Trump approves Sh43.5bn arms sale to Kenyan military

Trump approves Sh43.5bn arms sale to Kenyan military

Hawa midanganyika wanajua kusoma kweli ama maneno mengi ,marefu na usanii tupu?
Labda kwa mziki,longolongo,skendo,fasheni pamoja na harusi,tamasha na kina Diamondi Kiba na Wema Sepetu!
Hawa sio wa kutegemewa kwa mambo yenye tija ama research/masomo.
Ujinga wenu huu ndo unawaponza...
 
Sasa kuna tofauti gani na hii hapo ya kwenu, wewe unaweka surveillance aircraft na kujaribu.kuonyesha watu kwamba Tanzania hatuna kitu. Tanzania sio nchi ya kusukumwa sukumwa kama Kenya, we aint no one's puppet hata our closest allied wanajuwa hilo.

6d4dd48202062b9188725487790c92a4.jpg
Sawa basi jichoche

We have Russia Producing planes just for Kenya

Blah blah blah mingi hatutaki kusikia

1485434667943.jpg
1485434671866.jpg



1485434702724.png
 
British troops will be added and a new deployment inside Somalia, Jordan will have a base too.
America will put up a second wall (literally a base) at the dangerous tip to protect its ally!
We are in a concealed World War III.
 
Si tafadhali mje mtuchokoze day moja muone!!....
 
Muwe na nation building capacity mliipata wapi ilhali lenyu hilo ni HELA YA MADAFU?
Na mihela yenyu hiyo hovyo mna capability ipi ya ku wage na ku sustain a modern conventional warfare?
Sasa wewe unafikiri national building is all about kuwaga hela, ni kujenga uwezo wa hiyo nchi kujiendesha yenyewe, reintroducing rule off law, kujenga tena healthcare system, education, food security. Kama vile USA wali wafanyia Europe after WWII. Kama ingekuwa hela, Iraq na Afghanistan si wangekuwa mbali sana. Wamarekani wamemwaga mahela huko lakini bado
 
Sasa kuna tofauti gani na hii hapo ya kwenu, wewe unaweka surveillance aircraft na kujaribu.kuonyesha watu kwamba Tanzania hatuna kitu. Tanzania sio nchi ya kusukumwa sukumwa kama Kenya, we aint no one's puppet hata our closest allied wanajuwa hilo.

6d4dd48202062b9188725487790c92a4.jpg
Huwezi ona tofauti? Unaweza linganisha reputable attack helicopter na hii yenu?

419.jpg
 
Huwezi ona tofauti? Unaweza linganisha reputable attack helicopter na hii yenu?

419.jpg
Nimeangalia ma mawani sioni tofauti, bila mawani bado sioni tofauti. Na sio nakiwa stubborn, there is no difference.

Beside all that, hii ya kwetu ni surveillance light aircraft, hautakiwi uwe na makelele na uweze kuingia kwa enemy haraka na kutoka bila ya kuwa detacted.
 
Hiki kihelcopter ndo cha kujigamba wakati kwetu huku tunatumia kama ambulance poleni sana,fungal safari njoo bongo tukakuoneshe apache tulipozificha wala hatujigambi.
Haha! Yaani hata hauna aibu

Wabongo huishi kwenye ndoto, nadhani hudanganywa na CCM!!

Ndege zenu hapa!!! very poor and old fashioned in deed!!

Capture.JPG
 
Kaa tanzania mjenge nchi yenu

Hiyo pesa mngeweka akiba ,iwafae huko mbele maana mkuu wa safari hii kawachoka utapeli wenu ,sasa malighafi zitatumika kwa uchumi wa hapa hapa na vifungio vitapatikana hapa hapa tz ,mshaanza pole pole kuwa mawakala wa ileeee biashara ya damu ...a.k.a silaha ,na somalia makaa yao ya mawe watagoma .
 
Nimeangalia ma mawani sioni tofauti, bila mawani bado sioni tofauti. Na sio nakiwa stubborn, there is no difference.

Beside all that, hii ya kwetu ni surveillance light aircraft, hautakiwi uwe na makelele na uweze kuingia kwa enemy haraka na kutoka bila ya kuwa detacted.

Hahaha eti seabird Seeker ni undetectable?? Acha mchezo bana
Seabird Seeker - Wikipedia
 
Mkuu tunachoongelea hapa ni ndege as figther planes,mbona ndio unazidi kujiaibisha sasa,helicopter na runway wapi na wapi,au sababu umeona ina tyres?
Namjibu mwehu aliyesema ndege zote ambazo zina tyre zinataka runway, sijui alikuwa nani? Ama ni wewe!!
 
Hahaha eti seabird Seeker ni undetectable?? Acha mchezo bana
Seabird Seeker - Wikipedia
Kwahiyo kwa mawazo yako the whole Tanzanian army are depending on that one aircraft. Jana mmesena sana kuwa Kenya mna ndege nyingi, lakini ukiangalia vizuri sio ndege za kutisha, nyingi ni za kawaida hata civilian could own them tena ni za zamani tuu. Kwa kifupi Kenya haiwezi kuwatisha watanzania, not for a long short.
 
Back
Top Bottom