Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Naona wamarekani wa Buza sasa wanaanza kuelewa makali ya Muajemi..
Wamarekani wako overrated sana.. airdefence mbovu sana..

Kumbe dogo kiduku na ma-intercontinental yake angempiga marekani hadi akachakaa.
Marekani aliposoma mchezo akaona atakula kichapo ikabidi aombe peace..

Kuanzia leo tuelewane marekani ni mkwala tu hana lolote.. uwezo wake mkubwa ni kuchonganisha watu.. laki yeye kama yeye anapigwa asubuhi tu
 
Nimefurahi hakuna Vita
Siamini kama ni US anasema haya mkwara wa juzi hakuwa anayajua haya.
Vyovyote iwavyo ila Iran kidume bwana sasa hapa Saudia na wengine wajifikirie mara mbili kumchezea maana kama bwana wao kaufyata wao wataweza.
Ebu kama kuna mtu anirushie kale ka wimbo ka baba lao ka diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashia wale wana roho mbaya balaaa!!!!hawataki ujinga
Waoga? Kapiga military base baada ya mikwara yote ya Trump na kasema kuwa ni yeye bado unamuita muoga? Dah kwa kujipa moyo... US anajiepusha kuingia vitani ashajua kuwa Iran yuko tayari na si ajabu anajua kuwa kuna sababu inayompa kiburi Iran siyo kawaida sasa hapa anafanya damage control ya kuikimbia vita eti angeua hata askari mmoja?
US this time kapatikana allikuwa kazoea washika waaarab makalio sasa kakutana na Muajemi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amshukuru rais wa Iraq kwa kuwapa taarifa mapema baadae ya yeye kufahamishwa na Iran aondoe Askari wake iraq.wakakimbia kujifichaaa!hawana mfumo was kukinga makombora watakufa vinywa wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewaza nje ya box,
Mission completed!
After Ayatollah, Rouhani, then Soleiman in ranking of what was the Iran powerful men. Qassem kauwawa, unalipiza Kwa kupiga base walizo Hama, tena Kwa kuwapa Notice kua ntapiga hapa. That was face cover-up ili Iranians na dunia wajue kalipiza lakini alijua anachokifanya.

Something ambacho labda hukijui

Qassem Soleiman anlikua anaaminiwa Sana na Ayatollah na alikua popular Iran yote kiasi kwamba angekuja kumpindua unpopular president Rouhani. Kama unabisha angalia watu walivo uana kwenye mazishi yake. Qassem alikua anapewa misheni ambazo inabidi afe toka muda. Iran kumuua Qassem ingeleta non-stop protesters even hata ku asi government. Sasa kauawa Iraqi, Iran ana retaliate Kwa kupiga base ambazo Kwanza alitoa notice, harafu anajua wanajeshi hawapo,. serious???

Ilibidi Qassem afe na non-Iran involvement attack , ili kuzima protestation iliyopo na kumsingizia USA Kwa kuua kipenzi cha Iranians.


Sasa nani atamuua Soleiman....kuua kiongozi wa juu wa nchi ni assassination na maanayake unatangaza vita. Ili Qassem afe tufanyaje? Tumpe misheni za kuua wamarekani Middle east halafu USA inamuua kama Al-Baghdad

Hii ni win-win situation

USA wanajua wameua terror mkubwa wa muda mrefu, Yes


Iran wanajua tumesacrifice Powerful na popular person ambaye angetishia hata serikali. Yes.

Soleiman alikua anaaminiwa hata na jeshi..unazani kupindua Iran ingekua kazi ngumu kwake?

Ukiona General ni powerful and popular, Una sacrifice misheni ambazo hawezi kuachwa salama

Wangekua wanampenda Soleiman ilibidi awe retired official tayari maana kahudumu mission za middle East muda mrefu sana

Kama kichwa maji mission kama hizi huwezi kuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe hizo military base Marekani allikuwa kaziweka kama mapambo hazikuwa na wanajeshi wala na mitambo ya maana? Yes alikuwa muhimu kauawa na wakatishia wakijibu watakiona sasa vipi mzee hivi baada ya majibu Trump kasemaje vile?
Ukiangalia wanaomponda Iran Ni chuki dhidi ya Taifa hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu kwa mikwara yake aliyo kuwa akiipiga Iran kabla ya shambulizi la leo.
Siamini kama kaufyata aisee daa nimeamini vita sio lele mama.
 
Back
Top Bottom