya maandiko yake hapa JF, leo ame underperform ndio maana nimemkosoa na wala sii chuki.
 
Tatizo ushasema mjinga wewe,...sijui kama tutaelewana.
Hatuwezi kuelewana maana Mimi cna chuki za kishamba kama wewe.kumdiss mtu kwa chuki.ebu andika wewe makala alafu aje MTU ailete humu.kama utafurahi.
 
Bu'yaka aliwahi kumkosoa kuhusu hayo mambo.

Jamaa [Bu'yaka] alikuwa na hoja ya msingi kabisa ila alichokosea ni namna ya kuiwasilisha.

Binafsi sikuona kama aliiwasilisha vyema. Lakini hoja yake ilikuwa na merit.

Ingia hapo uone: Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse
Asee nashukuru sana
Nimeingia na kumfaham the bold haliso huko
Ila jamaa aliwasilisha jambo la msingi, na mimi nnacho pinga ni kuwa the bold anashindwa ku deal na mambo kama haya
 
Asee nashukuru sana
Nimeingia na kumfaham the bold haliso huko
Ila jamaa aliwasilisha jambo la msingi, na mimi nnacho pinga ni kuwa the bold anashindwa ku deal na mambo kama haya
Good.

Hata kama jambo lipo kwenye public domain, kutoa attribution ni good practice.

Kinyume cha hapo itakuwa ni udanganyifu.

Na kutoa attribution ni jambo rahisi sana.
 
Kaka.kama ni kazi rahisi andika makala zako tusome.hata shigongo hawezi kukubali huu upuuzi
Aaah
Kwa hiyo wewe unacho pinga ni nn, inawezekana kuwa alipinga kazi ni ngumi lakin whatsup sio publisher kama alisha kitupia humo ni public domain, na jf pia iko hivo hivo.
Mkitaka tuulizane hivo tutarudi kuanza ku mhoji yeye je katoa wapi alicho kiandika na mbona haja acknowldge!?
Mbona jambo dogo hili bosi
 
Good.

Hata kama jambo lipo kwenye public domain, kutoa attribution ni good practice.

Kinyume cha hapo itakuwa ni udanganyifu.

Na kutoa attribution ni jambo rahisi sana.
Ni sawa kabisa
Na mimi niliona dogo alikosea
Ila nili pinga povu la the bold lilikuwa kubwa sana kias kwamba wakwa wana fika mbali na wabishani wake
Kias kwamba nikapata hata muda wa kujihoji je yeye the bold aliacknowledge wapi kwenye kaz yake hizo info alizo toa!?
Ishu hii imepewa kiki kubwa kuliko yenyewe ilivo mkuu
 
Mna chuki tu.hamna lolote.hauwezi ukakopi kitu cha mwenzio ukaandika mbele za watu.hata kama ni gazeti.jamaa wangemaindi habari ya wiki ijayo unaileta Leo?subiri mwenyewe.aitoe na wewe ndo ukopi.
Mimi namkosoa the bold na sina chuki
Tena ninge mwona ninge mwambia the bold "kuwa na ngozi ngumu, kuwa mvumilivu, halafu unavyo taka wewe utendewe basi watendee na wengine hivo hivo"
Pia ninge mwambia yeye ni binadamu tu hawezi kuwa right muda wote na ninge maliza kwa kumwambia siyo wote wanao msifia wana msaidia
 
Aaah
Kwa hiyo wewe unacho pinga ni nn, inawezekana kuwa alipinga kazi ni ngumi lakin whatsup sio publisher kama alisha kitupia humo ni public domain, na jf pia iko hivo hivo.
Mkitaka tuulizane hivo tutarudi kuanza ku mhoji yeye je katoa wapi alicho kiandika na mbona haja acknowldge!?
Mbona jambo dogo hili bosi
Ametoa Google. Na wewe toa google utuletee.lakini si kukopi kwa mwenzio
 
Mimi namkosoa the bold na sina chuki
Tena ninge mwona ninge mwambia the bold "kuwa na ngozi ngumu, kuwa mvumilivu, halafu unavyo taka wewe utendewe basi watendee na wengine hivo hivo"
Pia ninge mwambia yeye ni binadamu tu hawezi kuwa right muda wote na ninge maliza kwa kumwambia siyo wote wanao msifia wana msaidia
Huyu aliyeleta mada ndo alifaa umshauri.
 
Huyu aliyeleta mada ndo alifaa umshauri.
Yule toka mwanzo nilikubali kuwa kakosa na nna mkemea kwa hilo
Ametoa Google. Na wewe toa google utuletee.lakini si kukopi kwa mwenzio
Mimi nikiauma kuleta stori ntaleta na hata sta lalamika hata niki kuta mtu ana ipokelea tuzo ikulu.
Ila all in all nadhan mimi siyo hater the bold akitoa makala ntaisoma na akikosea ntamchana, tz alryt
 
Yule toka mwanzo nilikubali kuwa kakosa na nna mkemea kwa hilo

Mimi nikiauma kuleta stori ntaleta na hata sta lalamika hata niki kuta mtu ana ipokelea tuzo ikulu.
Ila all in all nadhan mimi siyo hater the bold akitoa makala ntaisoma na akikosea ntamchana, tz alryt
Unaanza lini kuandika hizi makala?
 
Back
Top Bottom