Akili 7
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 731
- 1,424
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini kama ni US anasema haya mkwara wa juzi hakuwa anayajua haya.
Vyovyote iwavyo ila Iran kidume bwana sasa hapa Saudia na wengine wajifikirie mara mbili kumchezea maana kama bwana wao kaufyata wao wataweza.
Ebu kama kuna mtu anirushie kale ka wimbo ka baba lao ka diamond
Waoga? Kapiga military base baada ya mikwara yote ya Trump na kasema kuwa ni yeye bado unamuita muoga? Dah kwa kujipa moyo... US anajiepusha kuingia vitani ashajua kuwa Iran yuko tayari na si ajabu anajua kuwa kuna sababu inayompa kiburi Iran siyo kawaida sasa hapa anafanya damage control ya kuikimbia vita eti angeua hata askari mmoja?
US this time kapatikana allikuwa kazoea washika waaarab makalio sasa kakutana na Muajemi
Nilimsikia akisema ukijubu chochote kama kulipa kisasi,utakiona cha mtema maji na siyo kuniEeh naskia naye kavuka mwaka
Kwani hujamskia akisema kua kalipua kambi ya marekani na kudhuru watu?
After Ayatollah, Rouhani, then Soleiman in ranking of what was the Iran powerful men. Qassem kauwawa, unalipiza Kwa kupiga base walizo Hama, tena Kwa kuwapa Notice kua ntapiga hapa. That was face cover-up ili Iranians na dunia wajue kalipiza lakini alijua anachokifanya.
Something ambacho labda hukijui
Qassem Soleiman anlikua anaaminiwa Sana na Ayatollah na alikua popular Iran yote kiasi kwamba angekuja kumpindua unpopular president Rouhani. Kama unabisha angalia watu walivo uana kwenye mazishi yake. Qassem alikua anapewa misheni ambazo inabidi afe toka muda. Iran kumuua Qassem ingeleta non-stop protesters even hata ku asi government. Sasa kauawa Iraqi, Iran ana retaliate Kwa kupiga base ambazo Kwanza alitoa notice, harafu anajua wanajeshi hawapo,. serious???
Ilibidi Qassem afe na non-Iran involvement attack , ili kuzima protestation iliyopo na kumsingizia USA Kwa kuua kipenzi cha Iranians.
Sasa nani atamuua Soleiman....kuua kiongozi wa juu wa nchi ni assassination na maanayake unatangaza vita. Ili Qassem afe tufanyaje? Tumpe misheni za kuua wamarekani Middle east halafu USA inamuua kama Al-Baghdad
Hii ni win-win situation
USA wanajua wameua terror mkubwa wa muda mrefu, Yes
Iran wanajua tumesacrifice Powerful na popular person ambaye angetishia hata serikali. Yes.
Soleiman alikua anaaminiwa hata na jeshi..unazani kupindua Iran ingekua kazi ngumu kwake?
Ukiona General ni powerful and popular, Una sacrifice misheni ambazo hawezi kuachwa salama
Wangekua wanampenda Soleiman ilibidi awe retired official tayari maana kahudumu mission za middle East muda mrefu sana
Kama kichwa maji mission kama hizi huwezi kuelewa.
Ukiangalia wanaomponda Iran Ni chuki dhidi ya Taifa hiloKumbe hizo military base Marekani allikuwa kaziweka kama mapambo hazikuwa na wanajeshi wala na mitambo ya maana? Yes alikuwa muhimu kauawa na wakatishia wakijibu watakiona sasa vipi mzee hivi baada ya majibu Trump kasemaje vile?
Unadhani kadanganya au kasema ukweli? maana najua watanzania hudhani hapa kwetu ndo huficha ukweli, ila hao wazungu sio waongo. Sasa tuamini yako au ya Trump?
Puttin, Raisi wa Rusia atoa salamu za pole Kwa Raisi wa Iran. View attachment 1316358
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump ana shida kwake kabla ya Iran. Hali ya siasa kwa sasa sio nzuri....pia wakuu wa usalama hawakubaliani wote vita vya Moja kwa moja na Iran..Trump atapayuka payuka vitisho tu
Wamarekani wa manzese njooni muone baba yenu kaufyata mara hoo akidhubutu kurusha hata kokoto utakuwa mwisho wa wafuga ndevu na majini.
Hivi mnadhani vita ni lele mama eti?
Frenk wanjiru njoo utoe ufafa nuzi acha kujificha.
Trump kweli muoga wa kufa, yani balistic missile zimemfanya mpaka aogope vita
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo na jamaa akatishika na mkwara wa alinacha akamua apige off target?Nilimsikia akisema ukijubu chochote kama kulipa kisasi,utakiona cha mtema maji na siyo kuni
Sent using Jamii Forums mobile app