Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Mkuu hongereni kwa mjadala huu, nimekuwa msomaji wa baadhi ya threads na mara kadhaa kwenye issue za siasa huwa naona upo active.

Nina swali ila linaweza kuwa nje ya discussion (hayo mengine sipo interested sana hususani watu kuchagua sides, napenda tu kupitia pitia)

Hivi ni kwanini unawachukia sana US? Ni mara kadhaa nimeona unawapiga vita sana na kuonyesha hasira kwa mtu yeyote ambaye anazungumzia ishu yoyote chanya kuhusu US as compared to Russia?

Reason behind ni ipi?

Hii sio personal mkuu, natamani kujua huenda kuna kitu nitajifunza
Naomba nikujibu sasa walau kwauchache kiongozi

Kama nlivyokuelezea pale juu palipopita

Sio kwamba naichukia sana Us nakuipenda sana Russia

Ila naamua kusema ukweli siungi mkono kwa 100%✓ anayofanya Russia sehemu mbali mbali ila siungi mkono kwa 90%✓ yanayofanywa na west wakiongozwa na marekani

Marekani ni mzandiki mnafiq muongo na muharibifu mfano marekani kaharibu sehemu mbali mbali duniani kwakuzivamia akiongozana na shoga zake wa west (namlaumu marekani zaidi sababu sehemu zilizoharibiwa na nato na jamaa zake marekani angekua hataki pasingeharibiwa/ka) ila paliharibika kwabaraka zake

Unafiq marekani anakuja huku anatwambia demokrasia ndio anayoipigania akaenda akavamia libya akaua watu huku yeye ndio anakumbatia madikteta ambao hawana demokrasia tukianzia cameroon tukija mido ist kote marekani kakumbatia madikteta maadam tu wanaunga mkono maslahi yake

Ushenzi marekani kupitia yeye na mashoga zake wanaunga mkono tabia mbaya na zakishenzi mfano kuua watu kupitia vikwazo mfano venezuela na cuba watu wanakufa na kukimbia nchi zao shauri za vikwazo vya kishenzi na kinyonyaji vya marekani sababu tu hawaungani nae kwenye mambo yake bila kusahau zimbabwe

Hila na uzandiki marekani alitaka kuingia vitani na USSR sababu tu walitaka kupeleka makombora ya nyuklia pale cuba ila wakati huo huo yeye anaona sawa kuizunguka russia nakueka aloyakataa yeye kufanyika cuba (sioni sawa russia kuua watu ukraine ila naunga mkono sababu madai aloyapinga marekani cuba ndio anayoyafanya russia ukraine ila ukweli nikwamba Russia anaionea na kuua watu ukraine vita ya russia kwa Ukraine sio halali )

Kwauchache nihaya ingawa yapo mengi sana ila ukweli siungi mkono mambo mengi ya marekani sababu ya ushenzi na ubaya wao kiukweli marekani kwa dunia hii wana mabaya mengi kuliko mazuri nanimejitahidi kutaja madhila na madhara walopeleka kwenye nataifa mengi nimeyataja ya majority ya kikristo ili uzi wangu suije fungamanishwa na dini maana watu hawachelewi hapa jukwaani

Ahsante MKUU
 
Kamala huenda historia ikaja kumuandika kama ndie rahisi alofiwa na Americant mikononimwe

Ila usilolijua ama umelisahau nikwamba kura za marekani hazichaguliwi na raia wamarekani kama ulivyoandika hapo

Wamarekani zaidi ya 200M+ sijui 300M+ wanachaguliwa ama wanateuliwa rais wao na kakikundi chawatu tu hawazidi hata mia nne(400) sijui mia tano (500)

Moja ya nchi inayotakiwa kufunzwa kuhisiana na demokrasia basi mareIkani inatakiwa iende ikajifunze demokrasia hata kwa Zimbabwe au Venezuela
Wananchi ndo wanaochagua ila tu sema wewe huelewi utaratibu wa electoral votes zinavyokuwa. Nenda kasome zaidi au uliza ili ujifunze. Labda unachopaswa kuelewa ni kwamba rais wa marekani atapatikana Kwa kura zitakazopigwa na wananchi tarehe 5 November. Hao watu 400 au 500 watakuja kukutana baadae Kwa ajili ya kwenda kumthibitisha Rais aliyeshinda majimbo mengi tarehe 05 Nov. na wajumbe hao wanatoka majimbo hayohayo yaliyompitisha mshindi wa tarehe 05 Nov na pia Huwa hawaendi kubadilisha maamzi ya wananchi. Labda ututajie kwenye historia ya Marekani ni lini hao wajumbe waliwahi kubadilisha maamzi ya wengi. Ingekuwa wanaoamua nani awe rais wa marekani ni hao watu 400 basi wagombea wasingepiga kampeni kuomba kura Kwa mamilioni ya wamarekani wangepiga kampeni kuomba kura Kwa hao watu 400
 
Nandio ukweli uislamu ndio umeifunza dunia ustraarabu na majambo mengi sana sana sanaaa
Waislamu washamba wa kule mashariki ya kati ndio hawajitambui na wanatoa nafasi ya kutawaliwa kielimu kumbe dini yao ndio muasisi wa sayansi,elimu ya tiba,elimu ya anga na biashara.Na kwa ujumla kila nyanja ya elimu.
Uiengereza walijifunza benki kutoka Uturuki wakati wa Ottoman Empire na sasa tuna mabenki kote dunia na bila benki biashara hazina afya.
 
Nafikiri wewe una matatizo mawili yanayokusumbua:-

1. Ujinga (Ignorance): kwamba hujui mfumo wa uchaguzi wa Marekani ulivyo.

2. Udini: kwamba ile kasumba ya kusujudia utamaduni wa kiarabu unakufanya uwe na msimamo huo ulionao kwa Marekani.

Lakini ukweli unabakia palepale kwamba hakuna uchaguzi duniani unaoheshimika kama uchaguzi wa Marekani na ndio tukio la pili linalotizamwa na watu wengi duniani baada ya kombe la dunia la kabumbu na hilo halina ubishi.

Huu mfumo wa uchaguzi tayari umeshadumu kwa zaidi ya karne mbili na uliwekwa ili rais aonekane kukubalika na watu wengi ktk kila jimbo na ndio maana mgombea anayeshinda kwa kupata kura nyingi katika jimbo basi huchukua Electoral College Votes zote za jimbo husika.

Kama utakuwa hujaelewa basi ni kwa sababu hizo hizo nilizo zitaja hapo juu 🖕
Nakinyume chake pia kina ukweli ila wewe unasumbuliwa na majambo mawili pia

1.kwanza unasumbuliwa na ujinga
2.unasumbuliwa na udini
Nafikiri wewe una matatizo mawili yanayokusumbua:-

1. Ujinga (Ignorance): kwamba hujui mfumo wa uchaguzi wa Marekani ulivyo.

2. Udini: kwamba ile kasumba ya kusujudia utamaduni wa kiarabu unakufanya uwe na msimamo huo ulionao kwa Marekani.

Lakini ukweli unabakia palepale kwamba hakuna uchaguzi duniani unaoheshimika kama uchaguzi wa Marekani na ndio tukio la pili linalotizamwa na watu wengi duniani baada ya kombe la dunia la kabumbu na hilo halina ubishi.

Huu mfumo wa uchaguzi tayari umeshadumu kwa zaidi ya karne mbili na uliwekwa ili rais aonekane kukubalika na watu wengi ktk kila jimbo na ndio maana mgombea anayeshinda kwa kupata kura nyingi katika jimbo basi huchukua Electoral College Votes zote za jimbo husika.

Kama utakuwa hujaelewa basi ni kwa sababu hizo hizo nilizo zitaja hapo juu 🖕
Wewe sasa huenda ukawa unasumbuliwa namajambo mawili bila kujua

1.ujinga ulopitiliza ambao sidhanii kama utaweza udhibiti
2.udini ambao nao unakuthiri mpaka hujui unasema nini

Ujinga kwasababu kama electoral wanafanyi kazi kama eti unavyodai ilikua na haja gani yakuwepo wakati matokeo yanakua yashapatikanwa ama kujulikana tayari ila hujawahi jiuliza hili sababu ya ujinga ulokupitiliza

2 Udini umekulemaza sababu hata mtu akikwambia huna akili utasema katumwa na dini wakati kakupa ukweli hata kama mchungu ila ndio ukweli

Ukibisha una matatizo mawili makubwa hayo hapo juu likiongozwa na hilo namba moj☝️
 
Mimi siwezi kufuata utamaduni wa kiarabu kwa kisingizio cha dini ngoja wajinga mfuate.
Nikikwambia kama wewe miongoni mwa hao wajinga unabisha

Nyie msiokua waislamu sasa ndio mnaofuata tamaduni za kijinga zajiarabu

Sababu utamaduni wakiarabu unajuulikanwa tokea enzi na zama kua unaabudia na kufuata ujinga mnaofata nyie wakuabudia masanamu na mambo mengine maovu

Uislamu ndio ulikuja kuwafunza waarabu dini na sio kinyume chake kama mnavyomezeshwa huko kanisani

Nikikwambia kua una ujinga na hujui mambo uwe unaelewa
 
Na baada ya huyu mwanamke Raisi ajaye atakuwa shoga
Nandio ukweli wenyewe halaf wajinga wataona sawa

Kama nyadhifa kubwa tu kama yamsemaji wa ikulu wanampa mtu msagaji wanashindwa kufanya nini hawa majamaa

Majamaa yana laana mpaka yamepitiliza
 
Wananchi ndo wanaochagua ila tu sema wewe huelewi utaratibu wa electoral votes zinavyokuwa. Nenda kasome zaidi au uliza ili ujifunze. Labda unachopaswa kuelewa ni kwamba rais wa marekani atapatikana Kwa kura zitakazopigwa na wananchi tarehe 5 November. Hao watu 400 au 500 watakuja kukutana baadae Kwa ajili ya kwenda kumthibitisha Rais aliyeshinda majimbo mengi tarehe 05 Nov. na wajumbe hao wanatoka majimbo hayohayo yaliyompitisha mshindi wa tarehe 05 Nov na pia Huwa hawaendi kubadilisha maamzi ya wananchi. Labda ututajie kwenye historia ya Marekani ni lini hao wajumbe waliwahi kubadilisha maamzi ya wengi. Ingekuwa wanaoamua nani awe rais wa marekani ni hao watu 400 basi wagombea wasingepiga kampeni kuomba kura Kwa mamilioni ya wamarekani wangepiga kampeni kuomba kura Kwa hao watu 400
Wananchi ndo wanaochagua ila tu sema wewe huelewi utaratibu wa electoral votes zinavyokuwa. Nenda kasome zaidi au uliza ili ujifunze. Labda unachopaswa kuelewa ni kwamba rais wa marekani atapatikana Kwa kura zitakazopigwa na wananchi tarehe 5 November. Hao watu 400 au 500 watakuja kukutana baadae Kwa ajili ya kwenda kumthibitisha Rais aliyeshinda majimbo mengi tarehe 05 Nov. na wajumbe hao wanatoka majimbo hayohayo yaliyompitisha mshindi wa tarehe 05 Nov na pia Huwa hawaendi kubadilisha maamzi ya wananchi. Labda ututajie kwenye historia ya Marekani ni lini hao wajumbe waliwahi kubadilisha maamzi ya wengi. Ingekuwa wanaoamua nani awe rais wa marekani ni hao watu 400 basi wagombea wasingepiga kampeni kuomba kura Kwa mamilioni ya wamarekani wangepiga kampeni kuomba kura Kwa hao watu 400
Wewe sasa ndio huenda ukawa huelewi maana ya demokrasia labda au huelewi majambo yanavyoenda hapo marekani

Mshindi anachaguliwa kwa vigezo gani kama vigezo vya wingi kama mnavyodai tunaomba matokeo ya kura za trump na klinton utwambie yupi alipata kura nyingi kuliko mwenzake na nani akaishia kua rahisi wa hapo

Marekani uwingi wakura wala sio kigezo kama munavyodai nandio maana trump akawa rahisi

Electrol wanathibitishaje kura wanathibitisha kura kama nani wakati wananchi walimchagua Hillary kwa wingi wa kura ila ikulu akaingia DT

Huenda ikawa hujui matokeo ya DT yaliopita akiwa anachuana na hillary kama yapo yalete tafadhali halaf tuone nani anadanganya

Mwisho kura za wananchi marekani sii chochote sii lolote!!!!!
 
Waislamu washamba wa kule mashariki ya kati ndio hawajitambui na wanatoa nafasi ya kutawaliwa kielimu kumbe dini yao ndio muasisi wa sayansi,elimu ya tiba,elimu ya anga na biashara.Na kwa ujumla kila nyanja ya elimu.
Uiengereza walijifunza benki kutoka Uturuki wakati wa Ottoman Empire na sasa tuna mabenki kote dunia na bila benki biashara hazina afya.
Waislam wa mashariki yakati wanaangushwa na viongozi wao wachumia tumbo

Laa sivyo wangekua mbali hasa ila wao wameshikilia madaraka tuu nakuacha majambo ya kimsingi yakuyashikilia
 
Nashukuru mkuu ila utanisamehe asee muda huu ndio nimeona reply yako jf wamekua na system ya kijinga kuhusiana na reply

Ila sio kwamba nawachukia saana US nakuwapenda saana RUSSIA hapana hata kidogo

US siipendi sababu kuu kwakua nimeona reply nikitulia ntakujibu kiongozi kuna kajambo hapa namalizia
Haina shaka kiongozi
 
Naomba nikujibu sasa walau kwauchache kiongozi

Kama nlivyokuelezea pale juu palipopita

Sio kwamba naichukia sana Us nakuipenda sana Russia

Ila naamua kusema ukweli siungi mkono kwa 100%✓ anayofanya Russia sehemu mbali mbali ila siungi mkono kwa 90%✓ yanayofanywa na west wakiongozwa na marekani

Marekani ni mzandiki mnafiq muongo na muharibifu mfano marekani kaharibu sehemu mbali mbali duniani kwakuzivamia akiongozana na shoga zake wa west (namlaumu marekani zaidi sababu sehemu zilizoharibiwa na nato na jamaa zake marekani angekua hataki pasingeharibiwa/ka) ila paliharibika kwabaraka zake

Unafiq marekani anakuja huku anatwambia demokrasia ndio anayoipigania akaenda akavamia libya akaua watu huku yeye ndio anakumbatia madikteta ambao hawana demokrasia tukianzia cameroon tukija mido ist kote marekani kakumbatia madikteta maadam tu wanaunga mkono maslahi yake

Ushenzi marekani kupitia yeye na mashoga zake wanaunga mkono tabia mbaya na zakishenzi mfano kuua watu kupitia vikwazo mfano venezuela na cuba watu wanakufa na kukimbia nchi zao shauri za vikwazo vya kishenzi na kinyonyaji vya marekani sababu tu hawaungani nae kwenye mambo yake bila kusahau zimbabwe

Hila na uzandiki marekani alitaka kuingia vitani na USSR sababu tu walitaka kupeleka makombora ya nyuklia pale cuba ila wakati huo huo yeye anaona sawa kuizunguka russia nakueka aloyakataa yeye kufanyika cuba (sioni sawa russia kuua watu ukraine ila naunga mkono sababu madai aloyapinga marekani cuba ndio anayoyafanya russia ukraine ila ukweli nikwamba Russia anaionea na kuua watu ukraine vita ya russia kwa Ukraine sio halali )

Kwauchache nihaya ingawa yapo mengi sana ila ukweli siungi mkono mambo mengi ya marekani sababu ya ushenzi na ubaya wao kiukweli marekani kwa dunia hii wana mabaya mengi kuliko mazuri nanimejitahidi kutaja madhila na madhara walopeleka kwenye nataifa mengi nimeyataja ya majority ya kikristo ili uzi wangu suije fungamanishwa na dini maana watu hawachelewi hapa jukwaani

Ahsante MKUU
Asante sana kwa majibu yako mazuri kabisa, umenijibu swali ambalo lilikuwa kichwani kwangu kwa muda sana tangu nianze kuona ukichangia hii mijadala hususani ya Geo-politics 👏

Nje na hilo, unahisi ulimwengu unatakiwa kufanya nini ili kukwepa hicho kikombe cha USA hususani kwenye zile conspiracy theory zao za kuteketeza ULIMWENGU under NEW WORLD ORDER (Refer kitabu cha Ralph Epperson) na kuuweka chini ya utawala wao kwa kutumia (DEPOPULATION strategy)?

Maana imefika hatua ni kama Dunia bado ipo kwenye mikono yao japo hao wakubwa Russia na China wamejitahidi na wanaendelea kupambana naye kuhakikisha wanajitoa kwenye mabawa yake. Moja ya strategy zao ni kujitoa kwenye financial systems na institutions zake kwa sababu who controls finance & financial institutions & systems is the one who controls the world! Na hapo ndipo wakaja na hiyo BRICS.

Hili ni nje na swali la kwanza mkuu, Lile nimekuelewa vizuri kabisa. Hapa nataka kupata maoni yako tu.

Heshima full Tank 🫡
 
Ach
Wananchi ndo wanaochagua ila tu sema wewe huelewi utaratibu wa electoral votes zinavyokuwa. Nenda kasome zaidi au uliza ili ujifunze. Labda unachopaswa kuelewa ni kwamba rais wa marekani atapatikana Kwa kura zitakazopigwa na wananchi tarehe 5 November. Hao watu 400 au 500 watakuja kukutana baadae Kwa ajili ya kwenda kumthibitisha Rais aliyeshinda majimbo mengi tarehe 05 Nov. na wajumbe hao wanatoka majimbo hayohayo yaliyompitisha mshindi wa tarehe 05 Nov na pia Huwa hawaendi kubadilisha maamzi ya wananchi. Labda ututajie kwenye historia ya Marekani ni lini hao wajumbe waliwahi kubadilisha maamzi ya wengi. Ingekuwa wanaoamua nani awe rais wa marekani ni hao watu 400 basi wagombea wasingepiga kampeni kuomba kura Kwa mamilioni ya wamarekani wangepiga kampeni kuomba kura Kwa hao watu 400
Acha ubishi na uvivu , ww mwenyewe kajifunze wikipedia kuhusu ni kura gani zilimpa urais Donald trump.
 
Soma post yangu namba #30 na yako namba #31 Kisha ujitafakari

Mimi sitaki kujua hao watu wachache wanaoamua nani awe raisi wa marekani
Nilitaka kumjuza Mtoa mada kuwa popular vote haziamui nani awe raisi wa marekani,
Trump alishinda uraisi kwa electoral votes dhidi Hillary Clinton.

Nilikutumia hii link sidhani kama umesoma manguli walichojadili

Punguza majivuno na kujiona unamiliki taarifa.
Nimekuuliza kuwa mgombea anazipataje hizo electoral college votes. Umeshindwa kujibu.

Umeshindwa kujibu kwa sababu hujui na huelewi unachokizungumzia.
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa duunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Hivi nauliza kama sio democratic wala Republic huwez piga kura
 
Nimekuuliza kuwa mgombea anazipataje hizo electoral college votes. Umeshindwa kujibu.

Umeshindwa kujibu kwa sababu hujui na huelewi unachokizungumzia.
Kwa hiyo wewe ni chanzo Cha taarifa kuliko BBC?

Je ww una akili kushinda BBC

Unafahamu ni kura zipi zilimpa uraisi trump dhidi ya Hillary Clinton?

Acha ujuaji na ubishi.
 
Kwa hiyo wewe ni chanzo Cha taarifa kuliko BBC?

Je ww una akili kushinda BBC

Unafahamu ni kura zipi zilimpa uraisi trump dhidi ya Hillary Clinton?

Acha ujuaji na ubishi.
Swali ni rahisi tu mbona!

2016 Trump alizipataje kura za electoral college huko PA?

Waliamua tu kumgaia kama peremende?

Unaweza kujibu moja kwa moja bila kuzunguka?
 
Sitaki kujua alizipataje ila najua kuwa alishinda kwa electoral votes na sio popular votes.
Swali ni rahisi tu mbona!

2016 Trump alizipataje kura za electoral college huko PA?

Waliamua tu kumgaia kama peremende?

Unaweza kujibu moja kwa moja bila kuzunguka?
 
Sitaki kujua alizipataje ila najua kuwa alishinda kwa electoral votes na sio popular votes.
🤣🤣

Kumbe hujui hata unachokiongelea!

Alishinda kwa electoral votes lakini hutaki kujua zinapatikanaje!

That’s explains your ignorance.
 
Back
Top Bottom