Trump atangaza kutoshiriki tena midahalo ya urais

Trump atangaza kutoshiriki tena midahalo ya urais

Uzi wako umeuandika kishabiki sana,yaani ka vile sisi wengine hatukuufuatilia huo mdahalo,wakati ambapo mdahalo huo uliongewa kwa lugha ya kiingereza lugha ambayo watanzania tunaijua na tunaiongea,mpaka unafikia kiwango cha kusema Trump alihenyeshwa,alihenyeshwa wapi?
Kama wewe ni shabiki wa Camala basi Imekula kwako Marekani bado haipo tayari kutawaliwa na mwanamke,yanaenda kujirudia Yale ya Hilary Clinton,hata baadhi ya wanachama wa Chama Cha Democrat wanaenda kumkataa Camala Haris kwenye sanduku la kura.
Kama Obama mwenye asili ya watu kutoka Africa ameweza kuwa raisi wa USA, basi sina shaka na Kamala kuwa raisi pia, marekani imefikia hatua ya kutoangalia rangi/jinsia hasa kwenye nafasi nyeti kama hii.
 
Kama Obama mwenye asili ya watu kutoka Africa ameweza kuwa raisi wa USA, basi sina shaka na Kamala kuwa raisi pia, marekani imefikia hatua ya kutoangalia rangi/jinsia hasa kwenye nafasi nyeti kama hii.
Dunia ipo kwenye mapigano,
Kama wanaume wenyewe ndio hao wakina Trump, wamarekani watakuwa sahihi zaidi kuchagua mwanamke.
Hapo umekosea,Akili ya waMarekani walio wengi wanaweza kama Trump,ndiyo maana anaenda kushinda uchaguzi tena,kwanza ahadi alizoziahidi kwamba anaenda kuzitekeleza atakaposhinda uraisi,waMarekani wote wenye hali za kawaida wanaenda kumpigia kura,ila ukisoma au kusikiliza media zilizopo ambazo ni asilimia 90 zinamchukia Trump utadhani Trump anapoteza,lakini kiuhalisia Camala anaenda kuburuzwa siku ya tarehe 5 November.
 
Dunia ipo kwenye mapigano,

Hapo umekosea,Akili ya waMarekani walio wengi wanaweza kama Trump,ndiyo maana anaenda kushinda uchaguzi tena,kwanza ahadi alizoziahidi kwamba anaenda kuzitekeleza atakaposhinda uraisi,waMarekani wote wenye hali za kawaida wanaenda kumpigia kura,ila ukisoma au kusikiliza media zilizopo ambazo ni asilimia 90 zinamchukia Trump utadhani Trump anapoteza,lakini kiuhalisia Camala anaenda kuburuzwa siku ya tarehe 5 November.
Kaka hakuna chombo Cha habari kimeonyesha kumchukia Trump, na bahati nzuri madahalo unafanyika hadharani wala sio chumbani wala vichochoroni, alafu kumbuka wamarekani wengi wanaunga mkono misaada inayotolewa kwenda Ukraine, Trump kashindwa kueleza atamaliza vipi hiyo vita. Trump kiasili ni dicteta,
 
Tena trump ni dikteta kweli! Kuhusu Harris anashinda mchana kweupe,kwanza trump alivyokuwa anaingia tu ukumbini alionekana kumhofia sana Harris,swala la marekani kutokuongozwa na mwanamke hayo yalishapitwa na wakati, ukiongelea kuhusu Clinton unakosea kipindi Kili huyo trump alikuwa hajulikani tabia zake
 
Tena hata Mimi napenda sana anavyo cheka wanaomkataa rudieni mahojiano yake na wakuu wa vyombo vya usalama walivyokuwa anawahenyesha,huyo ndio Kamala Harris
 
Namna ambavyo atatatua mgogoro wa Ukraine hawezi kuutangazia ulimwengu na adui akiwa anasikia, Trump ana akili sana, hilo swali hata mimi siwezi kujibu ni siri yangu. Kama amepanga kuingia vita na Rusia ili ashnikize vita uishe mnalitaka asema mzozo huo ataumaliza kwa mbinu gani? Putin alipata kiburi na kuona kuwa USA na NATO wanamuogopa, ilitakiwa tangia mwanzoni kila silaha anayotumia Rusia kumpiga Ukraine na Ukraine anatumia hiyo hiyo silaha, kama ni long or short range, missiles, herpersonic na ngede na wao wanajibu mashambulizi hivi hivi/
 
Mgombea urais wa chama Republican huko USA, Donald Trump ametangaza rasmi kususia midahalo yoyote ya urais inayomkutanisha na Kamala Harris.

Uamuzi huu umekuja siku moja tu baada ya Trump kuhenyeshwa vibaya na mpinzani wake wa chama cha Democrat, mwanamama Kamala Harris kwenye mdahalo wa kwanza uliowakutanisha wawili hao.

Soma Pia: Kamala, Trump wavutana katika Mdahalo wao, kila upande wadai umefanya vizuri
---
Washington — Former President Donald Trump announced Thursday that he won't debate Vice President Kamala Harris again, following Tuesday night's meeting between the two in Philadelphia.

"THERE WILL BE NO THIRD DEBATE!" Trump said at the end of a long post on his Truth Social account. The first presidential debate was in June between Trump and President Biden.

"When a prizefighter loses a fight, the first words out of his mouth are, 'I WANT A REMATCH,'" Trump wrote in his post, explaining why he doesn't want another debate and insisting unnamed polls showed he won.

But initial polls by Reuters, YouGov and CNN showed a wide majority of voters thought Harris outperformed Trump. Most commentators and observers agreed that Harris got the upper hand in the showdown, with the vice president generally remaining on the attack while putting Trump on the defensive.

Trump at times struggled to focus his messaging, repeating debunked claims that Haitian migrants are eating pets, insisting people aren't leaving his rallies early and saying he has "concepts" of a health care plan.

Shortly after Trump's post, Harris addressed a crowd at a rally in North Carolina, where she said she was open to another debate.

"I believe we owe it to the voters to have another debate," she said.

Many of Trump's allies also said that Harris had come out on top in Philadelphia. Robert F. Kennedy Jr., who endorsed Trump after dropping out of the race for president, told Fox News on Wednesday that Harris "clearly won the debate in terms of her delivery, her polish, her organization, and her preparation," even though "I think on substance, President Trump wins in terms of his governance."

"But he didn't tell that story," Kennedy told Fox News.

After the debate ended Tuesday night, Republican Rep. Mike Collins of Georgia posted to X, "You want to know who won? Find out who refuses to do a 2nd debate."

Source: BBC
Wali moto mchuzi moto, Midahalo inampaisha sana Harris na Trump akikataa tena kufanya naye mdahalo pia ni msala mwengine kwanini anakataa? haya yoote ni maswali ambayo wazungu watagundua nani anafaa.

Ule mdahalo wa juzi Trump aliongea uongo mara 31+ na kusema Springfield wageni wanakula mbwa na paka jambo ambalo Meyor wa mji amekataa na kusema ni uongo uliokubuhu na sasa wazungu wana mock Trump kwa viji clips vya kuchekesha chekesha vya mbwa na paka mitandaoni
 
Mwana mama alivaa hereni za kisasa ambazo ni earphone hivyo kuna uwezekano wa kituo kilichoendesha mdaharo kikachunguzwa. Isitoshe alikuwa anakatishwa mara kwa mara kumtoa kwenye mstari.
Hii ni propaganda nyengine haipo kwenye chanzo chochote, nafkiri ni sadiki ukipenda
 
Baada ya uchaguzi, tutarudi kwenye huu uzi. Panapo uzima.. Trump ataukwaa tena Uraisi. Sitajibu mpaka uchaguzi upite.
Mimi sina mengi ila kwa ninavyoijua Marekani hilo la Trump kuukwaa tena uongozi sidhani. Sumu haionjwi mara mbili na kosa si kosa ila kurudia kosa.
 
Mgombea urais wa chama Republican huko USA, Donald Trump ametangaza rasmi kususia midahalo yoyote ya urais inayomkutanisha na Kamala Harris.

Uamuzi huu umekuja siku moja tu baada ya Trump kuhenyeshwa vibaya na mpinzani wake wa chama cha Democrat, mwanamama Kamala Harris kwenye mdahalo wa kwanza uliowakutanisha wawili hao.

Soma Pia: Kamala, Trump wavutana katika Mdahalo wao, kila upande wadai umefanya vizuri
---
Washington — Former President Donald Trump announced Thursday that he won't debate Vice President Kamala Harris again, following Tuesday night's meeting between the two in Philadelphia.

"THERE WILL BE NO THIRD DEBATE!" Trump said at the end of a long post on his Truth Social account. The first presidential debate was in June between Trump and President Biden.

"When a prizefighter loses a fight, the first words out of his mouth are, 'I WANT A REMATCH,'" Trump wrote in his post, explaining why he doesn't want another debate and insisting unnamed polls showed he won.

But initial polls by Reuters, YouGov and CNN showed a wide majority of voters thought Harris outperformed Trump. Most commentators and observers agreed that Harris got the upper hand in the showdown, with the vice president generally remaining on the attack while putting Trump on the defensive.

Trump at times struggled to focus his messaging, repeating debunked claims that Haitian migrants are eating pets, insisting people aren't leaving his rallies early and saying he has "concepts" of a health care plan.

Shortly after Trump's post, Harris addressed a crowd at a rally in North Carolina, where she said she was open to another debate.

"I believe we owe it to the voters to have another debate," she said.

Many of Trump's allies also said that Harris had come out on top in Philadelphia. Robert F. Kennedy Jr., who endorsed Trump after dropping out of the race for president, told Fox News on Wednesday that Harris "clearly won the debate in terms of her delivery, her polish, her organization, and her preparation," even though "I think on substance, President Trump wins in terms of his governance."

"But he didn't tell that story," Kennedy told Fox News.

After the debate ended Tuesday night, Republican Rep. Mike Collins of Georgia posted to X, "You want to know who won? Find out who refuses to do a 2nd debate."

Source: BBC
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 Harafu Chadema watalaumu CCM kukataa midahalo.
 
Mimi sio muumini wa hayo mabishano yenu and probably Trump ndiye ana nafasi kubwa kushida uraisi mpaka sasa ila kuhusu mengi aliyo yaongea Trump kwenye debate ilikuwa ni uongo na alifeli kujibu maswali mengi tu kama vita ya Ukraine, IVF ambapo yeye na running mate wake wanapishana yaani mmoja anaikubali na mwingine anaikataa halafu wanamuiliza vipi tena wenyewe mnakinzana? Anajibu kwamba hawajawahi kukaa kuzungumzia hilo, issue za Abortion, plan yake mpya kwenye OBAMA CARE hakuwa na jibu sahihi, aliulizwa sababu za kuiua bipartisan immigration Bill hana majibu.... sasa alionewa wapi?

Kwenye fact checks watu wanaacha kuangalia logic wanaanza kudai kaonewa ukiuliza wapi? Mara oooh aliulizwa maswali magumu, jambo la kushangaza ni kwamba kwenye presidential debate maswali mengi yanafanana.

Ndiyo maana yeye mwenyewe kuna vitu alikuwa anaongea akiambiwa athibitishe anashindwa.

Hizo statistics unazosema ni za uongo sio kweli mkuu, majibu yote ambayo yametolewa ni sahihi kabisa unless uje na data sahihi according to you.

Alipotoka pale alijinadi kwamba hiyo ndiyo debate yake bora zaidi na akadai kashinda lakini baada ya kuona upepo sio wake kwenye mitandao ndipo zikaanza sababu ambazo kiuhalisia hazina mashiko yoyote.

Alidai anataka Fox ndio wahost debate zake ama next debate lakini hao hao jana wamekiri kwamba jana alizidiwa kila sehemu. Mwenzake alikuwa anatoa facts+ figures huku yeye akiwa anatumia ujanja mdomoni.

Kiuhalisia ni kwamba Trump hajawahi kuwa smart sana kama ambavyo watu wanaiaminisha mitandao ila ni mtu ambaye anajiamini na ni mjanja mjanja sana. Kama nitakuwa sawa 2020 alipoteza debates 2 kwa Biden ni juzi tu alimkuta Biden kashachoka hata kujielezea hawezi.

Mistake yake kubwa ni kufanya debate na huyo mama, haikuwa na faida yoyote kwake zaidi ya kumtangaza huyo mwanamama. Kosa lake lilianzia hapo na alikuja kama kakurupuka kwa sababu hakuwa na jambo lolote jipya la kulileta na alikuwa mtu wa kukimbia maswali na kuhama hama topics.

Sometime tusitumie hisia zaidi kwenye sehemu za kutumia akili ndogo tu.
hayo yote mimi pia niliyaona nilipenda ...sana sauti ya yule mama very calm ..anatema fact and logic

lakini sidhani kama atashinda uyu mama maana wengi wetu hatuamini sana kwamba mwanamke anaweza kuwa kiongozi ikiwemo na mimi
 
Kumbe tatizo lako si herufi L wala R, tatizo lenu (Tlaatlaah. chiembe na wewe ChoiceVariable) ni lile lile moja...U tatu, Uchawa, Utumwa na Ujinga!
ni muhimu kuwa wangwana kidogo,
ni uonevu na kwakweli nadhani inaweza pia kua udhalilishaji kwa rais kushindanishwa na makamu wa rais m myonge na asie na uhakika sana na anachozungumza...

hata ifanyike midahalo 100,
Kamala Haris hawezi kumshinda Donald Trump kwenye midahalo wala kwenye sanduku la kura....

Ushindi wa Donald Trump utakua ni mkubwa zaidi na wa uhakika zaid ya alivyo mshinda Hilary Clinton katika awamu ya kwanza ya urais....

vijana wamarekani wasaka ajira weupe kwa weusi pamoja na ambao hawakua wameamua bado wamchague nani uchaguzi wa Nov.wameshaamua kwenda na Trump kutokana na sera yake muhimu sana ya uhamiaji na kwahivyo atashinda uchuzi huo kirahisi sana dhidi ya Kamala Haris...

Infact ,
Mdahalo wa Donald Trump na Kamala Haris, ni kama ule wa Dr. Nchimbi na watu dhaifu kama vile akina Myika, Ado na wenzao. sasa wangejadili nini kwa mfano? anaejua mengie muhumu na mwenye majukumu mazito anaejua masuala mazito anaenda kufanya mdahalo au mazungumzo na watu wenye malalamiko na wasiejua kitu, wanaenda kuzungumza nini?🐒
 
Na huyu ana asilimia kubwa sana ya kushinda katika uchaguzi ujao na atamuacha mbali Kamala.
Tupe facts zako katika hayo maoni yako. Nini kitapelekea Trump kushinda na sio kushindwa?
 
Back
Top Bottom