Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Mzigo mpya wa toilet paper ndo umeingia 🤣🤣

56FB86F0-16F6-4DD1-823F-DAA438E7A20A.jpeg
 
Nyie mnajichanganya sana. Aliyetoa maarifa ya tiba ameyatoa wapi?. Kama sio Mungu?. Maarifa yote Mungu kayaachia ndani ya wana wa Yakobo yaani Israel na ndiyo yanayeta mapinduzi hadi kwenye ulimwengu wa tiba. Kwa Mungu ni yale yaliyowashinda wanadamu tu. Mtasema wachina mbona hawaamini katika dini lakini wamegundua chanjo. Wengi wao wameiba maarifa kutoka kwa wana wa Mungu wakawekeza kwao ila hakika hawatowafikia wana wa Mungu katu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mchungaji mmoja nimeona clip yake anaiomba Serikali itoe ndege moja impeleke yeye China akaombee sasa ngoma ya Corona ipo hapahapa....aonyeshe cheche zake tuone....!!!
 
You got poked in the booty till you ran to Sweden.

They didn’t poke you in the booty over there in Sverige?
Must be part of your down-low lifestyle in Atlanta for you to even say something like that. Your dad fuc.ked you in the ass, and shipped you to ATL to keep the piece at home or something.
 
Waganga wa kienyeji na wachawi pamoja na korona yenyewe wote ni walewale kasolo majina wote wanafanya kazi kwa kushirikiana.
 
Mlikuwa mnaitafuna klorikwini? Ebana eeh mna moyo...

..mimi nilikuwa naviweka ndani kabisa ya mdomo karibu na koo halafu nasukumiza maji mengi kwa wakati mmoja.

..sasa mambo yakienda kombo na kidonge kimoja au viwili kikabakia mdomoni ndiyo inakuwa kasheshe kwa ule UCHUNGU.

..huyu mchangiaji anayedai alikuwa anavitafuna vidonge za klokwin kaniacha hoi. Najua wako waliokua wanavisaga.

..kitu kimoja ninachojiuliza ni kwanini vidonge vile havikuwa-COATED with some sweet / fruity flavours. Ni kwamba haiwezekani, au nobody thought about it?
 
yaan ukiwa unaakribia kupona muwasho w hiyo dawa hauithiliki na kwabahati mbaya unazidi usiku wakati wa kulala huku asikio yakiwa yamejazwa kelele usiyojua imetoka wapi
piriton ndio kiboka yake meza kabla
 
Back
Top Bottom