Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Kura ni za watu hakuna kura za udini kwa sababu hatafutwi mufti mkuu ila anatafutwa rais ambaye ataongoza kwa mujibu wa katiba na hatafuata maandiko ya msaafu wowote.

Remember United States is a secular state just like Tanzania therefore the voting pattern is not based on the people's religious inclinations but party's policies.
Tanzania nako huo wimbo hakuna udini upo na papo hapo udini mara nyingi unatumika kuamua uchaguzi.
Kwa mfano huo na Marekani pia athari za dini zinatumika kuamua raisi.
Kuna muislamu mmoja anazungumza kama chiriku mfano wa Obama anaitwa Louis Farakhan.Huyu akisimama kutaka uraisi basi kwanza atawekwa pembeni kwa dini yake.
 
Madrasa sehemu muhimu sana kijana ila hujui tuuu

Karibu nikupige somo kijana uwe muislam kwanza
Takwimu za mwanzo ziliwekwa na swahaba Omar bin Khattab ra na hata namba zinazotumika kufanyia takwimo zote zimetokana na waislamu.Hakuna mzungu hata mmoja aliyehusika.Wazungu na wakristo wameanza kuzisoma baada ya papa kwenda madrasa kule Morocco.
 
Sijui nianze kukujibu wapi kuelekea wapi kijana ila acha nianze juu kwenda chini

Huenda wewe ndio ukawa huelewi kitu chochote wao wanathibitisha kama nani?

Kwamba watu 400+ ndio wanaweza ama wana haki ya kuthibitisha maamuzi ya watu zaidi ya 300M+ wao kama nani kuwazidi hao wengine Million walopiga kura?

Hilo linaonesha wazi kama kura za marekani sio zakidemokrasia kama watu 400+ wanaweza kuthibitisha urais wa mtu maana yake wanaangalia vigezo vyao ila sio wingi wa watu kama wanavyohubiri kua demokrasia ni nguvu ya umma nandio maana Hillary alishinda kura za wananchi kidemokrasia ila akashindwa kuwa rahisi kutokana na kura za kupanga za watu 400+

Mie mbona hakuna sehemu nimeongelea kuhusiana na marekani na kua super power mzee au umechanganya mambo nisome tena vyema hemu kufa kwa nchi sio lazima isiwe super power ila inaweza ikaporomoka kwenye angle nyingi kisiasa kiuchumi kijeshi kimoja wapo ila ikiporomoka kwa vyote ndio inakua imekufa

Kama uingereza ile ndio imekufa kabisa kila angle Americant haijafika huko ila itafika nanatamani iwe chini ya kamala kama atashinda kura zao zamchongoma

Nilichomwambia mleta koment nikwamba alete takwimu za uchumi wa russia na marekani tuone upi unaofanya vyema au msaidie wewe kuleta takwimu tuone maana yeye kachemka sababu aliuongelea uchumi wa russia kana kwamba unaporomoka

Mwisho Americant hakuna demokrasia hata kama mtataka muwatetee kwakiasi gani
Nafikiri wewe una matatizo mawili yanayokusumbua:-

1. Ujinga (Ignorance): kwamba hujui mfumo wa uchaguzi wa Marekani ulivyo.

2. Udini: kwamba ile kasumba ya kusujudia utamaduni wa kiarabu unakufanya uwe na msimamo huo ulionao kwa Marekani.

Lakini ukweli unabakia palepale kwamba hakuna uchaguzi duniani unaoheshimika kama uchaguzi wa Marekani na ndio tukio la pili linalotizamwa na watu wengi duniani baada ya kombe la dunia la kabumbu na hilo halina ubishi.

Huu mfumo wa uchaguzi tayari umeshadumu kwa zaidi ya karne mbili na uliwekwa ili rais aonekane kukubalika na watu wengi ktk kila jimbo na ndio maana mgombea anayeshinda kwa kupata kura nyingi katika jimbo basi huchukua Electoral College Votes zote za jimbo husika.

Kama utakuwa hujaelewa basi ni kwa sababu hizo hizo nilizo zitaja hapo juu 🖕
 
Madrasa sehemu muhimu sana kijana ila hujui tuuu

Karibu nikupige somo kijana uwe muislam kwanza
Mimi siwezi kufuata utamaduni wa kiarabu kwa kisingizio cha dini ngoja wajinga mfuate.
 
Takwimu za mwanzo ziliwekwa na swahaba Omar bin Khattab ra na hata namba zinazotumika kufanyia takwimo zote zimetokana na waislamu.Hakuna mzungu hata mmoja aliyehusika.Wazungu na wakristo wameanza kuzisoma baada ya papa kwenda madrasa kule Morocco.
Kitu ambacho hujui ni kwamba hizo tarakimu zilikuja wakati hakuna aliyejua kama huo uislam utakuja kuwepo.
 
Tanzania nako huo wimbo hakuna udini upo na papo hapo udini mara nyingi unatumika kuamua uchaguzi.
Kwa mfano huo na Marekani pia athari za dini zinatumika kuamua raisi.
Kuna muislamu mmoja anazungumza kama chiriku mfano wa Obama anaitwa Louis Farakhan.Huyu akisimama kutaka uraisi basi kwanza atawekwa pembeni kwa dini yake.
Lazima ufahamu kwamba Marekani ili uwe rais lazima ukubali kuitetea taifa la Israel na nje ya hapo wala usihangaike utakuwa unafukuza upepo tu.
 
Nyie watu ni wajinga kweli!

Na hata hamuelewi electoral college ni kitu gani na electors wanapatikanaje.

Kwa ufupi, ingawa sidhani kama una uwezo wa kiakili wa kuelewa, ni kwamba, mgombea anayeshinda popular vote ya jimbo, hao electors wa jimbo wanakuwa wa kwake pia.

Mfumo uko hivyo nchi nzima ukiacha baadhi ya congressional districts katika majimbo ya Nebraska na Maine.

Mgombea hawezi kupata hao electors bila ya kushinda popular vote ya jimbo.

Na hao electors wakikutana ni lazima waakisi matokeo ya kura ya majimbo wanayoyawakilisha.

Najua hii ni rocket science kwa wengi wenu. Hivyo sitarajii uelewe hiki nilichokiandika.

Nevertheless, it’s worth a try.
Kwa hiyo trump aliposhinda uraisi alikuwa na popular vote nyingi kushinda Hillary Clinton?

Halafu punguza ujuaji wewe humiliki taarifa. Kichaa mkubwa ww
 
Kwa hiyo trump aliposhinda uraisi alikuwa na popular vote nyingi kushinda Hillary Clinton?

Halafu punguza ujuaji wewe humiliki taarifa. Kichaa mkubwa ww
Kuna tofauti kati ya national popular vote na state popular vote.

State popular vote ndo inayo determine mshindi wa hizo electoral college votes za state.

Kila state ina idadi tofauti ya electoral votes.

Naona hujui kabisa unachokiongelea hapa. Ndo maana umeshupaza shingo.
 
Sa
Kuna tofauti kati ya national popular vote na state popular vote.

State popular vote ndo inayo determine mshindi wa hizo electoral college votes za state.

Kila state ina idadi tofauti ya electoral votes.

Naona hujui kabisa unachokiongelea hapa. Ndo maana umeshupaza shingo.
Sasa shida IPO kwako, kama nilivyoandika mara ya kwanza popular vote haziamui nani awe raisi wa marekani,

Kama unabisha ingia wikipedia ujionee takwimu.

Acha kudhani kuwa wewe unahodhi taarifa.
 
Sa

Sasa shida IPO kwako, kama nilivyoandika mara ya kwanza popular vote haziamui nani awe raisi wa marekani,

Kama unabisha ingia wikipedia ujionee takwimu.

Acha kudhani kuwa wewe unahodhi taarifa.
Nimekwambia kuna tofauti ya national popular vote na state popular vote.

State popular vote ndo ina determine kiasi cha electoral college votes ambazo mgombea anapata.

Wewe hujui kabisa unachokiongelea.

National popular vote haiamui mshindi wa urais Marekani.
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Chambuzi mahiri toka pande za Ikwriri akichambua siasa za marekani na uchumi wa marekani
 
Back
Top Bottom