Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Nimemsikia Trump akiitaja dawa hii ya Korolokwini kama inauwezo mkubwa wa kufubaza au kutibu kabisa Ugonjwa wa Corona.

Kwa wale Watu wa Umri mkubwa kidogo mtakua mnaikumbuka Dawa hii kwa kipindi kile ndo Ilikua Dawa kuu ya Malaria. Mpaka hapo Baadae ilipoondolewa na Serikali kwenye orodha ya madawa Tanzania.

Dawa hii ni moja ya Dawa zenye nguvu sana zilizotumika kutibu Maralia japo kuna wengine walikuwa na allergy nayo yaani unaweza washwa balaa hasa ukioga maji ya baridi au ukienda Juaini ndo unaitambua kua hiyo ndo korolokwini.

Na ilikuwa ikiona upo na Watu ndio sasa inahamishia Mashambulizi ya Kukuwasha Sehemu mbayambaya tena Nyeti.

Kingine ni Dawa moja Chungu sana haijawahi tokea Duniani. Ukiindumbukiza kwenye Mtungi wa Maji basi huo mtungi hata uoshejwe maji yake lazima yawe Machungu kwa Siku kadhaa.

Mi naiamini inaweza ikawa Dawa ya Corona.

Hongera sana Korolokwini umerudi kivingine

Naamini hutatuangusha na Hujawahi Kutuangusha.

"Wellcome Back Home"
 
Nyani Ngabu,
VIRUS,GERMS AND BACTERIA CAUSING DISEASE? IT NEVER EXISTED!
THE IS ONLY DISEASE MUCUS RIP DR.SEBI
VIRUS,GERMS AND BACTERIA CAUSING DISEASE.jpg
THE IS ONLY DISEASE IS MUCUS DR.SEBI.jpg


VIRUS,GERMS AND BACTERIA CAUSING DISEASE?

IT NEVER EXISTED!!


Everything in nature COMPLIMENTS! Everything compliments!

A bacteria, a germ, a virus simply does not exist. It is a manifestation that is caused by erosion.
But the erosion is cause by mucus and the mucus came from the foods that you eat.
When cells cease to receive oxygen they break down and depending where the erosion is taking place, there the disease you would have.
If the erosion is in the nostril then it is sinusitis. If its in the bronchial tubes, its bronchitis. If its in the lung its pneumonia.
The only thing that causes the body to go into erosion is acid. Not alkalinity; acidity.

Kuna Waganga wengi wa kienyeji wanaweza kutibu hayo maradhi ya Mlipuko wa Homa ya Mafua lakini wamekaa kimya kuwaachia hao Ma-Illuminati waliotenegeneza Kijidudu Kirusi aka Corona Virus kipate kupunguza watu duniani.Watoe dawa ya kumaliza huo ugonjwa wa kutengeneza Viwandani.
 
mmeshaambiwa hapa kwetu tumieni mwarobain magome yake yale unayachemsha kwa nusu saa unakunywa maji ya kwanza yakiisha unaongeza maji unachemsha pia unakinywa kwa muda wa siku saba huyo corona na ndugu zake watatoka nduki
 
GAMBOSHI wako na MUSIBA wanamsaidia kupata ubunge MWIBARA.
 
Mchakato wa kuiondoa Chloroquine na kuleta SP uligubikwa na makando kando sana kutoka kwa Wafanyabiashara wa Madawa na Vigogo wa Wizara ya Afya wakati huo

Ingekuwa zama hizi ingekuwa kashfa kubwa kuliko ya Tegeta Escrow

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchakato wa kuiondoa Chloroquine na kuleta SP uligubikwa na makando kando sana kutoka kwa Wafanyabiashara wa Madawa na Vigogo wa Wizara ya Afya wakati huo

Ingekuwa zama hizi ingekuwa kashfa kubwa kuliko ya Tegeta Escrow

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni dawa mi naikubali sana ilikua inatibu kiukwelikweli na ukipona inakuachia Kinga kubwa mwilini.
 
Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona.

Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya clinical trial.

Idadi ya vidonge vya chloroquin nilivyovimeza maishani mwangu haihesabiki. Achilia mbali sindano zake. Dozi ya sindano ilikuwa ni 1x3.

Hats off kwa “mabeberu”.

Sisi tuna wachawi wengi sana na waganga wengi tu wa kienyeji.

Kama kweli hawa wataalamu wetu wana huo ujuzi ambao hudaiwa wanao, kwa nini washindwe kwenye hili la kutibu Corona?

Heko Marekani. Mchango wake kwenye advancement of humanity hauelezeki kwa maneno.



Waganga na wachawi wako Kwa ajili ya kuharibu na sio kujenga
 
Back
Top Bottom