Shukrani kwa kunifundishaPidgin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa kunifundishaPidgin
ID yenye mvuto , na wengi hupapatikia kama demu bomba🤣🤣Labda sababu mimi sio mdada
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mamaaaeWanaongea kama wasukuma
ID yenye mvuto , na wengi hupapatikia kama demu bomba🤣🤣
Kenya wana kingereza kibovu sana.. mimi kwangu waganda wana kingereza kizuri sana.Kwa AFRIKA KENYA,ZAMBIA NA SOUTH AFRIKA NA MALAWI WANAKIINGEREZA KIZURI SANA.TANZANIA TUNAKIINGEREZA KIBOVU TU
HeheheSijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Waambie kwa sauti. Sema wanaamua kuvumilia watajua mbele kwa mbele🤣Ogopeni matapeli
Mimi wa kiume
Usikatae nyie watoto huwa hamjui dalili za mimba changa🤣Hapana
Wanaongea vibaya sana hao
Yale matakataka kabisaaa utasikia.....oga, dey, nah ...Sipendi Nigeria wanavyoongea asee
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Japanese English ni kituko kingineHata accent yako ya Kiswanglish lazima atahitaji translator. Imagine Mkenya work na walk vyote anavitamka wak sasa hapo utamuelewa vipi.
One thing I like about them brothers ni hawana aibu kwenye pesa na kutafuta yaani,hata kama ni dili la unga wanasali kwanza,hata kwenye kutapeli wanasali mungu na yesu anawapata dili.Utasikia only God ohhhhho oga.Nigerian: I beg ooo; Abeg o, wahala be, oyoo.
Kuna chatroom moja hivi wakianza kugombana siambulii kitu
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.