Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Usa ilichelewa kupata Rais kama huyu zile
Nimeanza kumdharau
Ukiwa huwezi kufikiri utamdharau tu
 
Hapa sio swala la miaka mingapi hapa ni suala la kuona kuwa hivi vita tuliyo jiingiza imeenda nje ya matarajio yetu , hivyo tutafute namna ya kuondoka ili mwisho wa siku tusipate aibu.
Na kujitoa kwenye misaada na mashirika ya kidunia walipanga lini? Mkuu, hapa ni Trump kaja na maono yake.
 
Zile kelele za USA mifumo ndo inaendesha nchi, wenzetu wanalolifanya leo lilishapangwa miaka 20 iliyopiya na raisi ni mzimamizi tu tuziache sasa.

Tumeshajionea.
Trump kapindua meza aisee..
 
Reactions: Tsh
ARV za bure naona zimefika mwisho hata kabla ya miezi 3
 
Nadhani hata kabla ya Mabishano hayo Trump alikusudia muda kusitisha misaada ya kijeshi kwa Ukraine! Hata Marekani ingeendelea kuipa msaada Ukraine hakuna uwezekano wa kuishinda Russia na kurejesha maeneo iliyoyateka.
 
apo a
hapo anaepoteza ni USA , miaka 10 mbele tutakuja elewa , Ukraine haiez poteza sababu UKRAINE ni mwanamke ambae alikuwa anagombaniwa , yaan UKRAINE ndo ilikuwa reference nan ni mbabe wa dunia , Urusi kajiongezea ushawishi duniani kwa kusimamia msimamo wake licha ya kukosea , hakuna taifa lenye kiongoz timamu litakuja msikiliza USA tena
 
Asee hii point kubwa sana. Baada ya hii U turn iliyopigwa na US ni uhakika kwamba raisi aliyepo madarakani ndio anaamua afuafe uelekeo gani hakuna cha system wala nini.
hayo maamuz ya Trump kujitenga na west , yatamcost muda si mrefu , nasikia anapambana atawale kama Putin , ila akijichanganya akatoka madarakani wamarekani hawatamwacha salama , nmeona platform za wamarekan wakimlaumu Trump kwa haya maamuz yake anayafanya tangu kuingia madarakani
 
Dah zele kipande hiki aliyumba,Bora angekausha tu
 
Trump anafanya kazi kama mwanamke Kila kitu visasi
Tatizo la Trump siyo kisasi kwa Ukraine bali tatizo lake ni kutaka kumfurahisha Putin.

Kosa analofanya Trump sasa ni marudio ya makosa aliyofanya George Bush ya kuivamia Iraq, na Putin ya kuivamia Ukraine. Putin na George bush walikuwa na kichwa kikubwa kuamini kuwa majeshi yao yana nguvu sana yanaweza kufanya lolote. Kosa la Trump sasa hivi ni kuamini kuwa Marekani ina nguvu sana inaweza kufanya lolote. Kama ambavyo Bush na Putin walivyojutia (japo kimya kimya) makosa yano, ndivyo trump pia atakavyojutia makosa yake ingawa yeye ana ego ya kutotaka kukukubali makosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…