Aibu sana aisee,ooh we've the biggest&baddest army in the world lkn leo wavaa makobazi wamewakimbiza mpk mmefyata mkia hahah.Tatizo ni kwamba vita haina draw
Halafu hata makampuni ya kubetisha hawawezi kukubali kupata hasara kipumbavu hivi
Hata hawa unaowaona wanaishabikia IRAN hawatabeti kwa kumpa IRAN watamkana kwa kuangalia maslahi yao kwasababu ukweli wanaujua ila hapa wanachangamsha genge tu
Watu walidhani 'umepotea au potezwa' kumbe upo?Trump, vipi tena unasema hamna hasara zozote halafu hapo hapo unataka vikwazo viongezwe amekufanyia kibaya kipi hahahaah
Niko pamoja na wewe mkuuFrank Wanjiru wajina wangu! Hivi Marekani asingekuwa na wanajeshi hapo Pentagon ingetoa tamko la kukiri kuwa kambi yao imeshambuliwa? Marekani anaona aibu kuitangazia dunia kuwa wanajeshi wake wakufa anaishia kutuletea propaganda! Hvo vyombo vyote vya habar unavyoviweka kama sorce yako ni pro magharibi na wanawekea mipaka kutoa ripoti kama hzo!
1945 Uingereza meli yake moja yakijeshi ilizamishwa na serikali ya UK iliitaka BBC kutoitoa report hyo mpk wapate kibari cha serikali, unajua tukio hlo lilikuja kujulikana lini? Baada ya miaka takribani 10 kupita ndiyo UK ilitoa hyo habari.
Jamaa yako vita kaikacha sasa kaamia kwenye michambo mara ooh lazima nilipize kisasiAibu sana aisee,ooh we've the biggest&baddest army in the world lkn leo wavaa makobazi wamewakimbiza mpk mmefyata mkia hahah.
dodge
Ndugu usifanye mchezo na kifo,Trump naye binadamu jamani wala hana moyo wa chuma.balistic missile za Muajemi zina uwezo wa kufika mpaka white house alipo yeye Trump.sasa kwa nini aweke maisha yake bondi ?
Una cream tako boya wewe. We endekeza ujuaji na shobo kwa usio wajua utafanyiwa michezo ya ajabu halafu ukashtaki dawati la jinsia umenyanyaswa kingono.
Jamaa yako vita kaikacha sasa kaamia kwenye michambo mara ooh lazima nilipize kisasi
watu wakamuunga mkono kua sawa lipiza huku marekani naye akawa mpambe wake jamaa akaona wee usintanie nani aende kulipiza kisasi kisa kasimu mganga?
ikabidi sasa awape task hawa wapambe waliokua wanamjaza upepo ili kujua kua kweli wanamuunga mkono.
Akatoa agizo kua atayeweza kuleta kichwa cha trump atapewa dollar milion 80 wapambe ndio ikawa kama wamefukuzwa kiana hata kutia mguu iran ikawa ndio mwisho
Saizi wapambe wa iran wameamia mtandaoni kumsapoti baada ya kuona jamaa anataka a risk maisha yao kwa milion 80$
Wajanja washastukia mchezo wamebaki wanasema kimya kimya tu hujiulizi kwanini jamaa kaamua kutoa taarifa za uongo na off target zake?
Barcelona anacheza na Namungo Eti kwasababu humpendi messi basi unaamua kuishabikia namungo kwa kudhani ukifanya hivyo utawaepushia namungo kipigo
nakuona unavyo weweseka baada ya mawigi kuufyata.AiseeeeView attachment 1316450View attachment 1316451
Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
Bora wewe hata kitimoto kinapanda mwenzako hali taiti huko naskia hata maji anaomba alainishiweHahah maneno meengi wkt dunia nzima imeshahudia kilichofanyika.
Iran baba lao aisee,US kafyata mkia.No more tweeting
Kwa ushindi huu niko nakula kitimoto na beer kama 4 hivu huku uswahilini kwetu.,kujipongeza kwa ushindi huu.
dodge
Trump atapayuka payuka vitisho tu