Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

Trump ashindwa kuelewa kingereza cha India, ahitaji mtafsiri

Wahindi English yao huelewi, utakuwa unadaka neno moja moja, na wanachoudhi youtube ukiwa unaangalia videos za tutorials mfano unatizama namna ya ku fix issue flani ya simu, unakuta video title ni english vizuri tu, fungua sasa uanze kutizama unaanza kusikia kihindi tu "aap yahaan klik karen, aap ek baar klik karen, aap oopar jaen, aap yah taip karen"...
 
Fanya kama umetoka kwa xi ping halafu tamka hii kwa lafudhi ya kina jet lee
my shoe shall soon shine uone ilivyo rahisi kucharaza kichina 😁😁
 
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

Wanaijeria , you dey nah, dis boy una is oga, data iz why I'm oga boy
 
Wahindi English yao huelewi, utakuwa unadaka neno moja moja, na wanachoudhi youtube ukiwa unaangalia videos za tutorials mfano unatizama namna ya ku fix issue flani ya simu, unakuta video title ni english vizuri tu, fungua sasa uanze kutizama unaanza kusikia kihindi tu "aap yahaan klik karen, aap ek baar klik karen, aap oopar jaen, aap yah taip karen"...
Amne kya kiya, uup kya merra gand maar te!!
 
Muingereza wa London mwenyewe anapata taabu kumuelewa Muingereza wa cornwall au Liverpool.
 
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

Wanaijeria kile kingereza Chao ni disaster tosha
 
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

🤣😂🤣 Kwaio mkuu kingereza Cha bukoba 🏃🏃🏃

That wanaivuta na kusema zataaa

☺️😊
Nimekuja kugundua Kuna tofauti ya kuzungumza kingereza na kigugumizi 🏃🏃🏃🏃
 
Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.

Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.

Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.


View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19

Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.

Hata accent yako ya Kiswanglish lazima atahitaji translator. Imagine Mkenya work na walk vyote anavitamka wak sasa hapo utamuelewa vipi.
 
Wanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?

Sijawahi kusikia wanaija wakiongea
Haha itakuwa umemaanisha niger kama niger, ndio nigeria na niger ni nchi mbili tofauti, ila wanigeria hujiita 'wanaija' kama ilivoandikwa na siyo waniger.
 
Back
Top Bottom