Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ha hahahaha, hapo juu tumeongelea Niger as county not Naija,MkuuNaija is a colloqial or informal name for Nigeria. Therefore Naija = Nigeria. Get it into your skull, Ooooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha hahahaha, hapo juu tumeongelea Niger as county not Naija,MkuuNaija is a colloqial or informal name for Nigeria. Therefore Naija = Nigeria. Get it into your skull, Ooooh
NajuaWanaija wanaongea kifaransa.
mbona kama kisirani cha mimba hichi...🤣
Kwa AFRIKA KENYA,ZAMBIA NA SOUTH AFRIKA NA MALAWI WANAKIINGEREZA KIZURI SANA.TANZANIA TUNAKIINGEREZA KIBOVU TU
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Amne kya kiya, uup kya merra gand maar te!!Wahindi English yao huelewi, utakuwa unadaka neno moja moja, na wanachoudhi youtube ukiwa unaangalia videos za tutorials mfano unatizama namna ya ku fix issue flani ya simu, unakuta video title ni english vizuri tu, fungua sasa uanze kutizama unaanza kusikia kihindi tu "aap yahaan klik karen, aap ek baar klik karen, aap oopar jaen, aap yah taip karen"...
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
krpaya aisa mat kaho, shaap mat doAmne kya kiya, uup kya merra gand maar te!!
Pidginpigeon
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Haha itakuwa umemaanisha niger kama niger, ndio nigeria na niger ni nchi mbili tofauti, ila wanigeria hujiita 'wanaija' kama ilivoandikwa na siyo waniger.Wanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?
Sijawahi kusikia wanaija wakiongea
Wanaija (tunawatania) ndiyo wanaijeriaWanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?
Sijawahi kusikia wanaija wakiongea