🤣🤣Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
Ndio maaana nikakuuliza kuwa hata Niger ( Naija ) wanaongea English?Niger wao wanaongea kifaransa,Nigeria ndio wanaongea English
Najua sana ila wewe nadhani hujaelewa, Niger wanaongea Kifaransa na si English,Inawezekana ulikuwa hujui kweli? 😀
Joanah ,Niger wao wanaongea kifaransa,Nigeria ndio wanaongea English
Najua sana ila wewe nadhani hujaelewa, Niger wanaongea Kifaransa na si English,
Basi sawa sawa,tutakiane weekend njemaHata mimi najua Niger lugha yao kuu ni french
Kama najua uwepo wa Niger iko wazi nitajua mawili matatu ikiwemo lugha yao
كيف حالكِ يا ديجين..Yaan muda wote wanashout hawavutiii kuwasikiliza
Napenda kiarabu wanaongea hadi raha ,nyimbo zao zinakubembeleza jaman😂
Kama English ya waskotishNilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Umekutana nao wapi hawa aisee!Sipendi Nigeria wanavyoongea asee
Ni movies zaoUmekutana nao wapi hawa aisee!
Au movie zao
Wanaongea kama wasukumaSipendi Nigeria wanavyoongea asee
Kwenye hiyo list,waondoe wakenyaKwa AFRIKA KENYA,ZAMBIA NA SOUTH AFRIKA NA MALAWI WANAKIINGEREZA KIZURI SANA.TANZANIA TUNAKIINGEREZA KIBOVU TU
Ajabu kuna Watanzania wenzetu wanajifunza English kupitia Nollywood movies.Hata mi huziruka nabofya not interested
Naija is a colloqial or informal name for Nigeria. Therefore Naija = Nigeria. Get it into your skull, OooohNiger na Nigeria ni NCHI mbili tofauti, uko sahihii
Hata sisi kiukweli wageni wanapata shida sana kutuelewa hiki kidhungu chetuKwa AFRIKA KENYA,ZAMBIA NA SOUTH AFRIKA NA MALAWI WANAKIINGEREZA KIZURI SANA.TANZANIA TUNAKIINGEREZA KIBOVU TU
Hapa Sasa utaonekana hujui lakini kiukweli huwa tunakuwa watumwa wa lugha za wageni, hapa nipo naangalia mkutano wa kawaida wa wakuu wa nchi za Africa (AU) Kila mmoja anahutubia kwa lugha yake nasubiri Rais Samia atahutubia kwa lugha gani.Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Wanaija wanaongea kifaransa.Wanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?
Sijawahi kusikia wanaija wakiongea
mbona kama kisirani cha mimba hichi...🤣Kiukweli wanakera mno
Huwa nikikutana na clips za wanaijeria huko tiktok nablock page nzima