Tanzania nako huo wimbo hakuna udini upo na papo hapo udini mara nyingi unatumika kuamua uchaguzi.Kura ni za watu hakuna kura za udini kwa sababu hatafutwi mufti mkuu ila anatafutwa rais ambaye ataongoza kwa mujibu wa katiba na hatafuata maandiko ya msaafu wowote.
Remember United States is a secular state just like Tanzania therefore the voting pattern is not based on the people's religious inclinations but party's policies.
Madrasa sehemu muhimu sana kijana ila hujui tuuuMadrassat na takwimu za uchumi wapi na wapi..!!😛😛😛
Takwimu za mwanzo ziliwekwa na swahaba Omar bin Khattab ra na hata namba zinazotumika kufanyia takwimo zote zimetokana na waislamu.Hakuna mzungu hata mmoja aliyehusika.Wazungu na wakristo wameanza kuzisoma baada ya papa kwenda madrasa kule Morocco.Madrasa sehemu muhimu sana kijana ila hujui tuuu
Karibu nikupige somo kijana uwe muislam kwanza
Nafikiri wewe una matatizo mawili yanayokusumbua:-Sijui nianze kukujibu wapi kuelekea wapi kijana ila acha nianze juu kwenda chini
Huenda wewe ndio ukawa huelewi kitu chochote wao wanathibitisha kama nani?
Kwamba watu 400+ ndio wanaweza ama wana haki ya kuthibitisha maamuzi ya watu zaidi ya 300M+ wao kama nani kuwazidi hao wengine Million walopiga kura?
Hilo linaonesha wazi kama kura za marekani sio zakidemokrasia kama watu 400+ wanaweza kuthibitisha urais wa mtu maana yake wanaangalia vigezo vyao ila sio wingi wa watu kama wanavyohubiri kua demokrasia ni nguvu ya umma nandio maana Hillary alishinda kura za wananchi kidemokrasia ila akashindwa kuwa rahisi kutokana na kura za kupanga za watu 400+
Mie mbona hakuna sehemu nimeongelea kuhusiana na marekani na kua super power mzee au umechanganya mambo nisome tena vyema hemu kufa kwa nchi sio lazima isiwe super power ila inaweza ikaporomoka kwenye angle nyingi kisiasa kiuchumi kijeshi kimoja wapo ila ikiporomoka kwa vyote ndio inakua imekufa
Kama uingereza ile ndio imekufa kabisa kila angle Americant haijafika huko ila itafika nanatamani iwe chini ya kamala kama atashinda kura zao zamchongoma
Nilichomwambia mleta koment nikwamba alete takwimu za uchumi wa russia na marekani tuone upi unaofanya vyema au msaidie wewe kuleta takwimu tuone maana yeye kachemka sababu aliuongelea uchumi wa russia kana kwamba unaporomoka
Mwisho Americant hakuna demokrasia hata kama mtataka muwatetee kwakiasi gani
Mimi siwezi kufuata utamaduni wa kiarabu kwa kisingizio cha dini ngoja wajinga mfuate.Madrasa sehemu muhimu sana kijana ila hujui tuuu
Karibu nikupige somo kijana uwe muislam kwanza
Kitu ambacho hujui ni kwamba hizo tarakimu zilikuja wakati hakuna aliyejua kama huo uislam utakuja kuwepo.Takwimu za mwanzo ziliwekwa na swahaba Omar bin Khattab ra na hata namba zinazotumika kufanyia takwimo zote zimetokana na waislamu.Hakuna mzungu hata mmoja aliyehusika.Wazungu na wakristo wameanza kuzisoma baada ya papa kwenda madrasa kule Morocco.
Lazima ufahamu kwamba Marekani ili uwe rais lazima ukubali kuitetea taifa la Israel na nje ya hapo wala usihangaike utakuwa unafukuza upepo tu.Tanzania nako huo wimbo hakuna udini upo na papo hapo udini mara nyingi unatumika kuamua uchaguzi.
Kwa mfano huo na Marekani pia athari za dini zinatumika kuamua raisi.
Kuna muislamu mmoja anazungumza kama chiriku mfano wa Obama anaitwa Louis Farakhan.Huyu akisimama kutaka uraisi basi kwanza atawekwa pembeni kwa dini yake.
Marekani walishawahi kuwa na rais mwanamke mpaka ufikie hitimisho hili!?pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Marekani walishawahi kuwa na rais mwanamke mpaka ufikie hitimisho hili!?
Bila Marekani dunia isingekua sehemu salama. Tungetawaliwa na magaidi
Wewe ni shoga?Na baada ya huyu mwanamke Raisi ajaye atakuwa shoga
Madrasa sehemu muhimu sana kijana ila hujui tuuu
Karibu nikupige somo kijana uwe muislam kwanza
Labda ukoo wenu ndio unatawaliwa na mashogaHaya na tutawaliwe na mashoga labda ndivyo unavyopenda
Kwa hiyo trump aliposhinda uraisi alikuwa na popular vote nyingi kushinda Hillary Clinton?Nyie watu ni wajinga kweli!
Na hata hamuelewi electoral college ni kitu gani na electors wanapatikanaje.
Kwa ufupi, ingawa sidhani kama una uwezo wa kiakili wa kuelewa, ni kwamba, mgombea anayeshinda popular vote ya jimbo, hao electors wa jimbo wanakuwa wa kwake pia.
Mfumo uko hivyo nchi nzima ukiacha baadhi ya congressional districts katika majimbo ya Nebraska na Maine.
Mgombea hawezi kupata hao electors bila ya kushinda popular vote ya jimbo.
Na hao electors wakikutana ni lazima waakisi matokeo ya kura ya majimbo wanayoyawakilisha.
Najua hii ni rocket science kwa wengi wenu. Hivyo sitarajii uelewe hiki nilichokiandika.
Nevertheless, it’s worth a try.
Kuna tofauti kati ya national popular vote na state popular vote.Kwa hiyo trump aliposhinda uraisi alikuwa na popular vote nyingi kushinda Hillary Clinton?
Halafu punguza ujuaji wewe humiliki taarifa. Kichaa mkubwa ww
Sasa shida IPO kwako, kama nilivyoandika mara ya kwanza popular vote haziamui nani awe raisi wa marekani,Kuna tofauti kati ya national popular vote na state popular vote.
State popular vote ndo inayo determine mshindi wa hizo electoral college votes za state.
Kila state ina idadi tofauti ya electoral votes.
Naona hujui kabisa unachokiongelea hapa. Ndo maana umeshupaza shingo.
Labda ukoo wenu ndio unatawaliwa na mashoga
Wewe ni shoga?
Nimekwambia kuna tofauti ya national popular vote na state popular vote.Sa
Sasa shida IPO kwako, kama nilivyoandika mara ya kwanza popular vote haziamui nani awe raisi wa marekani,
Kama unabisha ingia wikipedia ujionee takwimu.
Acha kudhani kuwa wewe unahodhi taarifa.
Chambuzi mahiri toka pande za Ikwriri akichambua siasa za marekani na uchumi wa marekaniBaada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.