Hadi uzifahamu siasa za Marekani kwa undani zaidi au uwe umeisho Marekani.Tupe facts zako katika hayo maoni yako. Nini kitapelekea Trump kushinda na sio kushindwa?
Hapa nikikueleza hutaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi uzifahamu siasa za Marekani kwa undani zaidi au uwe umeisho Marekani.Tupe facts zako katika hayo maoni yako. Nini kitapelekea Trump kushinda na sio kushindwa?
Unachokiandika sio halisi na sio sahihi kwa 100%.Dunia ipo kwenye mapigano,
Hapo umekosea,Akili ya waMarekani walio wengi wanaweza kama Trump,ndiyo maana anaenda kushinda uchaguzi tena,kwanza ahadi alizoziahidi kwamba anaenda kuzitekeleza atakaposhinda uraisi,waMarekani wote wenye hali za kawaida wanaenda kumpigia kura,ila ukisoma au kusikiliza media zilizopo ambazo ni asilimia 90 zinamchukia Trump utadhani Trump anapoteza,lakini kiuhalisia Camala anaenda kuburuzwa siku ya tarehe 5 November.
Hakuna siri katika siasa za USA, tuambie hapa sote tujue.Hadi uzifahamu siasa za Marekani kwa undani zaidi au uwe umeisho Marekani.
Hapa nikikueleza hutaelewa
Kuna watu wanadhani juzi Kamala Harris alibahatisha kumning'iniza Trump kwenye mdahalo wakati kwa miaka mingi mnoo Kamala amekuwa akiwaning'iniza wanasiasa na watawala mahakamani, kwenye midahalo, mabaraza nk.Tena hata Mimi napenda sana anavyo cheka wanaomkataa rudieni mahojiano yake na wakuu wa vyombo vya usalama walivyokuwa anawahenyesha,huyo ndio Kamala Harris
Mwanamama mpaka sasa katushangaza wengi, na kuna kila dalili huenda akazidi kutushangaza zaidi, maana ana kitu kikubwa na anajaribu kukionyesha kwa wamarekani.hayo yote mimi pia niliyaona nilipenda ...sana sauti ya yule mama very calm ..anatema fact and logic
lakini sidhani kama atashinda uyu mama maana wengi wetu hatuamini sana kwamba mwanamke anaweza kuwa kiongozi ikiwemo na mimi
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuelewa kauli ya Trump ya kuimaliza vita ya Gaza na Ukraine ndani ya masaa 24 tu siku akiwa rais wa USA. Trump anabanwa aseme atafanya nini kuimaliza vita na sio kuropoka tu kuwa apewe Urais ili aimalize vita. Maana kila mtu anaweza kusema hivyo, hata kichaa anaweza kusema hivyo hivyo.Naona humu wengi vichwa maji kwa hiyo mnataka vita viendelee na hamna habari kabisa kuwa hivi vita vinavyoendelea duniani vikiwa vikubwa itakuwa vita ya 3 ya dunia rasmi ina maana hata sisi waafrika tutahusika. Mtu anataka kumaliza vita ninyi mnamuona fala kisa hajawapa maneno matamu wapumbavu sana. Binadamu ni sikio la kufa.
Kipi bora ni yule mwenye nia ya kumaliza vita au aliyeanzisha na kuendeleza? Na pia hamuwezi kuelewa kama ni kichwa maji.Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuelewa kauli ya Trump ya kuimaliza vita ya Gaza na Ukraine ndani ya masaa 24 tu siku akiwa rais wa USA. Trump anabanwa aseme atafanya nini kuimaliza vita na sio kuropoka tu kuwa apewe Urais ili aimalize vita. Maana kila mtu anaweza kusema hivyo, hata kichaa anaweza kusema hivyo hivyo.
Bado unaamini trump kachelewa?Trump alipaswa kufanya huu uamuzi kabla ya mdahalo uliopita, kimtindo amechelewa.
Wewe kauze mwani huko, achana na siasa za marekani, utadhalilika tuu, na hicho kibibi kizee chakoKama wanaume wenyewe ndio hao wakina Trump, wamarekani watakuwa sahihi zaidi kuchagua mwanamke.