Acha huo ujinga... Wanazitumia hzo kama by da way... Siyo main combatant fighter...Mr. MTUI
UAE SPECIAL OPPS IN YEMEN IS USING THE SAME
UAE IN BUDGET YA 13bn$
Tanzania mko mbali baba
Pia Navy seal inazitumia Ukraine Libya na Syria
View attachment 463839
Ya Kenya wamesema nini???Acha huo ujinga... Wanazitumia hzo kama by da way... Siyo main combatant fighter...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] so kenya wanaenda kuwamwagilia Al-shabab ?Google yangu inaniambia hizi ndege zimeundwa kwa ajili ya umwagiliaji mashamba...ohooo chonde chonde jirani zangu wakenya kuweni waangalifu msije mkazipeleka Mogadishu afu jamaa wakawa wanazitungua kwa mikuki..
ni hayo tu kwa leo
Sasa unabisha nini wakati idadi kubwa ya wahamiaji hao ndio watakaorudishwa. Kiswahili kimekuwa kigumu kuelewa?! 7 countries from Africa watazuiwa kuingia USA mojawapo ni Kenya wapi pagumu kuelewa.Tz hamna any
African migrants in the USA BY number
1. Egypt 1.3mn
2. Nigeria 1mn
3. Ethiopia 560k
4. South Africa 340k
5. Kenya 200k
6. Ghana 180k
.
.
.
.
22. Tanzania 10k
Hizi bajaji au gutaAir tractor AT-802 for KDF!!
Baada ya train lile la kizamani hapa Wakenya wameliwa tena.
View attachment 463489View attachment 463490View attachment 463491
Yani hizi nipe manati tu nazishusha chiniAir tractor AT-802 for KDF!!
Baada ya train lile la kizamani hapa Wakenya wameliwa tena.
View attachment 463489View attachment 463490View attachment 463491
Tunawajua nyie wazee wa blal blah aka wazee wa vyuma chakavuThe funny thing ni tuna argue na watanzania ambao wako na a total aircraft of 35 (ukichanganya helicopter, fixed-wing, fighterjets, transport na trainer aircraft) wakati kenya, hata kabla ya kuongeza hizi fixed-wing light attack aircraft, tayari tuko na 148 aircraft ikiwemo 70 helicopters, 33 training aircraft, 41 transport aircraft, 17 fighters , 17 fixed wing attack aircraft.
Leta proofSasa unabisha nini wakati idadi kubwa ya wahamiaji hao ndio watakaorudishwa. Kiswahili kimekuwa kigumu kuelewa?! 7 countries from Africa watazuiwa kuingia USA mojawapo ni Kenya wapi pagumu kuelewa.
Vita siyo silaha.. Vita ni uwezo na nidhamu... Leo hii SAUDI ARABIA anachezea kipondo toka kwa HOUTHI... Can you imagine? Uknow what Wasaudi wanasilaha za kisasa na zenye nguvu but hawana Morale na uwezo wa vita.. Thats why A. K 47 za Wahauthi zinawakimbiza kila kukicha.. Hicho ndicho tunachokiona kwenye jeshi la kenya...mnaoenda sana photo shops.. But uwezo zero... Waganda wamewapokonya Kisiwa... Shabab wanawachezea kila kukicha.. Jeshi limekuwa corrupted.. Bajetibkubwa ingalibwanajeshi wanashindia biskuti na maji.. Wazazi morale itatoka wapi?Vita Gani???
Uganda haikuwa Vita ....1970 Tanzania was spending 3.4mn $ kwa military ...alshabaab ina 390mn$ revenue ....bigger than Comoros .....muache kujipa propaganda ... hamjapigana vita bado MNAENDAGA vitu ambavyo west itaita PETTY SKIRMISHES not WARS
kaa somalia Wiki moja ndio ujue Vita ni nini haswa
View attachment 463819View attachment 463820
When u go on operations together na USA special forces ndio mje hapa muanze nyef nyef mingi
Hii news Ya Jana
View attachment 463822View attachment 463823
View attachment 463821
Unaona sasa unabwaja bwaja maneno tu na haujui unachoongea mko na propaganda mingi sana Tanzania kuihusu kenya mpaka mumepoteza mwelekeo wa nchi yenu issue sasa ni Kenya kile kenya HikiSasa unabisha nini wakati idadi kubwa ya wahamiaji hao ndio watakaorudishwa. Kiswahili kimekuwa kigumu kuelewa?! 7 countries from Africa watazuiwa kuingia USA mojawapo ni Kenya wapi pagumu kuelewa.
Safi kabisaaa,uchaguzi umeivaa.
Hizo ni bedtime story ambazo hazina ushahidi, unamuibia Sammuel999 lullaby mpaka analala [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leta ushahidi, besides we're not at war, so why spending so much for something your not going to use?
Hizo ni bedtime story ambazo hazina ushahidi, unamuibia Sammuel999 lullaby mpaka analala [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leta ushahidi, besides we're not at war, so why spending so much for something your not going to use?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tunawajua nyie wazee wa blal blah aka wazee wa vyuma chakavu
Ohh powerful country!wacha maneno weka music,bogo land hatupigi kelele,kwani kelele za chura hazituzuii usingizi,kwenye battle tuko zaidi ya vizuri kongo,komoro na country zingine wanajua vizuriHahaha,Kenya is the A POWERFUL NATION IN AFRICA,watch us keenly!ooh Trump hatakua na uhusiano na Kenya,oooh longolongo.....
Acha mbwembwe mtu wangu, kaa tulia tatizo wa Tz mnaongea sana, hiyo business na uwekezaji utawekezaje wakati wananchi wa kenya wakiwa na hofu na hakuna amani ndani kwa ndani ni vyema kuimarisha ulinzi, acha kenya ijidhatiti kwenye ulinzi wa taifa wameshapoteza watu wengi juu ya uvamizi wa watu wa SomaliaNingeona umeandika hizo pesa zinaenda kujenga viwanda ili ajira kwa wananchi Wa chini wapate na pato la taifa kwa ujumla ingekuwa ni hatua nzuli,lakin pesa yote hiyo inaenda mikononi mwa USA, nyie mnachukua vifaa tu,ama ingetumika katika kufanya tafiti za kilimo ili kukuza bidhaa na kilimo kwa ujumla, Tanzania haina haja ya kutumia baget kubwa kwani kuna amani ya kutosha sasa ununue hiyo midege ya nini, jwtz kwa wakat huu Wa amani imejikita katika technological skill, kwa kusomesha mbinu mbalimbal za kijeshi lolote likitokea bas hayo masilaha yatanunuliwa tu kwa wakat mmoja,
Kafrican, do a little forensic kabla ya kupiga kelele, the link you posted is inaccurate (I know that). Hata kama tukienda na hiyo list tuu, Tanzania inatofauti gani na Kenya? Unasema Kenya ina ndege nyinyi, lakini mbona nyingine ni za mizigo na zingine ni ndogo (single prop engine)? Nyingi ni za zamani hazisaidii kwenye close combat. Angalia link hapo chini, and Google each and every aircraft uone ndege zenu ni za aina gani. Maybe plus 8 the old Israel F-15's mnazotaka kununuwa, lakini mimi sioni tofauti na Tanzania kabisa tena ikiwa bado tuna update our airforce.there is a certain saying in military about training the hardest when you are in peacetime so you are better prepaired to fight easy in the unfirtunate evet of war............
check this out, the whole might of the tanzanan military has only 6 fixed wing aircraft fot jet training
The Tanzanian Air Force has few combat aircraft, with only six K-8 jet trainers being the only other armed fixed wing aircraft in its fleet.
----even a private training school has more training aircraft than jwtz
the rest on the article Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets | defenceWeb
anyway, that info about a total of less than 40 aircraft is info easily available...... but you are a Tanzanian, you are better suited to prove me wrong, the task is un to you to prove how many aircrafts you have
Notes & Comments:
The DSCA notice did not disclose the munitions Kenya’s AT-802Ls will use, but it did note that the aircraft will be “capable of using precision munitions.” Considering the COIN objective, Kenya’s AT-802Ls will be armed with laser-guided bombs and missiles, most notably the Paveway and Hellfire range.
The AT-802U has a maximum payload of 4,100 kg across up to 15 hardpoints under the wings and fuselage. It is powered by a Pratt & Whitney PT6A-67F turboprop with a Hartzell propeller. According to Air Force Technology, the AT-802U has a top speed of 394 km/h, cruising speed of 333 km/h, and maximum range (with external fuel tanks) of 2,414 km. On average, an AT-802U costs less than USD $400 per hour to fly.
Is a special plane operated developed in 1990 operated by just a few
USA
Brazil
Italy
Canada
Kenya
Burkinafaso
Argentina
Chile Croatia
Israel
Spain
Yemen
Indonesia
UAE
Macedonia
Weapon cache