Trump atoa onyo la mwisho kwa Hamas. Atangaza kuipa Israel kila aina ya msaada ili kuimaliza vita ya Gaza!

Trump atoa onyo la mwisho kwa Hamas. Atangaza kuipa Israel kila aina ya msaada ili kuimaliza vita ya Gaza!

Hakuna atakae tokea duniani kuwahamisha watu wa Palestine na hiyo serikar ya marekani m wahuni km walivyo wazayuni wanaojiita watu fake wa Mungu.Apeleke misaada hata ya mabomu ya nuclear km anaweza awaue kama ilvyo ada yao ila never never hawatokuja kuhama maeneo yao kwa ubabe wao na mwisho kama ilvyo kua ordained wa zayuni wataangamizwa
 
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo la mwisho kwa Hamas kuachilia mateka walioko Gaza, akisisitiza kuwa Marekani inaiunga mkono Israel kumaliza suala hilo.

Hii inakuja muda mfupi baada ya Ikulu ya Marekani kuthibitisha kuwa inafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Hamas, kinyume na sera yake ya awali ya kutozungumza na makundi iliyoainisha kama ya kigaidi.

Trump ameonya kuwa kutakuwa na madhara makubwa ikiwa mateka hawataachiliwa mara moja, huku akiwataka viongozi wa Hamas kuondoka Gaza. Pia ameonya raia wa kawaida kuwa mustakabali wao unategemea kuachiliwa kwa mateka.

View attachment 3260793

Hii si mara ya kwanza kwa Trump kutoa vitisho dhidi ya Hamas, kwani alitoa matamshi kama hayo Desemba mwaka jana. Ujumbe wake wa hivi karibuni umetolewa baada ya kukutana na mateka waliokuwa wameachiliwa chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano.

==============================================================

US President Donald Trump issued what he said was a “last warning” to Hamas to release all of the hostages in Gaza immediately – in a move that came just hours after the White House confirmed it was negotiating directly with the militant group.

“Release all of the hostages now, not later, and immediately return all of the dead bodies of the people you murdered, or it is OVER for you,” Trump posted on Truth Social on Wednesday, soon after meeting eight freed hostages at the White House.


Trump wrote that he would send Israel “everything it needs to finish the job,” and warned that “Not a single Hamas member will be safe if you don’t do as I say.”

The comments came just hours after the US confirmed reports that it was negotiating directly with Hamas about hostages and the Gaza ceasefire, in a move that goes against its tradition of not talking to groups it considers terrorist organizations. Axios first reported the talks.

It also comes as international aid and rights groups demand Israel ensure unhindered humanitarian access to Gaza, after the country stopped all aid into the enclave to pressure Hamas into accepting new terms for an extension of the ceasefire agreement.

The United States, which designated Hamas as a Foreign Terrorist Organization in 1997, traditionally does not speak with terrorist organizations, though there have been exceptions – both the Obama and Trump administrations negotiated with the Taliban, which was designated a terrorist organization in the wake of 9/11.

Source: CNN
Ninadhani marekani chini ya Trump inaenda kupoteza nafasi yake kama super power. Maana maamuzi anayoyafanya sio TU yataathir nchi nyingine Bali athari hasi zitawahusu wao vilevile.
 
Israel imekuwa ikipewa misaada ya silaha na Marekani kwa makumi ya miaka ila vita vya Israel na Palestina havijawahi kuisha labda avidanganye vitoto vilivyozaliwa elf 2
 
Kelele zote hizo anajua baada ya kuwaingiza Iran na hisbullah katika makubaliano yao ya kiujanjaujanja wasipigane hawataweza tena kuingilia huyo Vita ya Israel na hamasi kumbe sivyo hivyo vidume vipo pembeni wanamuangalia tu ayazue wampelekee moto
 
There is a time to use force and there is time to use intelligence..., when it comes to ideological matters the latter suffice..., Sadly hawa watu hawapo kumaliza vita bali biashara za weaponry
 
1. Bado hawajawahi au kuonja kufanyiwa yale mauaji ya kumalizwa(Kujimaliza) kama ile sadaka ya Mwamposa ya kujimaliza.
2. Ni ukweli 100% usiopingika kwamba wote hao akina Hamas, Trump na Netanyahu watapita na wataiacha Palestina.
Swali la kujihoji hapo ni kwamba Je; baada ya hao wote kupita, Palestina itabaki ikiwa katika hali gani? e.g. Jangwa, magofu, hofu kuu nchi isiyo kalika tena au bonde la umauti; au Palestina itabaki nchi yenye utulivu na amani; nchi ya asali na maziwa?
Hivyo hivyo swali la kujiuliza jee kwa kendeleza ajenda ya vita Israel itabaki salama na yenye uchumi na maisha ya utulivu au itakuwa ni vurugu tu kama la Sudan.
 
Dunia mbna inapelekwa kasi IV
Ndio inaelekea mwisho hivyo.
Ni vurugu tu sasa.Hatuelewi nani anasimamia demokrasia, amani au utawala bora.Kila mtu ni shetani tu
 
Wakati huku US na allies wake wa NATO wanatofautiana mambo kadhaa, waarabu wanaonekana wanataka kuungana na kuna shinikizo kubwa kwenye nchi zao za kuwa support Palestinians.
I can’t imagine mwisho utakuwaje hqpo middle east, mawe yataongea.
 
Wakati huku US na allies wake wa NATO wanatofautiana mambo kadhaa, waarabu wanaonekana wanataka kuungana na kuna shinikizo kubwa kwenye nchi zao za kuwa support Palestinians.
I can’t imagine mwisho utakuwaje hqpo middle east, mawe yataongea.
Hapana. Linapokuja swala la myahudi, mataifa ya ulaya na USA huwa hawapepesi macho. Viongozi wa warabu wameungana kinafki ati kuijenga Gaza. Wakati inabomolewa mbona walikaa kimya? Nakuhakikishi kwamba kama Israeli akiamua tena kuanza shambua Gaza hutawaona hao waarabu wakifanya chochote. Watu wanalinda maslahi yao.
 
Trump must be Crazy 🤣🤣,kila siku drama.Chizi Huwa hatulii always pakutulia anakurupuka pakukurupuka anakurupuka tu.
 
Watu wa Gaza hawakitafuti kifo lakini hawakiogopi, wanaamini wakiuawa wanakufa Shahidi, wanaenda peponi.
Hiyo imani pekee ni kikwazo cha maadui zao, maana Gazans hawaamini ktk kupoteza kabisa.
kama watu wagaza hawaogopi kifo mbona wakishambuliwa wanalia vile huku na nyie mkiwasaidia kulia ndugu zetu waislamu wagaza wanauawa hawana chakula waarabu mko wapi?
 
Back
Top Bottom