Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
🤣🤣
 
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

Kama English ya waskotish
 
Kuna kirengesa na kingereza
Wa Tanzania tunaongea kirengesa
Kenya wanaongea kingereza .
 
Kwa AFRIKA KENYA,ZAMBIA NA SOUTH AFRIKA NA MALAWI WANAKIINGEREZA KIZURI SANA.TANZANIA TUNAKIINGEREZA KIBOVU TU
Hata sisi kiukweli wageni wanapata shida sana kutuelewa hiki kidhungu chetu

uKitaka kupata mfano mzuri,fatilia mahojiano ya watangazaji wa azam na makocha wageni
 
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

Hapa Sasa utaonekana hujui lakini kiukweli huwa tunakuwa watumwa wa lugha za wageni, hapa nipo naangalia mkutano wa kawaida wa wakuu wa nchi za Africa (AU) Kila mmoja anahutubia kwa lugha yake nasubiri Rais Samia atahutubia kwa lugha gani.
 
Back
Top Bottom