macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Halafu wanawake wao wanapiga msosi, mama wee. Yaani kuanzia hapo Congo nenda mpaka West Africa watu wanapiga misosi sana.Wamekaa kiTarime Tarime kwa kila kitu kuanzia wanavyoongea hadi wanawake wao walivyo
me too mai sistooSipendi Nigeria wanavyoongea asee
Pidgin EngilishWakati mwingine wanaongea pigeon English ambayo ni kama kilugha chao hao wanaija
I go pey dey money soon oooh!Sipendi Nigeria wanavyoongea asee
ile ya Nigeria ni ngumu mnno, its called Nigerian Pidgin English 😀Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Ile ni Yoruba iliyochangamka.Ile ya Nigeria siyo english, iite kilugha chao. Yaani ni english iliyo corrupt mno. Kuna ile ya ndani kabisa halafu kuna wengine unakuta wanajaribu kuzungumza english ya kawaida lakini ina ile lafudhi.
Ile ni Yoruba iliyochangamka.Ile ya Nigeria siyo english, iite kilugha chao. Yaani ni english iliyo corrupt mno. Kuna ile ya ndani kabisa halafu kuna wengine unakuta wanajaribu kuzungumza english ya kawaida lakini ina ile lafudhi.
Ok Kwa maana ya Niger ( Naija ) na Naijeria ( Nigeria) ? Kama ni hv uko sawa, ila mie nilijua wanajeria kifupi ndio hiyo wanija?Hahaha mimi najuaga ni nchi mbili tofauti hizo
HapanaOk Kwa maana ya Niger ( Naija ) na Naijeria ( Nigeria) ? Kama ni hv uko sawa, ila mie nilijua wanajeria kifupi ndio hiyo wanija?
Hata mi huziruka nabofya not interestedKiukweli wanakera mno
Huwa nikikutana na clips za wanaijeria huko tiktok nablock page nzima
mbona wadada wengi ndo wanawapapatikia haoSipendi Nigeria wanavyoongea asee
Niger na Nigeria ni NCHI mbili tofauti, uko sahihiiHapana
Nafikiri ni nchi mbili tofauti
Hahaaaa ,nilicheka sana ile clip ya Ndalichako anampiga Mkwara contractor WA kichina kwamba "I will put you in " akiwa na Maana nitakuweka mahabusu .Trump Bado hujakutana na Kingereza cha msomi, professional profesa wa Tanzania, mbunge wa CCM, mama Ndalichako aliyekuwa Katibu wa Baraza la mitihani
Niger na Nigeria ni NCHI mbili tofauti, uko sahihii
mbona wadada wengi ndo wanawapapatikia hao
Niger wao wanaongea kifaransa,Nigeria ndio wanaongea EnglishNiger na Nigeria ni NCHI mbili tofauti, uko sahihii
Inaitwa pidgin EnglishSipendi Nigeria wanavyoongea asee