Sijala ndugu yangu, unataka kunifadhili? 😀 😀Wala sio shida ni mtazamo wako na unaheshimiwa! Umekula lakini?
Chambusiso, nakusubiri unirushie msosi.Wala sio shida ni mtazamo wako na unaheshimiwa! Umekula lakini?
No nataka kujua tu, mtu akitoka kwnye hoja akaanza kuattack mtoa hoja mara nyingi source ni low glucose ndani ya brain na sio ugonjwa ni kupata juice ya chungwa tu!Sijala ndugu yangu, unataka kunifadhili? 😀 😀
Basi nifadhili hata hiyo juice 😀 😀No nataka kujua tu, mtu akitoka kwnye hoja akaanza kuattack mtoa hoja mara nyingi source ni low glucose ndani ya brain na sio ugonjwa ni kupata juice na chungwa tu!
Nipe namba ya mpesa mkuu kiroho safi tu, hatuna ugomvi kakaBasi nifadhili hata hiyo juice 😀 😀
Mkuu, unataka kunigeuza Ali Kibao? 😀 😀Nipe namba ya mpesa mkuu kiroho safi tu, hatuna ugomvi kaka
Hatuaminiani tena kwa sababu ya brics? Wabongo ndugu sisi bana tunatofautiana hoja tu na maisha yanaendelea tukikwama tunakwamuana na kina Putin na interest zao hazitufanyi tukachukiana, tunabadilisha mitazamo na tunaendelea na maisha yetu wala hawatusaidii sana hadi tugombane kakaMkuu, unataka kunigeuza Ali Kibao? 😀 😀
Pamoja sana bwana mdogo. Sema uko canada, US au Australia tuwasialiane,.Hatuaminiani tena kwa sababu ya brics? Wabongo ndugu sisi bana tunatofautiana hoja tu na maisha yanaendelea tukikwama tunakwamuana na kina Putin na interest zao hazitufanyi tukachukiana, tunabadilisha mitazamo na tunaendelea na maisha yetu wala hawatusaidii sana hadi tugombane kaka
Hahahaha USPamoja sana bwana mdogo. Sema uko canada, US au Australia tuwasialiane,.
State ipi ndugu yanguHahahaha US
COState ipi ndugu yangu
Sisi tunapigika hapa Singida Tanzania.
Hahah homeboy kumbe twende pmSisi tunapigika hapa Singida Tanzania.
You"ll have to rescue your sinking brothers.Hahah homeboy kumbe twende pm
Wananunua F-35Brazil too was under fomer president, Argentina under zionist president wame jitoa.
Kifupi india ni wapuzi, ila watajifunza ze hardway muda ukifika.
Nasubiri nione watanunua 57 au 35 ?
Tatizo umelishwa sana propaganda za chuki kuhusu Trump na liberal medias na zimekukaa haswa.Mkuu unamjua Trump ? Trump alishinda uchaguzi mara ya kwanza sio kwamba watu wanaona ni clean bali ni kwamba walichoka na status quo, pamoja na yeye kumchafua Hilary kwamba ni mwizi mwizi
Hayo yote niliyosema they are well known facts...., kuhusu kudanganya utajiri wake, kipindi kabla ya Urais kuwa na madeni ya kutosha, kutumia jina lake kama Brand hata kwa vitu ambavyo sio vyake.., utapeli kama Trump University, kusafisha pesa kwenye property zake na Russians (money laundry) In short kuwa kwake President has been the biggest business he will ever do, ni kama mtoto unamkabidhi duka la pipi....; Na kuhusu anachosema ni mtu wa kubwawaja na watu wameshamzoea hivyo kuchukua anachosema with a pinch of salt, ndio maana hawashangai tena (sababu washakuwa chronic)
Kama wewe uko Colorado, mimi kaka yako napambana kulipa bill za maji huku, si sahihi.Hahah homeboy kumbe twende pm
Eri
Eti habari za yanga ukamsikilize msemaji wa simba