Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ha hahahaha, hapo juu tumeongelea Niger as county not Naija,MkuuNaija is a colloqial or informal name for Nigeria. Therefore Naija = Nigeria. Get it into your skull, Ooooh
NajuaWanaija wanaongea kifaransa.
mbona kama kisirani cha mimba hichi...π€£
Kwa AFRIKA KENYA,ZAMBIA NA SOUTH AFRIKA NA MALAWI WANAKIINGEREZA KIZURI SANA.TANZANIA TUNAKIINGEREZA KIBOVU TU
Wanaijeria , you dey nah, dis boy una is oga, data iz why I'm oga boyNilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Amne kya kiya, uup kya merra gand maar te!!Wahindi English yao huelewi, utakuwa unadaka neno moja moja, na wanachoudhi youtube ukiwa unaangalia videos za tutorials mfano unatizama namna ya ku fix issue flani ya simu, unakuta video title ni english vizuri tu, fungua sasa uanze kutizama unaanza kusikia kihindi tu "aap yahaan klik karen, aap ek baar klik karen, aap oopar jaen, aap yah taip karen"...
Wanaijeria kile kingereza Chao ni disaster toshaNilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
krpaya aisa mat kaho, shaap mat doAmne kya kiya, uup kya merra gand maar te!!
Pidginpigeon
π€£ππ€£ Kwaio mkuu kingereza Cha bukoba πππNilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Hata accent yako ya Kiswanglish lazima atahitaji translator. Imagine Mkenya work na walk vyote anavitamka wak sasa hapo utamuelewa vipi.Nilifikiri ni mimi tu napata shida kuwaelewa wahindi na kingereza chao lakini kumbe sio mimi tu.
Kwenye mkutano wa Rais Trump na Waziri mkuu wa India, Trump amelazimika kutumia wakalimani kutafsiri kingereza cha Inda ili aweze kuelewa.
Kuna wakati niliwahi kufanya kazi na wahindi kutoka India, nilipata shida sijawahi kuona.
View: https://x.com/Bushra1Shaikh/status/1890387643365544434?s=19
Sijaongelea English ya Nigeria ambayo sijui hata hua wanaongea nini.
Haha itakuwa umemaanisha niger kama niger, ndio nigeria na niger ni nchi mbili tofauti, ila wanigeria hujiita 'wanaija' kama ilivoandikwa na siyo waniger.Wanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?
Sijawahi kusikia wanaija wakiongea
Wanaija (tunawatania) ndiyo wanaijeriaWanaija na wanaijeria wanaongea sawa kilafudhi?
Sijawahi kusikia wanaija wakiongea