Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

ile ya Nigeria ni ngumu mnno, its called Nigerian Pidgin English 😀
 
Ile ya Nigeria siyo english, iite kilugha chao. Yaani ni english iliyo corrupt mno. Kuna ile ya ndani kabisa halafu kuna wengine unakuta wanajaribu kuzungumza english ya kawaida lakini ina ile lafudhi.
Ile ni Yoruba iliyochangamka.
Sopoti->suport
Anima->animal
Soni->son
Lovu->love
Bado kuna jirani zao waghana hapa ni shida na wajuaji kweli kama naijapolis
 
Ile ya Nigeria siyo english, iite kilugha chao. Yaani ni english iliyo corrupt mno. Kuna ile ya ndani kabisa halafu kuna wengine unakuta wanajaribu kuzungumza english ya kawaida lakini ina ile lafudhi.
Ile ni Yoruba iliyochangamka.
Sopoti->suport
Anima->animal
Soni->son
Lovu->love
Bado kuna jirani zao waghana hapa ni shida na wajuaji kweli kama naijapolis
 
Trump Bado hujakutana na Kingereza cha msomi, professional profesa wa Tanzania, mbunge wa CCM, mama Ndalichako aliyekuwa Katibu wa Baraza la mitihani
Hahaaaa ,nilicheka sana ile clip ya Ndalichako anampiga Mkwara contractor WA kichina kwamba "I will put you in " akiwa na Maana nitakuweka mahabusu .
Dah ! Halafu professor huyo ,kmamaee
 
Back
Top Bottom