Trump atangaza kutoshiriki tena midahalo ya urais

Trump atangaza kutoshiriki tena midahalo ya urais

Mimi sio muumini wa hayo mabishano yenu and probably Trump ndiye ana nafasi kubwa kushida uraisi mpaka sasa ila kuhusu mengi aliyo yaongea Trump kwenye debate ilikuwa ni uongo na alifeli kujibu maswali mengi tu kama vita ya Ukraine, IVF ambapo yeye na running mate wake wanapishana yaani mmoja anaikubali na mwingine anaikataa halafu wanamuiliza vipi tena wenyewe mnakinzana? Anajibu kwamba hawajawahi kukaa kuzungumzia hilo, issue za Abortion, plan yake mpya kwenye OBAMA CARE hakuwa na jibu sahihi, aliulizwa sababu za kuiua bipartisan immigration Bill hana majibu.... sasa alionewa wapi?

Kwenye fact checks watu wanaacha kuangalia logic wanaanza kudai kaonewa ukiuliza wapi? Mara oooh aliulizwa maswali magumu, jambo la kushangaza ni kwamba kwenye presidential debate maswali mengi yanafanana.

Ndiyo maana yeye mwenyewe kuna vitu alikuwa anaongea akiambiwa athibitishe anashindwa.

Hizo statistics unazosema ni za uongo sio kweli mkuu, majibu yote ambayo yametolewa ni sahihi kabisa unless uje na data sahihi according to you.

Alipotoka pale alijinadi kwamba hiyo ndiyo debate yake bora zaidi na akadai kashinda lakini baada ya kuona upepo sio wake kwenye mitandao ndipo zikaanza sababu ambazo kiuhalisia hazina mashiko yoyote.

Alidai anataka Fox ndio wahost debate zake ama next debate lakini hao hao jana wamekiri kwamba jana alizidiwa kila sehemu. Mwenzake alikuwa anatoa facts+ figures huku yeye akiwa anatumia ujanja mdomoni.

Kiuhalisia ni kwamba Trump hajawahi kuwa smart sana kama ambavyo watu wanaiaminisha mitandao ila ni mtu ambaye anajiamini na ni mjanja mjanja sana. Kama nitakuwa sawa 2020 alipoteza debates 2 kwa Biden ni juzi tu alimkuta Biden kashachoka hata kujielezea hawezi.

Mistake yake kubwa ni kufanya debate na huyo mama, haikuwa na faida yoyote kwake zaidi ya kumtangaza huyo mwanamama. Kosa lake lilianzia hapo na alikuja kama kakurupuka kwa sababu hakuwa na jambo lolote jipya la kulileta na alikuwa mtu wa kukimbia maswali na kuhama hama topics.

Sometime tusitumie hisia zaidi kwenye sehemu za kutumia akili ndogo tu.
 
Mimi sio muumini wa hayo mabishano yenu and probably Trump ndiye ana nafasi kubwa kushida uraisi mpaka sasa ila kuhusu mengi aliyo yaongea Trump kwenye debate ilikuwa ni uongo na alifeli kujibu maswali mengi tu kama vita ya Ukraine, IVF ambapo yeye na running mate wake wanapishana yaani mmoja anaikubali na mwingine anaikataa halafu wanamuiliza vipi tena wenyewe mnakinzana? Anajibu kwamba hawajawahi kukaa kuzungumzia hilo, issue za Abortion, plan yake mpya kwenye OBAMA CARE hakuwa na jibu sahihi, aliulizwa sababu za kuiua bipartisan immigration Bill hana majibu.... sasa alionewa wapi?

Kwenye fact checks watu wanaacha kuangalia logic wanaanza kudai kaonewa ukiuliza wapi? Mara oooh aliulizwa maswali magumu, jambo la kushangaza ni kwamba kwenye presidential debate maswali mengi yanafanana.

Ndiyo maana yeye mwenyewe kuna vitu alikuwa anaongea akiambiwa athibitishe anashindwa.

Hizo statistics unazosema ni za uongo sio kweli mkuu, majibu yote ambayo yametolewa ni sahihi kabisa unless uje na data sahihi according to you.

Alipotoka pale alijinadi kwamba hiyo ndiyo debate yake bora zaidi na akadai kashinda lakini baada ya kuona upepo sio wake kwenye mitandao ndipo zikaanza sababu ambazo kiuhalisia hazina mashiko yoyote.

Alidai anataka Fox ndio wahost debate zake ama next debate lakini hao hao jana wamekiri kwamba jana alizidiwa kila sehemu. Mwenzake alikuwa anatoa facts+ figures huku yeye akiwa anatumia ujanja mdomoni.

Kiuhalisia ni kwamba Trump hajawahi kuwa smart sana kama ambavyo watu wanaiaminisha mitandao ila ni mtu ambaye anajiamini na ni mjanja mjanja sana. Kama nitakuwa sawa 2020 alipoteza debates 2 kwa Biden ni juzi tu alimkuta Biden kashachoka hata kujielezea hawezi.

Mistake yake kubwa ni kufanya debate na huyo mama, haikuwa na faida yoyote kwake zaidi ya kumtangaza huyo mwanamama. Kosa lake lilianzia hapo na alikuja kama kakurupuka kwa sababu hakuwa na jambo lolote jipya la kulileta na alikuwa mtu wa kukimbia maswali na kuhama hama topics.

Sometime tusitumie hisia zaidi kwenye sehemu za kutumia akili ndogo tu.
Midahalo inabidi iwe haki ya kikatiba kwa nchi zote duniani. Yoyote anayepigania urais muhimu aweze kujieleza.
 
Kwa nchi za wenzetu zenye mfumo imara wa utawala unaounda taasisi imara kama polisi, Usalama wa Taifa, mahakama huru, Bunge huru hata Samia Suluhu Hassan au wewe michibo unaweza kuwa kiongozi mkuu (Rais) wa nchi bila shida na huwezi kufanya ujinga wowote kama kuuza Bandari au kufukuza Wamasai wa Ngorongoro na ardhi yao unawapa waarabu kwa jina la "wawekezaji..."

Huku Afrika bado sana. Mifumo iko loose mno. Ukiwa na kiongozi mkuu wa nchi (Rais) mjinga na mwenye tamaa ya fedha, anauza nchi yote na hakuna taasisi yoyote iwe mahakama, Bunge wala UWT itakayomzuia. Ndicho anachofanya Rais Samia Suluhu Hassan hapa nchini kwetu, Tanganyika..>

Mbaya zaidi kiongozi huyo awe mwanamke, basi hali inakuwa mbaya zaidi na zaidi. Ndivyo ilivyo leo hapa Tanganyika...

Samia asingeweza kupita mdahalo huru ndani ya Chama chake au upinzani. Yeye na Lissu, Heche, Mpina,,Kabudi, Polepole, Lukuvi, Kabudi, Makonda.
 
Hakuna kitu kinachofurahisha kama Wabongonyoso wanavyoshabikia siasa zisizowahusu. Trump angekuwa anajua najua yumo humu JF,na anaelewa kiswahili. Anashindwa kujibu upuuzi wenu tu basi.
 
Hakuna kitu kinachofurahisha kama Wabongonyoso wanavyoshabikia siasa zisizowahusu. Trump angekuwa anajua najua yumo humu JF,na anaelewa kiswahili. Anashindwa kujibu upuuzi wenu tu basi.
Wewe ni Bongolala hujui kitu , Kaa kwa kutulia!
Watu wenye akili Duniani kote wanafuatilia uchaguzi wa Marekani!
Marekani ndiye Baba la Dunia hii, hivyo ni vizuri kumjua anayekuja kutawala Marekani au sema kutawala Dunia hii.
Kichwa chako cha panzi hicho kula mihogo yako ukalale!
 
This time wanachagua Rais ke
Yeah Kamala ndio Rais, wengi hawatoamini

Hillary was a mafia, haikuwa Rahis kumpa, this time is kamala, hata mm sipendi awe kamala, woman is waman but she is going to be
 
Mimi sio muumini wa hayo mabishano yenu and probably Trump ndiye ana nafasi kubwa kushida uraisi mpaka sasa ila kuhusu mengi aliyo yaongea Trump kwenye debate ilikuwa ni uongo na alifeli kujibu maswali mengi tu kama vita ya Ukraine, IVF ambapo yeye na running mate wake wanapishana yaani mmoja anaikubali na mwingine anaikataa halafu wanamuiliza vipi tena wenyewe mnakinzana? Anajibu kwamba hawajawahi kukaa kuzungumzia hilo, issue za Abortion, plan yake mpya kwenye OBAMA CARE hakuwa na jibu sahihi, aliulizwa sababu za kuiua bipartisan immigration Bill hana majibu.... sasa alionewa wapi?

Kwenye fact checks watu wanaacha kuangalia logic wanaanza kudai kaonewa ukiuliza wapi? Mara oooh aliulizwa maswali magumu, jambo la kushangaza ni kwamba kwenye presidential debate maswali mengi yanafanana.

Ndiyo maana yeye mwenyewe kuna vitu alikuwa anaongea akiambiwa athibitishe anashindwa.

Hizo statistics unazosema ni za uongo sio kweli mkuu, majibu yote ambayo yametolewa ni sahihi kabisa unless uje na data sahihi according to you.

Alipotoka pale alijinadi kwamba hiyo ndiyo debate yake bora zaidi na akadai kashinda lakini baada ya kuona upepo sio wake kwenye mitandao ndipo zikaanza sababu ambazo kiuhalisia hazina mashiko yoyote.

Alidai anataka Fox ndio wahost debate zake ama next debate lakini hao hao jana wamekiri kwamba jana alizidiwa kila sehemu. Mwenzake alikuwa anatoa facts+ figures huku yeye akiwa anatumia ujanja mdomoni.

Kiuhalisia ni kwamba Trump hajawahi kuwa smart sana kama ambavyo watu wanaiaminisha mitandao ila ni mtu ambaye anajiamini na ni mjanja mjanja sana. Kama nitakuwa sawa 2020 alipoteza debates 2 kwa Biden ni juzi tu alimkuta Biden kashachoka hata kujielezea hawezi.

Mistake yake kubwa ni kufanya debate na huyo mama, haikuwa na faida yoyote kwake zaidi ya kumtangaza huyo mwanamama. Kosa lake lilianzia hapo na alikuja kama kakurupuka kwa sababu hakuwa na jambo lolote jipya la kulileta na alikuwa mtu wa kukimbia maswali na kuhama hama topics.

Sometime tusitumie hisia zaidi kwenye sehemu za kutumia akili ndogo tu.
Nakuunga mkono,niliona kama mama kamala alijiandaa vyema na facts.

Nimeshangaa sana namna trump anavyobabaika mpaka najiuliza kwamba speech kama hizi ambazo ni muhimu kwa nini mtu asitumie japo siku nzima kuandaa namna ambavyo atazungumza na all possible questions ambazo anaweza kuulizwa akaandaa kabisa majibu hake ?

Nina wasiwasi mama kamala ndicho alichofanya,alijiandaa vyema na akatafuta majibu ya kutosha kwenye ajenda za trump ili awe nondo then akaingia mtaani.
 
Samia asingeweza kupita mdahalo huru ndani ya Chama chake au upinzani. Yeye na Lissu, Heche, Mpina,,Kabudi, Polepole, Lukuvi, Kabudi, Makonda.
Huyu mama hata kujieleza kwa mambo ya kawaida tu hawezi. Ndiyo maana tunasema tuna Rais mdoli pale kwenye Ikulu yetu...

Kujieleza kwa facts based on internal and international affairs on economics, social, political, cultural and other current affairs atawezea wapi....?

Hapa ndipo shida ya nchi yetu ilipo. Tunakosa uongozi na viongozi wenye viwango vya ubora wa kuitwa viongozi...!
 
Siku mbili tu tangu mdahalo wa wagombea uraisi wa Democratic na Republican,Donald Trump amekubali kwamba hakufanya vizuri mbele ya mgombea wa Democratic, Bi. Kamala Harris.

Kutokana na hali hiyo Trump amesema hataki mdahalo mwengine na mgombea mwenzake kabla ya siku ya uchaguzi. Akasisitiza kwamba Kamala amekuwa akishinikiza kongamano jengine kwa vile anajiona ameshinda.

Iwapo Donald Trump atajiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho cha uraisi ataandika historia kwa demokrasia ya Marekani ambapo itakuwa wagombea wawili kutoka vyama tofauti kujiondoa kwenye uchaguzi na kumuachia mmoja ashinde bila uchaguzi.

==============

Former President Donald Trump said in a social media post on Thursday that he will not debate Vice President Kamala Harris a second time before Election Day.

"THERE WILL BE NO THIRD DEBATE!" Trump wrote on Truth Social in reference to his first debate against President Biden in late June and a second debate against Harris this week.

In the post, Trump maintained that "polls clearly show" that he won the debate, though he did not provide any evidence to back up his claim.

Three polls taken immediately after the date found that Harris outperformed Trump. CNN/SSRS showed Harris beating Trump by a margin of 63%-37%, SoCal Strategies/On Point Politics/Red Eagle Politics had Harris over Trump by 53%-34% and YouGov found that Harris bested Trump by a margin of 54%-31%.

Two other post-debate polls released Thursday showed Harris building her national lead over Trump. A national Morning Consult poll found Harris leading Trump by five points, a three-point bump following Tuesday's debate. A Reuters/Ipsos poll also found Harris with a five-point lead.

Moments after Trump announced his decision to forego another debate with Harris, the vice president took the stage at a campaign rally in Charlotte, N.C., and proclaimed "we owe it to the voters to have another debate!"

On Tuesday, Harris’s campaign called for a second debate between the two candidates to be held in October.

Donald Trump and Kamala Harris

Donald Trump and Kamala Harris. (Photo illustration: Yahoo News; photos: Saul Loeb/AFP via Getty Images, Doug Mills/The New York Times/Bloomberg via Getty Images)

“Vice President Harris is ready for a second debate. Is Donald Trump?" Harris campaign chair Jen O’Malley Dillon said in a statement Tuesday night.

Following the first debate, Minnesota Gov. Tim Walz was asked by MSNBC’s Rachel Maddow whether his running mate should debate Trump again.

“Look, I don’t want to speak for her, but I would be there encouraging her to do it every day,” Walz responded, and there is data to back up his confidence.

On Wednesday, Trump sought to cast himself as the winner of the debate.

“The first thing they did is ask for a debate because when a fighter loses, he says ‘I want a rematch,’” Trump said during a Wednesday morning interview on Fox & Friends.

Trump repeated that message in a post on Truth Social.

“In the World of Boxing or UFC, when a Fighter gets beaten or knocked out, they get up and scream, ‘I DEMAND A REMATCH, I DEMAND A REMATCH!’ Well, it’s no different with a Debate,” he wrote. “She was beaten badly last night. Every Poll has us WINNING, in one case, 92-8, so why would I do a Rematch?”

Trump has, of course, backtracked on his commitment to hold debates. Last month, for instance, he abruptly announced he was pulling out of the ABC News debate and instead proposed that the two candidates face off on Fox News instead. Harris refused that demand and Trump ultimately relented and appeared in last night’s previously agreed to debate.

By Wednesday afternoon, Trump was shifting again, telling reporters in Shanksville, Pa., that he was still considering more debates.

“When you win, you don’t really necessarily have to do it a second time, so we’ll see,” Trump said, before adding, “Are we going to do a rematch, I just don’t know. We’ll think about it.”

Pressed on whether he would agree to participate in a Sept. 25 debate on NBC, Trump said, “I would do NBC. I’d do Fox too.”

Trump changes course again, says he won't hold another debate with Harris
 
Kushinda mdahalo kwa Kamala Haris si kigezo cha yeye kushinda uchaguzi.
 
▎Namna Uchaguzi Unavyoendeshwa Marekani

Mfumo wa uchaguzi wa Marekani ni tata na una hatua nyingi, tofauti na nchi nyingi. Hapa kuna muhtasari wa namna uchaguzi unavyoendeshwa:

1. Uchaguzi wa Awali (Primaries):

• Kila chama (kama vile Democratic na Republican) kinafanya uchaguzi wa awali ili kuchagua mgombea wao wa urais.

• Wananchi wanapiga kura kuchagua mgombea wanayemtaka aewakilishe chama hicho katika uchaguzi mkuu.

• Kuna aina mbili za primaries:
* Closed primaries: Wananchi wanaweza kupiga kura tu kwa mgombea wa chama wanachojiandikisha.
* Open primaries: Wananchi wanaweza kupiga kura kwa mgombea wa chama chochote, hata kama hawajaliandikisha katika chama hicho.

2. Mkutano Mkuu wa Kitaifa (National Conventions):

• Baada ya primaries, kila chama kinafanya mkutano mkuu wa kitaifa.

• Katika mkutano huu, wajumbe kutoka kila jimbo wanakutana rasmi kuchagua mgombea wa urais na makamu wa rais wa chama chao.

• Pia, chama kinaandaa sera na kauli mbiu za kampeni.

3. Kampeni ya Uchaguzi Mkuu (General Election Campaign):

• Baada ya mkutano mkuu, wagombea wa kila chama huanza kampeni ya uchaguzi mkuu.

• Wagombea husafiri nchi nzima, kuhutubia mikutano, na kutoa matangazo ya televisheni na redio.

• Wanaanza kutoa ahadi na mipango yao kwa wananchi.

4. Siku ya Uchaguzi (Election Day):

• Siku ya uchaguzi, wananchi wanapiga kura kuchagua mgombea wa urais na makamu wa rais, pamoja na wabunge na maafisa wengine wa serikali.

• Uchaguzi hufanyika siku ya kwanza ya Jumanne ya wiki ya kwanza ya Novemba kila miaka minne.

5. Uhesabuji wa Kura na Matokeo (Counting and Results):

• Baada ya uchaguzi, kura zinahesabiwa na maafisa wa uchaguzi katika kila jimbo.

• Matokeo yanaangaziwa na vyombo vya habari.

• Kila jimbo lina idadi fulani ya "kura za uchaguzi" (electoral votes) kulingana na idadi ya wakazi.

• Mgombea anayepata kura nyingi za uchaguzi kutoka majimbo mbalimbali ndiye anayetangazwa kuwa mshindi.

6. Chuo cha Uchaguzi (Electoral College):

• Marekani haitumii mfumo wa "kura moja kwa kila mtu" kuchagua rais.

• Badala yake, kuna "Chuo cha Uchaguzi" ambacho kinajumuisha wajumbe 538 kutoka kila jimbo.

• Idadi ya wajumbe kutoka kila jimbo inategemea idadi ya wakazi.

• Wajumbe hawa hukutana rasmi mwezi Desemba baada ya uchaguzi kuchagua rasmi rais na makamu wa rais.

• Mgombea anayepata kura nyingi za wajumbe wa Chuo cha Uchaguzi ndiye anayetangazwa kuwa rais.

7. Kuapishwa kwa Rais (Inauguration):

• Rais mpya anaapishwa rasmi tarehe 20 Januari mwaka unaofuata uchaguzi.

• Hii ni ishara rasmi ya kuanza kwa muhula mpya wa urais.


Mambo Muhimu ya Kukumbuka:

• Mfumo wa uchaguzi wa Marekani unategemea sana majimbo.

• Kila jimbo lina sheria na taratibu zake za uchaguzi.

• Chuo cha Uchaguzi kina jukumu muhimu katika kuchagua rais.

• Kampeni za uchaguzi Marekani ni za muda mrefu na zina gharama kubwa.


Natumaini muhtasari huu unakusaidia kuelewa namna uchaguzi unavyoendeshwa Marekani. source Ai
 
Siku mbili tu tangu mdahalo wa wagombea uraisi wa Democratic na Republican,Donald Trump amekubali kwamba hakufanya vizuri mbele ya mgombea wa Democratic ,bi Kamala Harris.

Kutokana na hali hiyo Trump amesema hataki mdahalo mwengine na mgombea mwenzake kabla ya siku ya uchaguzi.Akasisitiza kwamba Kamala amekuwa akishinikiza kongamano jengine kwa vile anajiona ameshinda.

Iwapo Donald Trump atajiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho cha uraisi ataandika historia kwa demokrasia ya Marekani ambapo itakuwa wagombea wawili kutoka vyama tofauti kujiondoa kwenye uchaguzi na kumuachia mmoja ashinde bila uchaguzi.
Trump changes course again, says he won't hold another debate with Harris
Unafikir US kuna vyama viwili tu vinavyoshindania nafasi ya Urais?
Kuna vyama vingine japo ni vidogo na pia huwa kuna wagombea binafsi.
Hivyo uchaguzi lazima uwepo.
 
Mwaka 2016, Hillary Clinton alipata kura 65,844,610 za wananchi (popular vote).

Hata hivyo, licha ya kupata kura nyingi za wananchi kuliko Donald Trump, alipoteza uchaguzi kwa sababu ya mfumo wa Electoral College. Trump alipata kura 304 za wajumbe wa Chuo cha Uchaguzi, huku Hillary akipata 227.


Kwa muhtasari:

• Hillary Clinton:
* Kura za wananchi: 65,844,610 (48.2%)
* Kura za wajumbe wa Chuo cha Uchaguzi: 227

• Donald Trump:
* Kura za wananchi: 62,984,828 (46.1%)
* Kura za wajumbe wa Chuo cha Uchaguzi: 304


Mfumo wa Electoral College ndio unaamua mshindi wa urais wa Marekani, na si kura za wananchi pekee.
 
Back
Top Bottom