The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Wakati mwingine wanaongeaSipendi Nigeria wanavyoongea asee
Wananiudhi sana. Mara abey, ego, kariagoo, hata sijui wanaongea nini.Sipendi Nigeria wanavyoongea asee
Yaan muda wote wanashout hawavutiii kuwasikilizaSipendi Nigeria wanavyoongea asee
Wakati mwingine wanaongea pigeon English ambayo ni kama kilugha chao hao wanaija
Wananiudhi sana. Mara abey, ego, kariagoo, hata sijui wanaongea nini.
Yaan muda wote wanashout hawavutiii kuwasikiliza
Napenda kiarabu wanaongea hadi raha ,nyimbo zao zinakubembeleza jaman😂
Kuna tofauti ya hao jamaa kumbe ?Wanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?
Sijawahi kusikia wanaija wakiongea
Ile ya Nigeria siyo english, iite kilugha chao. Yaani ni english iliyo corrupt mno. Kuna ile ya ndani kabisa halafu kuna wengine unakuta wanajaribu kuzungumza english ya kawaida lakini ina ile lafudhi.Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Kuna tofauti ya hao jamaa kumbe ?
Halafu mnigeria akikuongelesha utadhani anagombana na wewe.Kiukweli wanakera mno
Huwa nikikutana na clips za wanaijeria huko tiktok nablock page nzima
Halafu mnigeria akikuongelesha utadhani anagombana na wewe.
Trump Bado hujakutana na Kingereza cha msomi, professional profesa wa Tanzania, mbunge wa CCM, mama Ndalichako aliyekuwa Katibu wa Baraza la mitihaniNilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Mimi huwa naona ni bora hata hiki cha kihindi kuliko ukikuta na mtu wa Scotland anazungumza kile cha kwao cha ndani.Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Humu tuuNilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.