Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha ufadhili wa Marekani kwa Afrika Kusini, akidai kuwa "tabaka fulani za watu" nchini humo wanatendewa vibaya sana.
Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa kijamii Truth Social siku ya Jumapili, Trump amesema kuwa Afrika Kusini "inanyakua ardhi" na kwamba Marekani haitanyamaza kwa hilo.
"Marekani haitanyamaza kwa hilo, tutachukua hatua. Pia, nitakata ufadhili wote ujao kwa Afrika Kusini hadi uchunguzi kamili wa hali hii utakapokamilika!" ameandika Trump, kulingana na shirika la habari la Reuters.
Haijafahamika wazi ni nini kilichomsukuma Trump kutoa kauli hiyo, na ubalozi wa Afrika Kusini mjini Washington DC haujatoa tamko lolote rasmi kuhusu suala hilo.
Kwa mujibu wa takwimu za serikali ya Marekani, Afrika Kusini imepokea msaada wa karibu dola milioni 440 kutoka Marekani mwaka 2023.
Soma pia: Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda
Kwa sasa, Afrika Kusini inashikilia urais wa G20, nafasi ambayo baadaye itachukuliwa na Marekani.
Mwezi uliopita, Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa alisema hana wasiwasi kuhusu uhusiano wa nchi hiyo na Trump. Alisema alizungumza na Trump baada ya ushindi wake wa uchaguzi na anatarajia kufanya kazi na utawala wake.
=================================================================
US President Donald Trump has asserted South Africa is “confiscating” land and “treating certain classes of people very badly” as he announced he was cutting off all future funding to the country pending an investigation.
The land issue in South Africa has long been divisive, with efforts to redress the inequality of white-rule drawing criticism from conservatives including Elon Musk, the world’s wealthiest person, who was born in South Africa and is a powerful Trump adviser.
South African President Cyril Ramaphosa last month signed a bill that stipulates the government may, in certain circumstances, offer “nil compensation” for property it decides to expropriate in the public interest.
“South Africa is confiscating land, and treating certain classes of people VERY BADLY,” Trump wrote on his Truth Social platform on Sunday.
“I will be cutting off all future funding to South Africa until a full investigation of this situation has been completed!” Trump wrote.
Pretoria argues the bill does not allow the government to expropriate property arbitrarily and must first seek to reach agreement with the owner.
However, some groups fear a situation similar to the Zimbabwe government’s seizure of white-owned commercial farms, often without compensation, after independence in 1980.
Later, in a briefing with journalists, Trump said that South Africa’s “leadership is doing some terrible things, horrible things” without giving examples.
Source: The Guardian
Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa kijamii Truth Social siku ya Jumapili, Trump amesema kuwa Afrika Kusini "inanyakua ardhi" na kwamba Marekani haitanyamaza kwa hilo.
"Marekani haitanyamaza kwa hilo, tutachukua hatua. Pia, nitakata ufadhili wote ujao kwa Afrika Kusini hadi uchunguzi kamili wa hali hii utakapokamilika!" ameandika Trump, kulingana na shirika la habari la Reuters.
Haijafahamika wazi ni nini kilichomsukuma Trump kutoa kauli hiyo, na ubalozi wa Afrika Kusini mjini Washington DC haujatoa tamko lolote rasmi kuhusu suala hilo.
Kwa mujibu wa takwimu za serikali ya Marekani, Afrika Kusini imepokea msaada wa karibu dola milioni 440 kutoka Marekani mwaka 2023.
Soma pia: Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda
Kwa sasa, Afrika Kusini inashikilia urais wa G20, nafasi ambayo baadaye itachukuliwa na Marekani.
Mwezi uliopita, Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa alisema hana wasiwasi kuhusu uhusiano wa nchi hiyo na Trump. Alisema alizungumza na Trump baada ya ushindi wake wa uchaguzi na anatarajia kufanya kazi na utawala wake.
=================================================================
US President Donald Trump has asserted South Africa is “confiscating” land and “treating certain classes of people very badly” as he announced he was cutting off all future funding to the country pending an investigation.
The land issue in South Africa has long been divisive, with efforts to redress the inequality of white-rule drawing criticism from conservatives including Elon Musk, the world’s wealthiest person, who was born in South Africa and is a powerful Trump adviser.
South African President Cyril Ramaphosa last month signed a bill that stipulates the government may, in certain circumstances, offer “nil compensation” for property it decides to expropriate in the public interest.
“South Africa is confiscating land, and treating certain classes of people VERY BADLY,” Trump wrote on his Truth Social platform on Sunday.
“I will be cutting off all future funding to South Africa until a full investigation of this situation has been completed!” Trump wrote.
Pretoria argues the bill does not allow the government to expropriate property arbitrarily and must first seek to reach agreement with the owner.
However, some groups fear a situation similar to the Zimbabwe government’s seizure of white-owned commercial farms, often without compensation, after independence in 1980.
Later, in a briefing with journalists, Trump said that South Africa’s “leadership is doing some terrible things, horrible things” without giving examples.
Source: The Guardian